Kuna nini ndege za ATCL safari za ndani?

Kuna nini ndege za ATCL safari za ndani?

Mediocres
Yalimshinda nyerere, mwinyi na mkapa na Kikwete wakawa anabinafsisha kila mashirika ya umma yanayofanya vibaya. Akaja mwendazake akajimwambafai kuyapigia kifuwa kuwa ataweza kuyaendesha kibabe, matokea mama karithi uozo. Lakini mama kishaweka team ya kuyasambaratisha yanayofanya vibaya. Karudi kwa Mkapa, Mwinyi, Kikwete kiaina yake.

Kazi ya Kitila na Mchechu ndiyo hiyo, kuyasimamia yasiyogfaa yabinafsishwe au yafe.
 
Back
Top Bottom