Akili ipi? Kushabikia uonevu na majeshi ya kigeni kukalia ardhi ya wengine? Kisiwa cha migingo kilifanya mlete vurugu na Uganda ndio sembuse wangekalia eneo kama Busia au Bungoma?
Vipi Anti balaka huko CAR ilikua ni Christian extremists pamoja na LRA ya Kony nayo imechinja sana huko Congo na CAR!!
Tukienda kidini mkuu hao wazungu/wakristo wameua sana kasome kuhusu mauaji ya wajerumani huko Namibia au mauaji ya King Leopold aliyepewa support na wakatoliki kukamilisha mauaji DRC. Yeye pekee alihusika na vifo sio chini ya million
Halafu anaibuka mtu kutokea kusikojulikana anabana pua kuwa ardhi yote ya Israel ni ya akina Hamas pekee, haiwahusu Wayahudi🙄Hiyo Ardhi ishajionea mauaji ya kimbari toka Karne na Karne.
Vitabu vikongwe vimeandika mengi, waandishi walitumia neno "besiege* ama siege of the city. Inafikirisha kinamna
How King Nabuchadnedza besieged Jerusalem in 587 BC?
Yaani majitu mnashabikia ugaidi wa HAMAS kisa ni watu wa dini yenu halafu majibu ya Israel yanakuja kwa nguvu hadi kutia ukakasi, kuna picha nimeziona ambazo siwezi kuzileta humu ila hii dunia inakosa ladha.
Hivi kiukweli mnajitapa kufaidi nini baada ya kile HAMAS walifanya, maana haya majibu ya Israel yamesababisha maafa na majanga mengi sana, watu wamerudishwa nyuma hadi zero.
Inauma kishenzi, licha ya kwamba mimi ni pro-Israel lakini kila nikiona haya mapicha nasikitika sana, mnashindwa vipi kuishi na binadamu wenzenu kwa amani kama kweli hiyo dini inafundisha amani.
Dini yenyewe fulu vurugu, ina maugomvi na dini zote, mara mpigane na Wahindi, Wabutha, Wakristo hata hawa Wayahudi, kote kote dini moja tu, vurugu zenu mpaka hata huku Afrika kwa tuliojichokea kimaisha bado mnatulipua.
Nenda kule Congo, maskini wakulima wanachinjwa na kundi la AFP kisa dini.
Judea inatokana na Yuda mtoto wa Israel(Yakobo).Hawa walikua wanatokea Judea (Southern Kingdom) na hata kiimani ni tofauti kabisa na "waisrael" waliokua wanaishi Kingdom of Israel (Makabila Kumi). So kuanzia jina mpaka imani ya kiyahudi inatokana na wao kuishi hapo Judea.
Oooh kumbe, kabila gani hilo lilirejea mkuu katika Kingdom of Israel?
Wapalestina ndiyo wavamizi mkuu, Ile ardhi siyo yao na haitakuwa yao kamweIsrael waache kukalia ardhi ya wapalestina... Huwezi kuwaweka watu kama watumwa ufikiri utaishi kwa amani
UONGO huu!Israel hajaonyesha picture ya aino yoyote watoto walio chinjwa na Hamasi au walio uliwa wakiwa civilian walio uliwa na Hamasi.
Hao wote ni wanajeshi wa Israel wawe wanawake au wanaumlakonini hakuna sehemu Hamasi wamechinja watoto kama wanavyo sema western media.
Rais wa America alisema pia Hamasi wamechinja na kurape wanawake badaye aka banwa kwenye swali uliona hizo picture.
Akasema nimehadisiwa na Natanyahu 😂 Yani Rais wa nchi inajidai Super power anasema uwongo ili kudhalilisha duniani Hamasi si wanajeshi ball ni wauwaji kama hao ISIS ambao Israel mwenye alikiri yeye ndiye aliwatengeneza.
Kuna wanawake wawili wa Israel wamesema wazi Hamasi hawa rape wala si wauwaji watoto tena wanasifu adabu zao lakini Western media haitaki kuisambaza ni si ajabu wameifuta kwenye tube 😂
Walivamia kivipi?Wapalestina ndiyo wavamizi mkuu, Ile ardhi siyo yao na haitakuwa yao kamwe
Hao ni wavamizi sijui why mna label kama "raia wasio na hatia". Hivi kipindi kina Mandela wanaua makaburu kwa hit and run.. nao walikua raia wasio na hatia?UONGO huu!
Hao Hamas walivamia tamasha la mziki, wakaua sana vijana wadogo wasio na hatia wala silaha yoyote..
Ilipatikana pale miili zaidi ya 260..
Tamasha la muziki la Israel: Miili 260 yapatikana - BBC News Swahili
'Nilijifanya nimekufa hadi wanajeshi wa Israel walipokuja'www.bbc.com
Acha uongo walilaaniwa na kanisa lini? Anti-Balaka walilaaniwa na nani? Si walikua wanapongezwa humu jf kila siku kwa "kufundisha adabu" hao waislam. Au umewahi ona kanisa limelaaniwa kwa genocide walizofanya Rwanda?Hao walilaaniwa na Wakristo, hutakuta mtu anafanya ugaidi anajiita Mkristo na tumshabikie kama mnavyofanya nyie, maana mumeamrishwa kwenye vitabu vyenu kuchinja watu na mlivyo wajinga mnachinja kote.
