Kuna pisi moja ya kishua naipenda sana lakini hata nikiisalimia haioneshi ushirikiano, nifanyeje?

Kuna pisi moja ya kishua naipenda sana lakini hata nikiisalimia haioneshi ushirikiano, nifanyeje?

Aisee kuna binti mmoja hapa mtaani kwetu wakishua sana nimetokea kumpenda sana lakn kila nikimpa Hi haitikii.

Kitu hicho kinaniumiza sana wadau.lakn leo asubui natoka senta naelekea home nikaona nae yupo na mdogo wake mdogo wa kike wanatoka sokon wanaelekea home nikampa hi kaitikia fresh tuu.

Nikamwambia naitwa fulani waitwa nani wew?akajibu.

Yey."ili iweje!
Mim."naomba tuwe marafk
Yey."urafki feki uo
Mim."kama huta jali naomba namba yako ya simu
Yeye."akaguna tu then akaingia getini.

Sasa wadau naombeni msaada wenu ni namna gani ya kumnasa huyo binti.anamatako makubwa usipime kias kwamba hata kutembea unaona kabsa yanampa shida.kiuno kidogooo

Wadau wamenambia dingi ake ni OCD
Mabaharia nitumie mbinu gni huyu mtoto.
Mademu wa watu wazito ni rahisi sana kudate nao mkuu,yani wale hutongozi kama unavyo tongoza hawa wengine mkuu... Unatumia mathematical induction tuu anakaa kwenye reli mkuu...
 
Siku nyingine ukimwona,
Mshike kwa mikono🤝,
Nwangalie ndani ya macho👀,
Mpeleke kando na umwambie🗣️


Commit a crime and I'll be your defender👨‍⚖️
Overpower me so that I surrender🙌,
I wish I could be your saliva💦
So that I could taste your lips💋 whenever
Kwa kweli manzi umebarikiwa🙏,
Ndio maana tunaimba halleluyah🎶,
I wish I could be your shoe👠,
I would have such a beautiful view👀,
And if I was the slit on your dress👗,
My goal in life would be to aim for the highest🏔️,
If only I could be your body lotion,
I would walk with undivided devotion,
Kila siku nakufikiria Ndio maana nasinzia😴
Nasinzia nikikuwaza 😴(oh oh)
Nasinzia nikikuwaza 😴 (oh oh)
Miaka rudi, miaka nenda⏳ (oh oh)
Nasinzia nikikuwaza😴 (oh oh)
Nasinzia nikikuwaza 😴(oh oh)
Nasinzia nikikuwaza 😴(oh oh)
Kila siku ya calendar 📅(oh oh)
Nasinzia nikikuwaza 😴(oh oh
)
Afu baada ya hapo kuna bonge la verse la kibabe linafata, diamond akasome

Ukichora sitaaa, nitachora saabaa.../
 
Nunua sumu ya panya ue unatembea nayo,siku ukimuona chana kidogo af mwambie usiponipa namba nailamba.akigoma kukupa ilambe tu mkuu maana utakua huna maana tena
OCD kama OCD
 
[QUOTwwaE="Daudi Mchambuzi, post: 40390770, member: 32466"]
Kazi ndogo sana, tengeneza kibaka feki ampige kabali akiwa njiani, then wewe unatokea na kumtimua kibaka feki na kumdhibiti ili kumnusuru binti husika na kumrejeshea vitu alivyomuibia na amani yake.

Unamsindikiza kidogo mkiwa njiani usimuombe namba bali unachukua simu yake unajibeep, unamuaga na kumsisitiza akifika nyumbani akutaarifu.
Wazo zuri lakn vp huyo kibaka akizibitiwa na watu akala makofi mawili matatu akanitaja itakuaje hapo![/QUOTE]Au kibaka akakuzibiti wewe na dada
Hivi mtafanyeje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku nyingine ukimwona,
Mshike kwa mikono[emoji1666],
Nwangalie ndani ya macho[emoji102],
Mpeleke kando na umwambie[emoji2788]


Commit a crime and I'll be your defender[emoji1824]
Overpower me so that I surrender[emoji119],
I wish I could be your saliva[emoji97]
So that I could taste your lips[emoji182] whenever
Kwa kweli manzi umebarikiwa[emoji120],
Ndio maana tunaimba halleluyah[emoji445],
I wish I could be your shoe[emoji151],
I would have such a beautiful view[emoji102],
And if I was the slit on your dress[emoji156],
My goal in life would be to aim for the highest[emoji2511],
If only I could be your body lotion,
I would walk with undivided devotion,
Kila siku nakufikiria Ndio maana nasinzia[emoji42]
Nasinzia nikikuwaza [emoji42](oh oh)
Nasinzia nikikuwaza [emoji42] (oh oh)
Miaka rudi, miaka nenda[emoji352] (oh oh)
Nasinzia nikikuwaza[emoji42] (oh oh)
Nasinzia nikikuwaza [emoji42](oh oh)
Nasinzia nikikuwaza [emoji42](oh oh)
Kila siku ya calendar [emoji413](oh oh)
Nasinzia nikikuwaza [emoji42](oh oh
)
Aseme na hizo oh oh???[emoji23][emoji23][emoji23]
Sio azivute vute iwee oooooooh au mimi ndo nyimbo siijui
 
Aisee kuna binti mmoja hapa mtaani kwetu wakishua sana nimetokea kumpenda sana lakn kila nikimpa Hi haitikii.

Kitu hicho kinaniumiza sana wadau.lakn leo asubui natoka senta naelekea home nikaona nae yupo na mdogo wake mdogo wa kike wanatoka sokon wanaelekea home nikampa hi kaitikia fresh tuu.

Nikamwambia naitwa fulani waitwa nani wew?akajibu.

Yey."ili iweje!
Mim."naomba tuwe marafk
Yey."urafki feki uo
Mim."kama huta jali naomba namba yako ya simu
Yeye."akaguna tu then akaingia getini.

Sasa wadau naombeni msaada wenu ni namna gani ya kumnasa huyo binti.anamatako makubwa usipime kias kwamba hata kutembea unaona kabsa yanampa shida.kiuno kidogooo

Wadau wamenambia dingi ake ni OCD
Mabaharia nitumie mbinu gni huyu mtoto.
Komaa nae huyo ni wako kabisa usikate tamaa
 
Afu baada ya hapo kuna bonge la versela kibane linafata, diamond akasome

Ukichora sitaaa, nitachora saabaa.../
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hakujua kipindi hiko nameless maana ya kuchora saba itakavokua mbovu.....

The verse aged like sour milk asee
 
Nunua sumu ya panya ue unatembea nayo,siku ukimuona chana kidogo af mwambie usiponipa namba nailamba.akigoma kukupa ilambe tu mkuu maana utakua huna maana tena
Ushauri gani huo...

Ngoja niendelee kucheka
 
Back
Top Bottom