Kuna pepo likiingia kwenye familia hutafuna vizazi vingi

Kuna pepo likiingia kwenye familia hutafuna vizazi vingi

Haya mapepo yanayopatikana kwenye ngono yanapatikana africa tuu? Mbona states watu wanapoga porno lakini sijasikia haya mambo ya kubadilishana mapepo kupitia ngono. Ebu tupeni elimu
mzabzab acha mbaambaa, huku ni africa

Ww fanya ivi anzisha kanisa, au kuwa mganga wa kienyeji kisha tangaza kwa juhudi zako zote kuwa unaondoa MAPEPO yalio kwenye familia na kuvunja kila aina ya LAANA. Yaani unaondoa mapepo ya umasikini, pepo la kukosa ajira, pepo la kukosa elimu, pepo la kuolewa, pepo la kukosa kazi, pepo la biashara kukosa wateja, yaani kila aina ya matatizo yanayozikumba famikia zetu na watu we tupia pepo afu dai unaliondoa hilo pepo.
 
Akiumwa magonjwa yasiyoeleweka utajua?
Akipata pesa nyingi lakini hifanyii cha maana utajua?
Hujui ya kwamba wengi ni watumwa na mateka wa kiroho?

Thread 'Mateka na watumwa kwenye ulimwengu wa roho ' Mateka na watumwa kwenye ulimwengu wa roho
Ah wanaumwa wapi wakati wale wanapimwa mara mbili kila wiki mbili.
Hawafanyii cha maana mbona ata wasiocheza porno wanapata pesa na hawafanyi lolote...that cuts across the society sio kitu ambacho kipo perculiar to the porno industry only.

Binadamu wengi ni mateka wakiroho ata jf tayari tumetekwa kiroho wee unadhani wandu wa jf hawajaenda kwa kabubu kutupulizia ili kila leo tuwe tunarudi hapa jf kuperuz 😂😂😂😂
 
Ah wanaumwa wapi wakati wale wanapimwa mara mbili kila wiki mbili.
Hawafanyii cha maana mbona ata wasiocheza porno wanapata pesa na hawafanyi lolote...that cuts across the society sio kitu ambacho kipo perculiar to the porno industry only.

Binadamu wengi ni mateka wakiroho ata jf tayari tumetekwa kiroho wee unadhani wandu wa jf hawajaenda kwa kabubu kutupulizia ili kila leo tuwe tunarudi hapa jf kuperuz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wee unadhani wandu wa jf hawajaenda kwa kabubu kutupulizia ili kila leo tuwe tunarudi hapa jf kuperuz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...!!! Duh hii kali
 
wee unadhani wandu wa jf hawajaenda kwa kabubu kutupulizia ili kila leo tuwe tunarudi hapa jf kuperuz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...!!! Duh hii kali
Ah wee wenyewe unajua bwana kuwa lazima wanatupulizia hawa sio bure
 
Pepo la Umaskini
Pepo la mikosi
Pepo la kukosa ndoa
Pepo la kuzalia nyumbani
Pepo la ugumba
Pepo migogoro na mafarakano
Pepo la wizi, utapeli na udanganyifu
Pepo la madeni na mikopo isiyolipika nknk

Haya mapepo hutembea na vizazi mpaka cha tatu ama cha nne.. Unapoona kwenye familia yako kuna dalili za mojawapo kati ya hayo fanya hima lisisambae na kuathiri wengine.

Kuna ujumbe uliotoka Twitter unaoutaarifu uma kuhusu binti mmoja aliyefariki Morogoro na mwili wake uko mochwari. Hana ndugu ama kwa lugha nyingine ndugu zake hawajulikani ni akina nani.