Nimekosoa wapi nimekuonyesha unafiki wenu..... Ukraine mpaka imeua raia wa Poland kwa maroketi yake ila sijaona kelele au wakiitwa magaidi. Nachosema watu walipotezea sababu wanajua wanapambania ardhi yao so wana haki ya kumuua adui yoyote. Cha ajabu mijitu inaona tofauti kati ya Putin na Israel wakati ni kitu kile kile cha kukalia nchi ya watu kimabavuYaani sijui mkoje, halafu wewe nimekuona wa hovyo sana pale ulikosoa Ukraine kwa kushambulia Urusi, mna uzombi wa
Wametokea Uru ya wakaldayo huko. Na Abraham alikuta tayari Canaan wapo makabila 13. Walichofanya hao wayahudi waliua makabila yote ya hapo kwa genocide ndio wakahodhi ardhi.
Huko Ukrain na Russia nao kuna waislamUISLAM=UGAIDI
popote palipo na uislam lazima kuwe na vurugu.
Haikutambuliwa sababu US said so, unadhani hata hao Israel bila US wangetambuliwa? Hata China inatambulika kama taifa linaloendelea tu sio lililoendelea!! Because US says so.Kwa muktadha wa swali kama lilivyo nakujibu Hapana
Kwa mujibu wa swali lioane na mjadala tunaouendesha hapa, majibu yake ni rahisi mno. Pale Gaza walichokifanya HAMAS ni ugaidi ambao unapaswa kukemewa na sounded mind yeyote.
Issue ya Palestina ni agenda kubwa ya UNSEC.
Ingawa tangu awali hakuna mtu aliyejiuliza kwa nini Palestina imekuja kutambuliwa kama Taifa hivi karibuni enzi za Yasser Arafat. Why and how does them exist without Taifa tangu enzi?
Huo mjadala ulishafungwa kitambo, wanachodai hata UN ni kuheshimiwa mipaka ya 1960s sio kwamba waisrael waondoke Tel Aviv!!Uongo huu sasa!
Wapalestina na makundi yao ya kigaidi wakirejea kwenye amani ya kweli, Israel hawatawarushia hata jiwe, amani itatamalaki..
Kuna wajinga wanadai ile ardhi yote ya Israel ni ya waarabu, bila kuonyesha ni wapi Waisrael wakaishi.
View attachment 2780601
Alafu why are you quoting Netanyahu? Who the hell is he? Kule kwao ana kesi ya ufisadi so lazima aongee utumbo wowote kushinda chaguzi ila sio kwamba ni mzalendo au ana nia njema na amani ya Israel. Ni jizi tu kama.majizi mengine na kama sio hii vita kesi yake ingeendelea kuunguruma.Uongo huu sasa!
Wapalestina na makundi yao ya kigaidi wakirejea kwenye amani ya kweli, Israel hawatawarushia hata jiwe, amani itatamalaki..
Kuna wajinga wanadai ile ardhi yote ya Israel ni ya waarabu, bila kuonyesha ni wapi Waisrael wakaishi.
View attachment 2780601
Acha uongo walilaaniwa na kanisa lini? Anti-Balaka walilaaniwa na nani? Si walikua wanapongezwa humu jf kila siku kwa "kufundisha adabu" hao waislam. Au umewahi ona kanisa limelaaniwa kwa genocide walizofanya Rwanda?
Nimekosoa wapi nimekuonyesha unafiki wenu..... Ukraine mpaka imeua raia wa Poland kwa maroketi yake ila sijaona kelele au wakiitwa magaidi. Nachosema watu walipotezea sababu wanajua wanapambania ardhi yao so wana haki ya kumuua adui yoyote. Cha ajabu mijitu inaona tofauti kati ya Putin na Israel wakati ni kitu kile kile cha kukalia nchi ya watu kimabavu
Saudi Arabia ambapo ndio kitovu Cha uislamu Kuna mavurugu??
Wewe umeielewa sana Quran kuliko wao ???
Sijui unaongea vitu gani, una generalise tu kwani ukisema waislam ni kina nani? Ni sawa na Anglican kuembrace ushoga alafu mtu aseme "wakristo wanapenda ushoga". Why? Umewahi kwenda msikiti gani ukasikia wanashabikia ugaidi?Mjifunze sana na Ukristo, utakua ulighubikwa na ukungu wa hiyo dini yenu hukuona watu wakilaani, ila nyie mnashabikia kabisa kila ugaidi wa dini yenu, mnaua na kuchinja, japo siwalaumu maana mumeagizwa kabisa na huyo mungu wenu muarabu
Wapi nimekosoa? Tafuta nyuzi zangu zote nimekua nikipinga uvamizi wa Urusi. Mimi nachopinga ni nyie mnao support Ukraine kujipambania dhidi ya wavamizi wa Urusi eti mnashangaa Palestine wakijipambania uhuru wao.Kuhusu Ukraine, usipindishe, nilikuona kiazi pale ulianza kukosoa wao kupiga Urusi kwa drone wakati kabisa wanajilinda na uvamizi wa taifa kubwa mara kumi yao, uone mlivyo wajinga kisa mumeaminishana huko kwenye misikiti eti Urusi inafanya inachokifanya kuikomoa Marekani.
Duh!Alafu why are you quoting Netanyahu? Who the hell is he?