Kuna picha zinasikitisha sana Palestina, mnaoshabikia HAMAS kuanzisha hizi choko sijui mkoje

Kuna picha zinasikitisha sana Palestina, mnaoshabikia HAMAS kuanzisha hizi choko sijui mkoje

Yaani majitu mnashabikia ugaidi wa HAMAS kisa ni watu wa dini yenu halafu majibu ya Israel yanakuja kwa nguvu hadi kutia ukakasi, kuna picha nimeziona ambazo siwezi kuzileta humu ila hii dunia inakosa ladha.

Hivi kiukweli mnajitapa kufaidi nini baada ya kile HAMAS walifanya, maana haya majibu ya Israel yamesababisha maafa na majanga mengi sana, watu wamerudishwa nyuma hadi zero.

Inauma kishenzi, licha ya kwamba mimi ni pro-Israel lakini kila nikiona haya mapicha nasikitika sana, mnashindwa vipi kuishi na binadamu wenzenu kwa amani kama kweli hiyo dini inafundisha amani.

Dini yenyewe fulu vurugu, ina maugomvi na dini zote, mara mpigane na Wahindi, Wabutha, Wakristo hata hawa Wayahudi, kote kote dini moja tu, vurugu zenu mpaka hata huku Afrika kwa tuliojichokea kimaisha bado mnatulipua.

Nenda kule Congo, maskini wakulima wanachinjwa na kundi la AFP kisa dini.

gaza-strip-1200.jpg

Hiyo Ardhi ishajionea mauaji ya kimbari toka Karne na Karne.

Vitabu vikongwe vimeandika mengi, waandishi walitumia neno "besiege* ama siege of the city. Inafikirisha kinamna

How King Nabuchadnedza besieged Jerusalem in 587 BC?
 

Attachments

  • Screenshot_2023-10-13-01-50-10-53.jpg
    Screenshot_2023-10-13-01-50-10-53.jpg
    75 KB · Views: 2
Brother, wanayopitia sasa sio mageni kwao wamekuwa hivyo for the last 50years.

Hivyo walivyopata nafasi ya kufanya walichofanya wameona kama ni heri kwao ingawa kwa kweli hali ni mbaya.

Watoto wao wameuwawa kila siku kwa zaidi ya miaka 50

Vijana wameteseka na kina mama wametengwa na familia zao kila siku kwa miaka 50.
Sio kweli,hakuna watoto wanaoliwa kila siku,ushawahi kufika israel?
 
They have nothing to lose either way.... wasipopigana wanakufa wakipigana wanakufa. Ni ajabu sana kushangaa mtu kupigania uhuru wake!! Kwamba ulitaka waporwe ardhi yao wakae kimya kisa adui ana vifaru?

Kwa akili hizi ndio maana Kenya imejaa rushwa kila kona.
Acha uongo
 
Yaani majitu mnashabikia ugaidi wa HAMAS kisa ni watu wa dini yenu halafu majibu ya Israel yanakuja kwa nguvu hadi kutia ukakasi, kuna picha nimeziona ambazo siwezi kuzileta humu ila hii dunia inakosa ladha.

Hivi kiukweli mnajitapa kufaidi nini baada ya kile HAMAS walifanya, maana haya majibu ya Israel yamesababisha maafa na majanga mengi sana, watu wamerudishwa nyuma hadi zero.

Inauma kishenzi, licha ya kwamba mimi ni pro-Israel lakini kila nikiona haya mapicha nasikitika sana, mnashindwa vipi kuishi na binadamu wenzenu kwa amani kama kweli hiyo dini inafundisha amani.

Dini yenyewe fulu vurugu, ina maugomvi na dini zote, mara mpigane na Wahindi, Wabutha, Wakristo hata hawa Wayahudi, kote kote dini moja tu, vurugu zenu mpaka hata huku Afrika kwa tuliojichokea kimaisha bado mnatulipua.

Nenda kule Congo, maskini wakulima wanachinjwa na kundi la AFP kisa dini.

gaza-strip-1200.jpg
Israel waache kukalia ardhi ya wapalestina... Huwezi kuwaweka watu kama watumwa ufikiri utaishi kwa amani
 
Wanatamani Israeli iwasamehe lakini ndo inapiga show tu.Jamaa majinga sana mm kilicho niuma yanateka wanawake kuna mmoja alikua kajaa dam kwenye makalioa sijui yalimbaka harafu yanamtaja Mungu ovyo ovyo Allah akbar ..yaaan Mungu wamemuona km shemeji yao hao acha wapigwe mpaka wajue Mungu si kutajwa kwenye upuuzi
 
Israel hajaonyesha picture ya aino yoyote watoto walio chinjwa na Hamasi au walio uliwa wakiwa civilian walio uliwa na Hamasi.