Kilichonifanya niandike mada hii ni marehemu wakati wa ugonjwa wake akiwa kalazwa hospital kusema hana wazazi (haikufafanuliwa kama ni marehemu ama hajawahi kuwajua ama vinginevyo)

Cha kuumiza zaidi ni kwamba naye kafa kaacha watoto wadogo wawili.. Ni wazi hao watoto wana baba zao/yao lakini hawajulikani walipo. Inaumiza mno kwamba nao watakua katika mkondo wa mama yao.. Malezi na makuzi bila wazazi wote wawili. Mama akiwa marehemu lakini asiyejulikana! Inauma sana!

Ni maisha ya namna gani yanawasubiri hawa malaika? Mama kabla ya kifo kasema hana wazazi japo kataja alikotokea! Vipi kuhusu ndugu? Vipi kuhusu baba wa watoto?

Itakuwa faraja kubwa kama nduguze watajitokeza na kumchukua marehemu wakamzike na kuwachukua watoto wakawalee. Upendo hawatapata kama wa mama lakini at least watajulikana asili yao ili nao wasijekuja kusema huko ukubwani kwamba hawana wazazi wala ndugu[emoji25]


Kuna familia zina laana ya asili



Upungufu wa kinga za kiroho

"... Malezi na makuzi bila wazazi wote wawili. Mama akiwa marehemu lakini asiyejulikana! Inauma sana!..."

HAKIKA INAUMA MNO, TENA MNO! NATAMANI KUJUA WATOTO WALIPO, NIKAWACHUKUE WAWE WANANGU WA KUWALEA.
 
Umeongea vyema mkuu. Ebu fikiria familia haiwajibiki vyema katika malezi borq na makuzi ya watoto hasa wa kike. Unategemea huyo mtoto atapata ndoa?
Waswahili husema maji hufuata mkondo na mtoto wa nyoka ni nyoka, chuma hunoa chuma na ndege wanafananao huruka pamoja.

Logically au kwa akili ya kujiuluza tu ni kwamba je, ni mwaume gani mwenye maadili yake, mwenye dhamiri safi na njema mbele ya Mungu anaona kabisa kwamba huyu binti ni anamaadili mabovu kupindukia au familia yake ni ya ovyo kupindukia yeye akajibebee tu akajenge nae familia ni NGUMU SANA. Matokeo yake atapatikana mwanaume mwenye tabia na mambo ya kufanana na huyo binti kisha wataoana na kujenga famalia kitakachofuata ni mduara wa matatizo yao ya kitabia kuendelea kwa watoto wao, kisha wajukuu wako, kisha vitukuu vyao na mwisho ukoo. Sasa katika hali kama hii badala ya kupambana na chanzo sisi tunatupia mzigo mapepo na laana.
Kama familia haijitumi kupambana na Umaskini kwa kufanya kazi, unategemea wataepuka Umaskini?
Hapana mkuu, afrika tuna matatizo mengi sana ya kifrikra, pia suala la dini limekuwa ni tatizo kubwa sana kwa kila tatizo letu kumtupia na kumuachia Mungu ndie apambane huku sisi tukibakia kushinda makanisa nk.

Unakuta kijana anashinda kanisani au kwa mwamposa usiku na mchana kila siku, wiki, mwezi mpaka miaka anamwomba Mungu ampe ajira. Au anaombewa kutoa pepo la ajira au laana. Sijui ni nani aliyeturoga kwamba ajira zinatengenezwa kwa kuombewa na kushinda makanisani matokeo yake unakuta ni umasikini juu ya umasikini miaka nenda rudi kisha huo umasikini unabakia kuziandama familia zetu, watoto, wajukuu, vitukuu mpaka ngazi ya koo.
 
Pepo la Umaskini
Pepo la mikosi
Pepo la kukosa ndoa
Pepo la kuzalia nyumbani
Pepo la ugumba
Pepo migogoro na mafarakano
Pepo la wizi, utapeli na udanganyifu
Pepo la madeni na mikopo isiyolipika nknk

Haya mapepo hutembea na vizazi mpaka cha tatu ama cha nne.. Unapoona kwenye familia yako kuna dalili za mojawapo kati ya hayo fanya hima lisisambae na kuathiri wengine.

