Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
- Thread starter
-
- #61
Ngoja tuzisakeTutafute pesa mkuu ukiwa huna pesa hata hao ndugu ukienda kuwatembelea wataona kero.Na wengine wanapina undugu kwa kuangalia status yako ya kimaisha ukiwa huna kitu hata kukuuliza hali kwenye simu pengine watashindwa lakini ukiwa upo vizuri kiuuchumi huko si wa kuuuliza hali.
Upendo tu MkuuUpendo hakuna,ikichangiwa na hali ya uchumi watu hawataki mob
[emoji818] haya mambo yamechukua nafs ya vitu vingiFacebook, WhatsApp, instagram, tiktok, twitter and the likes
Afuate nn kwa mfano. People needs things not other people nowdaysHahah sawa mkuu wacha tuzichange.
Lkm sasa, mbona wenye hela hata wao hawatembelei ndugu zao?
[emoji23][emoji23][emoji23] haya yaache kule hahaMsisahau kumeza CIPRO waungwana.
NdiooHii haijakaa sawa kuna watu wana hela na hawatembelewi
NikweliNdugu unaweza akawa sababu ya kukukwamisha usipige hatua
Sasa sikuhizi wakija hawataki kurudi mikono tupuUpendo tu Mkuu
Haya mambo ya uchum yalipaswa yasichukue nafasi ya upendo.
Weee banaaa, watu hawakua hata na baiskel, lkn walitembeaa kilometa kadhaa,kwenda kusalimia.
Siku hizi sasa daahh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo nibora wasije tu hahahaSasa sikuhizi wakija hawataki kurudi mikono tupu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maadili. Unapeleka mitoto kwa shangazi toto lako linagawa mbegu wakati mwingine mpaka kwa shangazi mwenyewe halafu linakuja simulia lilivyokula kimasihara. Hakuna maadili kabisa.
SawasawaMengi mambo, mambo mengi
Nikweli kabisaSmartphone zimepunguza upendo kwa watu....