Hao wote ni wanajeshi wa Israel wawe wanawake au wanaumlakonini hakuna sehemu Hamasi wamechinja watoto kama wanavyo sema western media.

Rais wa America alisema pia Hamasi wamechinja na kurape wanawake badaye aka banwa kwenye swali uliona hizo picture.

Akasema nimehadisiwa na Natanyahu 😂 Yani Rais wa nchi inajidai Super power anasema uwongo ili kudhalilisha duniani Hamasi si wanajeshi ball ni wauwaji kama hao ISIS ambao Israel mwenye alikiri yeye ndiye aliwatengeneza.

Kuna wanawake wawili wa Israel wamesema wazi Hamasi hawa rape wala si wauwaji watoto tena wanasifu adabu zao lakini Western media haitaki kuisambaza ni si ajabu wameifuta kwenye tube 😂
 
Yaani muamke ghafla na kushambulia makazi ya watu kwa maroketi 4,000 kisha mnasema ni uhuru mnapigania, mkapimwe aisei, hiyo dini inawatesa.
Yes ukraine wanafanya hivyo pia mbona una wa support? Punguza unafiki!!
 
There's no amount of justification inaweza halalisha upuuzi mnaofanya. Acheni kukalia kwa mabavu nchi ya watu kwani ardhi si ilishakua imegawanywa kwa ratio ya 55:45 sasa nini kimewafanya kila siku mjitanue? Na sio hapo tu hata maeneo ya Golan Heights pia mlipora.... same to kipande cha Misri kule Sinai (baada ya kupigwa biti mkapisha).

Ni ajabu sana mnampinga Putin ila mnashabikia wazayuni
 
Kwamba Ukraine wameamka na kushambulia Urusi ghafla? Mbona mnajikanganya hata hamjui mnachotetea....
Eeeh mbona wanarusha drones mpaka kwenye Russian territory au upo dunia gani wewe?
 
Acha uongo
Uongo ni upi? Israel amevamia maeneo ya palestina na watu wanakufa kila siku cha ajabu wakijibu mapigo mnawaita magaidi.
Ni sawa tu na tulichofanya huku Tanzania kusponsor vyama vya wapigania uhuru kung'oa utawala wa wakoloni.
 
Kumbe nawe mjinga kiasi hiki?
Exactly, kama kupinga uonevu wa wayahudi ni ujinga then Acha niwe mjinga. Mimi ni mkristo lakini wanachofanya pale ni cha kupingwa na mtu yeyote anayejitambua.
 
Alie wadanganya km yupo wamkate kate km nyama ya kuku maana kawaingiza kwenye mtumbwi wa vibwengo.Israel hawana show za vumbi la kikongo wana show za kibabe wamepiga Gaza imegeuka magofu na bado anawapelekea moto.
Kuna wanaosema kuwa kilichofanyika hapa ni sawa na kilichofanyika September 11 kule kwa mwamba. Kwamba MOSSAD na CIA walijua lakini wakakausha ili wapate kisingizio cha kufanya kile ambacho wamekuwa wakitamani kufanya kwa miaka mingi ila wanakosa sababu. Collateral damage ya watu 1,000+ lakini Bibi naona ameamua kufanya kile wanaita "final solution". Inasikitisha japo ni justifiable!
 
Niko very objective, Israel walikua wanaishi kwa amani, watu wanakula na kunywa na kupeleka watoto shule na kumwagilia mimea maji na kucheka cheka yaani maisha ya kawaida, ghafla kwa mihemko ya dini HAMAS wakatuma rockets 4,000 kwa siku moja.
Sielewi mlitegemea Israel waimbe taarab wasifanye chochote....

Kwa Urusi, watu wa Ukraine waliishi kwa amani, watu wanakula na kunywa na kupeleka watoto shule na kumwagilia mimea maji na kucheka cheka yaani maisha ya kawaida, ghafla Urusi kwa mihemko ya Putin, ikaanza kushambulia kwa kila aina ya silaha, ila Ukraine wakajikakamua na kugeuza kibao.....

Issue mbili hizo zinahitaji ilmu ya dunia kuzielewa, sio ile ya madrassa.
Asipokuelewa na hapa basi tena 😁😁😁
 
Back
Top Bottom