Kuna nini mpaka siku hizi ndugu hatutembeleani?

Kuna nini mpaka siku hizi ndugu hatutembeleani?

Utandawazi ushaingia mtu aache kutafuta hela ahangaike kutembeleana zamani maisha yalikua rahisi, leo hii usipohangaika itakula kwako kila mtu anahangaika kivyake kimsingi haya ndio maisha magumu sasa, tulikua tunayaona ulaya sasa yako hapahapa kwetu.
NAONGEZEA TU: Mtu unaongea naye kila siku kadri unavyotaka unaenda kwake kwa hamu ipi sasa?
 
Back
Top Bottom