EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
mzabzab acha mbaambaa, huku ni africaHaya mapepo yanayopatikana kwenye ngono yanapatikana africa tuu? Mbona states watu wanapoga porno lakini sijasikia haya mambo ya kubadilishana mapepo kupitia ngono. Ebu tupeni elimu
Akiumwa magonjwa yasiyoeleweka utajua?Negative gani bwana wewe ebu sema tuyajue
Ah wanaumwa wapi wakati wale wanapimwa mara mbili kila wiki mbili.Akiumwa magonjwa yasiyoeleweka utajua?
Akipata pesa nyingi lakini hifanyii cha maana utajua?
Hujui ya kwamba wengi ni watumwa na mateka wa kiroho?
Thread 'Mateka na watumwa kwenye ulimwengu wa roho ' Mateka na watumwa kwenye ulimwengu wa roho
wee unadhani wandu wa jf hawajaenda kwa kabubu kutupulizia ili kila leo tuwe tunarudi hapa jf kuperuz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...!!! Duh hii kaliAh wanaumwa wapi wakati wale wanapimwa mara mbili kila wiki mbili.
Hawafanyii cha maana mbona ata wasiocheza porno wanapata pesa na hawafanyi lolote...that cuts across the society sio kitu ambacho kipo perculiar to the porno industry only.
Binadamu wengi ni mateka wakiroho ata jf tayari tumetekwa kiroho wee unadhani wandu wa jf hawajaenda kwa kabubu kutupulizia ili kila leo tuwe tunarudi hapa jf kuperuz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ah wee wenyewe unajua bwana kuwa lazima wanatupulizia hawa sio burewee unadhani wandu wa jf hawajaenda kwa kabubu kutupulizia ili kila leo tuwe tunarudi hapa jf kuperuz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...!!! Duh hii kali
😂😂😂😂 Nacheka Kama mazurii unachosema ni kipo kabisa tatizo jamii zetu za Sasa hatutaki kukaa na wazee kujua vituKuna familia zina pepo la elimu kikomo ni la saba ama form 4
"... Malezi na makuzi bila wazazi wote wawili. Mama akiwa marehemu lakini asiyejulikana! Inauma sana!..."Pepo la Umaskini
Pepo la mikosi
Pepo la kukosa ndoa
Pepo la kuzalia nyumbani
Pepo la ugumba
Pepo migogoro na mafarakano
Pepo la wizi, utapeli na udanganyifu
Pepo la madeni na mikopo isiyolipika nknk
Haya mapepo hutembea na vizazi mpaka cha tatu ama cha nne.. Unapoona kwenye familia yako kuna dalili za mojawapo kati ya hayo fanya hima lisisambae na kuathiri wengine.
Kuna ujumbe uliotoka Twitter unaoutaarifu uma kuhusu binti mmoja aliyefariki Morogoro na mwili wake uko mochwari. Hana ndugu ama kwa lugha nyingine ndugu zake hawajulikani ni akina nani.
Kilichonifanya niandike mada hii ni marehemu wakati wa ugonjwa wake akiwa kalazwa hospital kusema hana wazazi (haikufafanuliwa kama ni marehemu ama hajawahi kuwajua ama vinginevyo)
Cha kuumiza zaidi ni kwamba naye kafa kaacha watoto wadogo wawili.. Ni wazi hao watoto wana baba zao/yao lakini hawajulikani walipo. Inaumiza mno kwamba nao watakua katika mkondo wa mama yao.. Malezi na makuzi bila wazazi wote wawili. Mama akiwa marehemu lakini asiyejulikana! Inauma sana!
Ni maisha ya namna gani yanawasubiri hawa malaika? Mama kabla ya kifo kasema hana wazazi japo kataja alikotokea! Vipi kuhusu ndugu? Vipi kuhusu baba wa watoto?
