Kuna nini mpaka siku hizi ndugu hatutembeleani?

Kuna nini mpaka siku hizi ndugu hatutembeleani?

Tutafute pesa mkuu ukiwa huna pesa hata hao ndugu ukienda kuwatembelea wataona kero.Na wengine wanapina undugu kwa kuangalia status yako ya kimaisha ukiwa huna kitu hata kukuuliza hali kwenye simu pengine watashindwa lakini ukiwa upo vizuri kiuuchumi huko si wa kuuuliza hali.
Ngoja tuzisake
 
Msisahau kumeza CIPRO waungwana.
[emoji23][emoji23][emoji23] haya yaache kule haha

Cipro, Azithro, Doxy, Cefixi, Metro[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unamjua mdudu anaitwa Gonococcal Pharyngitis wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]????

Basi kama ni gono pata la uko chini,lkn sio gono hili[emoji23][emoji23]
 
Ili kuwa karibu tukaunda group la whatsupp
Baadae likaja wazo la KIKOBA
tunaweka na kukopa.

Lakin bado hali c shwari
 
Maadili. Unapeleka mitoto kwa shangazi toto lako linagawa mbegu wakati mwingine mpaka kwa shangazi mwenyewe halafu linakuja simulia lilivyokula kimasihara. Hakuna maadili kabisa.
 
Back
Top Bottom