Kuna nyakati kuvaa condom ni kitendo kigumu sana au hakiwezekani kabisa

Kuna nyakati kuvaa condom ni kitendo kigumu sana au hakiwezekani kabisa

Akili zikirudi unakuja kugundua kumbe kuna grid ya taifa😁😁asubuhi yake unaanza kumeza punje za mahindi for 30days 😁
Shetani alivyo mjanja anakuambia si unamuona mtoto huyo? Kajaa,Ngozi inang'aa, nyama nyingi, koma hawezi kuwa nao.

Unapotezea. Imepita mwezi unaanxa kuona mabadiliko ya hovyo. Chukua piriton tuliza mafua hayo.

Mdogo mdogo, umeubamba..unaenda kupima unajinyea
 
Shetani alivyo mjanja anakuambia si unamuona mtoto huyo? Kajaa,Ngozi inang'aa, nyama nyingi, koma hawezi kuwa nao.

Unapotezea. Imepita mwezi unaanxa kuona mabadiliko ya hovyo. Chukua piriton tuliza mafua hayo.

Mdogo mdogo, umeubamba..unaenda kupima unajinyea
Acha uoga wa kifo, vifo tunatembea navyo tu
 
Back
Top Bottom