Itakuwa faraja kubwa kama nduguze watajitokeza na kumchukua marehemu wakamzike na kuwachukua watoto wakawalee. Upendo hawatapata kama wa mama lakini at least watajulikana asili yao ili nao wasijekuja kusema huko ukubwani kwamba hawana wazazi wala ndugu[emoji25]
Kuna familia zina laana ya asili
Hili naliandika kwa uchungu mno kwakuwa waathirika ni wengi na hata pengine baadhi ya wana JF ni wahanga. Maisha yanatufunza mengi yanatuonyesha mengi na yanatufunulia mengi Kuna familia zimebarikiwa, hawa maisha yao ni full shangwe mafanikio na baraka kwao si kitu cha kuuliza , kwao ishu za...www.jamiiforums.com
Kuna familia zina laana ya asili
Upungufu wa kinga za kiroho
Wengi tunapoongelea neno KINGA tunapeleka mawazo yetu moja kwa moja kwenye mipira ya kufanyia ngono yaani kondomu. Lakini wengine watadhani ni kinga dhidi ya maradhi ama kinga dhidi ya ajali barabarani na wezi majumbani huku wachache wakiwaza kinga dhidi ya watoto nknk. Akitokea mmoja...www.jamiiforums.com
Upungufu wa kinga za kiroho
Waswahili husema maji hufuata mkondo na mtoto wa nyoka ni nyoka, chuma hunoa chuma na ndege wanafananao huruka pamoja.Umeongea vyema mkuu. Ebu fikiria familia haiwajibiki vyema katika malezi borq na makuzi ya watoto hasa wa kike. Unategemea huyo mtoto atapata ndoa?
Hapana mkuu, afrika tuna matatizo mengi sana ya kifrikra, pia suala la dini limekuwa ni tatizo kubwa sana kwa kila tatizo letu kumtupia na kumuachia Mungu ndie apambane huku sisi tukibakia kushinda makanisa nk.Kama familia haijitumi kupambana na Umaskini kwa kufanya kazi, unategemea wataepuka Umaskini?
Nadhani usemi mzuri ni "kuwa na Mungu popote wakati wote." Asikuache nawe usimwache! Ukimtanguliza Mungu huku nyuma unabaki na nani??!! Hautakuwa salama!Hii pepoo ni hatari sana
Na hili ndio linazika kabisa familia..
Kemea mapepo haya kwa kupambana hasa na kumtanguliza Mungu mbele..
Uzi mzuri ngoja,nipate utulivu ntaupitia taratibui...Pepo la Umaskini
Pepo la mikosi
Pepo la kukosa ndoa
Pepo la kuzalia nyumbani
Pepo la ugumba
Pepo migogoro na mafarakano
Pepo la wizi, utapeli na udanganyifu
Pepo la madeni na mikopo isiyolipika nknk
Haya mapepo hutembea na vizazi mpaka cha tatu ama cha nne.. Unapoona kwenye familia yako kuna dalili za mojawapo kati ya hayo fanya hima lisisambae na kuathiri wengine.
Kuna ujumbe uliotoka Twitter unaoutaarifu uma kuhusu binti mmoja aliyefariki Morogoro na mwili wake uko mochwari. Hana ndugu ama kwa lugha nyingine ndugu zake hawajulikani ni akina nani.
Kilichonifanya niandike mada hii ni marehemu wakati wa ugonjwa wake akiwa kalazwa hospital kusema hana wazazi (haikufafanuliwa kama ni marehemu ama hajawahi kuwajua ama vinginevyo)
Cha kuumiza zaidi ni kwamba naye kafa kaacha watoto wadogo wawili.. Ni wazi hao watoto wana baba zao/yao lakini hawajulikani walipo. Inaumiza mno kwamba nao watakua katika mkondo wa mama yao.. Malezi na makuzi bila wazazi wote wawili. Mama akiwa marehemu lakini asiyejulikana! Inauma sana!
Ni maisha ya namna gani yanawasubiri hawa malaika? Mama kabla ya kifo kasema hana wazazi japo kataja alikotokea! Vipi kuhusu ndugu? Vipi kuhusu baba wa watoto?
