Swahili_Patriot
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 358
- 831
Kila atakayekupigia atakukosa hewani, ataambiwa no unayoipigia haipo. Kurudisha chombo kwa hewa *23#.Hi Guys
My friend anauliza kuna option yoyote anaweza akafanya kwenye simu ili mtu akimpigia awe hapatikani but anapatikana?
Anaenda kwa her new babe so kuna this guy Ana date nae but Ana plan za Kuachana nae kiistaarabu so she will be spending like a month kwa huyo new babe. Sasa hataki uyo mwanume amsumbue kwenye simu.
Na hataki kumblock coz anaona kama yule atajiskia vibaya and all that Yani
Any advice wapendwa wangu kwa my friend?
Kublock watu ila sms kuingia *21*000#
Kurudi hewani *21#