Kuna ujumbe uliotoka Twitter unaoutaarifu uma kuhusu binti mmoja aliyefariki Morogoro na mwili wake uko mochwari. Hana ndugu ama kwa lugha nyingine ndugu zake hawajulikani ni akina nani.

Kilichonifanya niandike mada hii ni marehemu wakati wa ugonjwa wake akiwa kalazwa hospital kusema hana wazazi (haikufafanuliwa kama ni marehemu ama hajawahi kuwajua ama vinginevyo)

Cha kuumiza zaidi ni kwamba naye kafa kaacha watoto wadogo wawili.. Ni wazi hao watoto wana baba zao/yao lakini hawajulikani walipo. Inaumiza mno kwamba nao watakua katika mkondo wa mama yao.. Malezi na makuzi bila wazazi wote wawili. Mama akiwa marehemu lakini asiyejulikana! Inauma sana!

Ni maisha ya namna gani yanawasubiri hawa malaika? Mama kabla ya kifo kasema hana wazazi japo kataja alikotokea! Vipi kuhusu ndugu? Vipi kuhusu baba wa watoto?

Itakuwa faraja kubwa kama nduguze watajitokeza na kumchukua marehemu wakamzike na kuwachukua watoto wakawalee. Upendo hawatapata kama wa mama lakini at least watajulikana asili yao ili nao wasijekuja kusema huko ukubwani kwamba hawana wazazi wala ndugu[emoji25]


Kuna familia zina laana ya asili



Upungufu wa kinga za kiroho

Uzi mzuri ngoja,nipate utulivu ntaupitia taratibui...
 
Waswahili husema maji hufuata mkondo na mtoto wa nyoka ni nyoka, chuma hunoa chuma na ndege wanafananao huruka pamoja.

Logically au kwa akili ya kujiuluza tu ni kwamba je, ni mwaume gani mwenye maadili yake, mwenye dhamiri safi na njema mbele ya Mungu anaona kabisa kwamba huyu binti ni anamaadili mabovu kupindukia au familia yake ni ya ovyo kupindukia yeye akajibebee tu akajenge nae familia ni NGUMU SANA. Matokeo yake atapatikana mwanaume mwenye tabia na mambo ya kufanana na huyo binti kisha wataoana na kujenga famalia kitakachofuata ni mduara wa matatizo yao ya kitabia kuendelea kwa watoto wao, kisha wajukuu wako, kisha vitukuu vyao na mwisho ukoo. Sasa katika hali kama hii badala ya kupambana na chanzo sisi tunatupia mzigo mapepo na laana.

Hapana mkuu, afrika tuna matatizo mengi sana ya kifrikra, pia suala la dini limekuwa ni tatizo kubwa sana kwa kila tatizo letu kumtupia na kumuachia Mungu ndie apambane huku sisi tukibakia kushinda makanisa nk.

Unakuta kijana anashinda kanisani au kwa mwamposa usiku na mchana kila siku, wiki, mwezi mpaka miaka anamwomba Mungu ampe ajira. Au anaombewa kutoa pepo la ajira au laana. Sijui ni nani aliyeturoga kwamba ajira zinatengenezwa kwa kuombewa na kushinda makanisani matokeo yake unakuta ni umasikini juu ya umasikini miaka nenda rudi kisha huo umasikini unabakia kuziandama familia zetu, watoto, wajukuu, vitukuu mpaka ngazi ya koo.
Hilo nalo neno!
 
Kuna vetting huwa inafanyika kwa mtu anayetaka au anayeteuliwa kwenye nafasi nyeti serikalini.

Kuna baadhi ya familia ukitaka kuingia lazima ufanyiwe vetting ya kutosha, usipokidhi vigezo huingii kwenye hiyo familia ama kwa kuoa au kuolewa....