Itakuwa faraja kubwa kama nduguze watajitokeza na kumchukua marehemu wakamzike na kuwachukua watoto wakawalee. Upendo hawatapata kama wa mama lakini at least watajulikana asili yao ili nao wasijekuja kusema huko ukubwani kwamba hawana wazazi wala ndugu[emoji25]
Kuna familia zina laana ya asili
Hili naliandika kwa uchungu mno kwakuwa waathirika ni wengi na hata pengine baadhi ya wana JF ni wahanga. Maisha yanatufunza mengi yanatuonyesha mengi na yanatufunulia mengi Kuna familia zimebarikiwa, hawa maisha yao ni full shangwe mafanikio na baraka kwao si kitu cha kuuliza , kwao ishu za...www.jamiiforums.com
Kuna familia zina laana ya asili
Upungufu wa kinga za kiroho
Wengi tunapoongelea neno KINGA tunapeleka mawazo yetu moja kwa moja kwenye mipira ya kufanyia ngono yaani kondomu. Lakini wengine watadhani ni kinga dhidi ya maradhi ama kinga dhidi ya ajali barabarani na wezi majumbani huku wachache wakiwaza kinga dhidi ya watoto nknk. Akitokea mmoja...www.jamiiforums.com
Upungufu wa kinga za kiroho
I remember it used to be a "keen and serious vetting" both for a personal character and that of the family.Hiki ndicho walichokuwa wanakifanya mababu zetu zamani.. Unaweza kukataliwa ndoa kwasababu ya background ya familia
Hilo nalo neno!Waswahili husema maji hufuata mkondo na mtoto wa nyoka ni nyoka, chuma hunoa chuma na ndege wanafananao huruka pamoja.
Logically au kwa akili ya kujiuluza tu ni kwamba je, ni mwaume gani mwenye maadili yake, mwenye dhamiri safi na njema mbele ya Mungu anaona kabisa kwamba huyu binti ni anamaadili mabovu kupindukia au familia yake ni ya ovyo kupindukia yeye akajibebee tu akajenge nae familia ni NGUMU SANA. Matokeo yake atapatikana mwanaume mwenye tabia na mambo ya kufanana na huyo binti kisha wataoana na kujenga famalia kitakachofuata ni mduara wa matatizo yao ya kitabia kuendelea kwa watoto wao, kisha wajukuu wako, kisha vitukuu vyao na mwisho ukoo. Sasa katika hali kama hii badala ya kupambana na chanzo sisi tunatupia mzigo mapepo na laana.
Hapana mkuu, afrika tuna matatizo mengi sana ya kifrikra, pia suala la dini limekuwa ni tatizo kubwa sana kwa kila tatizo letu kumtupia na kumuachia Mungu ndie apambane huku sisi tukibakia kushinda makanisa nk.
Unakuta kijana anashinda kanisani au kwa mwamposa usiku na mchana kila siku, wiki, mwezi mpaka miaka anamwomba Mungu ampe ajira. Au anaombewa kutoa pepo la ajira au laana. Sijui ni nani aliyeturoga kwamba ajira zinatengenezwa kwa kuombewa na kushinda makanisani matokeo yake unakuta ni umasikini juu ya umasikini miaka nenda rudi kisha huo umasikini unabakia kuziandama familia zetu, watoto, wajukuu, vitukuu mpaka ngazi ya koo.
Miezi miwili ilopita nilikuwa na mhe mmoja aliongelea hii vetting inayofanyika serikalini kama una makando kando kuna nafasi huwezi pewa.Kuna vetting huwa inafanyika kwa mtu anayetaka au anayeteuliwa kwenye nafasi nyeti serikalini.
Kuna baadhi ya familia ukitaka kuingia lazima ufanyiwe vetting ya kutosha, usipokidhi vigezo huingii kwenye hiyo familia ama kwa kuoa au kuolewa....
Na wakuu wa koo/familia wako makini na hilo lengo ni kutopoteza mali na kuingiza mipenyo itayowatafuna kama magonjwa nyemelezi, umaskini, laana, ukichaa/kurukwa na akili, ulevi n.k.
Pepo la ulevi uliopindukia umelisahauPepo la Umaskini
Pepo la mikosi
Pepo la kukosa ndoa
Pepo la kuzalia nyumbani
Pepo la ugumba
Pepo migogoro na mafarakano
Pepo la wizi, utapeli na udanganyifu
Pepo la madeni na mikopo isiyolipika nknk
Haya mapepo hutembea na vizazi mpaka cha tatu ama cha nne.. Unapoona kwenye familia yako kuna dalili za mojawapo kati ya hayo fanya hima lisisambae na kuathiri wengine.
