Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mind your business pleaseJuzi juzi tu mtangazaji mwingine kaachia ngazi , na leo tena mwingine kaaga !
Kuna nini kwenye ajira hii ya serikali ambayo watu wengi wanaikimbilia ?
View attachment 2898659
Wenzako wana ofisi mbili mbili. Hapo wamebadilishiwa majukumu ya ofisi moja tu.Juzi juzi tu mtangazaji mwingine kaachia ngazi , na leo tena mwingine kaaga !
Kuna nini kwenye ajira hii ya serikali ambayo watu wengi wanaikimbilia ?
View attachment 2898659
TBC ni mali ya ummaMind your business please
Wacha weeeee !!Wenzako wana ofisi mbili mbili. Hapo wamebadilishiwa majukumu ya ofisi moja tu.
Mariam wa MigombaNi nani huyo?
Huyu anapendaga habari za udaku zisizocheza mbali na ngonoMariam wa Migomba
IAlikuaga mzuri sema kazeeka ghaflaHuyu anapendaga habari za udaku zisizocheza mbali na ngono
Kwani ni kifungo cha maisha!Juzi juzi tu mtangazaji mwingine kaachia ngazi , na leo tena mwingine kaaga !
Kuna nini kwenye ajira hii ya serikali ambayo watu wengi wanaikimbilia ?
View attachment 2898659
mishahara midogo ukilinganisha na tv binafsi ka AZAM,CLOUDS,WASAFI n.kJuzi juzi tu mtangazaji mwingine kaachia ngazi, na leo tena mwingine kaaga!
Kuna nini kwenye ajira hii ya Serikali ambayo watu wengi wanaikimbilia ?
View attachment 2898659
Yaa huenda wanakuwa wamepata dili kubwa, hata hivyo TBC kama shirika la umma haliwezi kuishiwa watumishi.mishahara midogo ukilinganisha na tv binafsi ka AZAM,CLOUDS,WASAFI n.k
Ni fundi pikipiki pale shekilango makaburini baada ya zile frame mpya ukiwa unatokea kwa remy...😜Ni nani huyo?
unajiskia uchungu eee.....Juzi juzi tu mtangazaji mwingine kaachia ngazi, na leo tena mwingine kaaga!
Kuna nini kwenye ajira hii ya Serikali ambayo watu wengi wanaikimbilia ?
View attachment 2898659