Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee poleni sana.Hahah mzee huyo kakiwasha hapo ndio kapumzika baada ya kukiwasha kwa meneja wa kanda...
next time usirudie makosaI wish ningefanya booking huko...
Hali ya Hewa kivipi hili hali Precision na Flight Link na wenzao wapo huko hewani wakipambana na radi na mvua.Hali ya hewa
Wapeni nazo waarabu basi.Watanzania wameshindwa kuendesha shirika la Basi za mjini tu wataweza kuendesha shirika la ndege? Maawe.
Tungoje kuishuhudia na SGR inageuzwa uharo.
MediocresWatanzania wameshindwa kuendesha shirika la Basi za mjini tu wataweza kuendesha shirika la ndege? Maawe.
Tungoje kuishuhudia na SGR inageuzwa uharo.
Pole mkuu, PW juzi hapa walinichelewesha saa zima pale mwanza.PW nao huwa hawatabiriki 😀
Better late than never. Nadhani umenielewa.I wish ningefanya booking huko...
Dah,Hizi ndege za hizi shirika ni hovyo sana Mimi nilipanda kwenda Arusha basi ilikuwa inatoa milio ya ajabu sana yaani majanga matupu Bora mtu upande ndege binafsi tu
😂😁Dah,
Umenikumbusha ndege ya ATC ilivyokuwa inalia kama gari la mkweche.
Yalimshinda nyerere, mwinyi na mkapa na Kikwete wakawa anabinafsisha kila mashirika ya umma yanayofanya vibaya. Akaja mwendazake akajimwambafai kuyapigia kifuwa kuwa ataweza kuyaendesha kibabe, matokea mama karithi uozo. Lakini mama kishaweka team ya kuyasambaratisha yanayofanya vibaya. Karudi kwa Mkapa, Mwinyi, Kikwete kiaina yake.Mediocres
Hiyo ndiyo dawa pekee. yatapendeza.Wapeni nazo waarabu basi.