Kuna ujumbe uliotoka Twitter unaoutaarifu uma kuhusu binti mmoja aliyefariki Morogoro na mwili wake uko mochwari. Hana ndugu ama kwa lugha nyingine ndugu zake hawajulikani ni akina nani.
Kilichonifanya niandike mada hii ni marehemu wakati wa ugonjwa wake akiwa kalazwa hospital kusema hana wazazi (haikufafanuliwa kama ni marehemu ama hajawahi kuwajua ama vinginevyo)
Cha kuumiza zaidi ni kwamba naye kafa kaacha watoto wadogo wawili.. Ni wazi hao watoto wana baba zao/yao lakini hawajulikani walipo. Inaumiza mno kwamba nao watakua katika mkondo wa mama yao.. Malezi na makuzi bila wazazi wote wawili. Mama akiwa marehemu lakini asiyejulikana! Inauma sana!
Ni maisha ya namna gani yanawasubiri hawa malaika? Mama kabla ya kifo kasema hana wazazi japo kataja alikotokea! Vipi kuhusu ndugu? Vipi kuhusu baba wa watoto?
Itakuwa faraja kubwa kama nduguze watajitokeza na kumchukua marehemu wakamzike na kuwachukua watoto wakawalee. Upendo hawatapata kama wa mama lakini at least watajulikana asili yao ili nao wasijekuja kusema huko ukubwani kwamba hawana wazazi wala ndugu[emoji25]
Kuna familia zina laana ya asili
Hili naliandika kwa uchungu mno kwakuwa waathirika ni wengi na hata pengine baadhi ya wana JF ni wahanga. Maisha yanatufunza mengi yanatuonyesha mengi na yanatufunulia mengi Kuna familia zimebarikiwa, hawa maisha yao ni full shangwe mafanikio na baraka kwao si kitu cha kuuliza , kwao ishu za...www.jamiiforums.com
Kuna familia zina laana ya asili
Upungufu wa kinga za kiroho
Wengi tunapoongelea neno KINGA tunapeleka mawazo yetu moja kwa moja kwenye mipira ya kufanyia ngono yaani kondomu. Lakini wengine watadhani ni kinga dhidi ya maradhi ama kinga dhidi ya ajali barabarani na wezi majumbani huku wachache wakiwaza kinga dhidi ya watoto nknk. Akitokea mmoja...www.jamiiforums.com
Upungufu wa kinga za kiroho
Ulevi unarithiwa nafikiri vetting ya kutosha inahitajika kabla ya kuoa au kuolewaKuna vetting huwa inafanyika kwa mtu anayetaka au anayeteuliwa kwenye nafasi nyeti serikalini.
Kuna baadhi ya familia ukitaka kuingia lazima ufanyiwe vetting ya kutosha, usipokidhi vigezo huingii kwenye hiyo familia ama kwa kuoa au kuolewa....
Na wakuu wa koo/familia wako makini na hilo lengo ni kutopoteza mali na kuingiza mipenyo itayowatafuna kama magonjwa nyemelezi, umaskini, laana, ukichaa/kurukwa na akili, ulevi n.k.
Naam!Unapopata mchumba usiharakie ndoa chukua muda wa kutosha kuichunguza familia yake mpaka huko kijijini.. Maana unaweza kuikuta hapa mjini mambo safi kumbe huko kijijini kwenye mashina na mizizi hakufai
Na ukifanikiwa kupata mwenza sahihi.. JICHUNGE NA NGONO zembe.. Ngono imeharibu mengi
Kingine ni mahusiano ya kifamilia, ndugu na ukoo.. Jihadhari mno na mafarakano.. Kuna majanga huanzia huko.. Upendo na kusamehe huokoa mengi, visasi na mifarakano huzalisha mengi
Amina![emoji3] trust me nimeacha ulozi na kumrudia Mungu mazima.. Si unajua kiza na nuru havikai pamoja? Niliamua kuchagua nuru na niko nuruni sasa[emoji173]