Na wakuu wa koo/familia wako makini na hilo lengo ni kutopoteza mali na kuingiza mipenyo itayowatafuna kama magonjwa nyemelezi, umaskini, laana, ukichaa/kurukwa na akili, ulevi n.k.
Miezi miwili ilopita nilikuwa na mhe mmoja aliongelea hii vetting inayofanyika serikalini kama una makando kando kuna nafasi huwezi pewa.
 
Pepo la Umaskini
Pepo la mikosi
Pepo la kukosa ndoa
Pepo la kuzalia nyumbani
Pepo la ugumba
Pepo migogoro na mafarakano
Pepo la wizi, utapeli na udanganyifu
Pepo la madeni na mikopo isiyolipika nknk

Haya mapepo hutembea na vizazi mpaka cha tatu ama cha nne.. Unapoona kwenye familia yako kuna dalili za mojawapo kati ya hayo fanya hima lisisambae na kuathiri wengine.

Kuna ujumbe uliotoka Twitter unaoutaarifu uma kuhusu binti mmoja aliyefariki Morogoro na mwili wake uko mochwari. Hana ndugu ama kwa lugha nyingine ndugu zake hawajulikani ni akina nani.

Kilichonifanya niandike mada hii ni marehemu wakati wa ugonjwa wake akiwa kalazwa hospital kusema hana wazazi (haikufafanuliwa kama ni marehemu ama hajawahi kuwajua ama vinginevyo)

Cha kuumiza zaidi ni kwamba naye kafa kaacha watoto wadogo wawili.. Ni wazi hao watoto wana baba zao/yao lakini hawajulikani walipo. Inaumiza mno kwamba nao watakua katika mkondo wa mama yao.. Malezi na makuzi bila wazazi wote wawili. Mama akiwa marehemu lakini asiyejulikana! Inauma sana!

Ni maisha ya namna gani yanawasubiri hawa malaika? Mama kabla ya kifo kasema hana wazazi japo kataja alikotokea! Vipi kuhusu ndugu? Vipi kuhusu baba wa watoto?

Itakuwa faraja kubwa kama nduguze watajitokeza na kumchukua marehemu wakamzike na kuwachukua watoto wakawalee. Upendo hawatapata kama wa mama lakini at least watajulikana asili yao ili nao wasijekuja kusema huko ukubwani kwamba hawana wazazi wala ndugu[emoji25]


Kuna familia zina laana ya asili



Upungufu wa kinga za kiroho

Pepo la ulevi uliopindukia umelisahau
 
Kuna vetting huwa inafanyika kwa mtu anayetaka au anayeteuliwa kwenye nafasi nyeti serikalini.

Kuna baadhi ya familia ukitaka kuingia lazima ufanyiwe vetting ya kutosha, usipokidhi vigezo huingii kwenye hiyo familia ama kwa kuoa au kuolewa....

Na wakuu wa koo/familia wako makini na hilo lengo ni kutopoteza mali na kuingiza mipenyo itayowatafuna kama magonjwa nyemelezi, umaskini, laana, ukichaa/kurukwa na akili, ulevi n.k.
Ulevi unarithiwa nafikiri vetting ya kutosha inahitajika kabla ya kuoa au kuolewa
 
Unapopata mchumba usiharakie ndoa chukua muda wa kutosha kuichunguza familia yake mpaka huko kijijini.. Maana unaweza kuikuta hapa mjini mambo safi kumbe huko kijijini kwenye mashina na mizizi hakufai
Na ukifanikiwa kupata mwenza sahihi.. JICHUNGE NA NGONO zembe.. Ngono imeharibu mengi

Kingine ni mahusiano ya kifamilia, ndugu na ukoo.. Jihadhari mno na mafarakano.. Kuna majanga huanzia huko.. Upendo na kusamehe huokoa mengi, visasi na mifarakano huzalisha mengi
Naam!
 
Back
Top Bottom