Kuna pisi moja ya kishua naipenda sana lakini hata nikiisalimia haioneshi ushirikiano, nifanyeje?

Kuna pisi moja ya kishua naipenda sana lakini hata nikiisalimia haioneshi ushirikiano, nifanyeje?

ahhahahahah Mkuu jamaa anaongelea maisha halisi sio movie.usimponze akakutana na makubwa.kwa mara ambazo amemfata ifike wakati ajifunze kubalance shobo tu.
Afanye kama sinema , washua huwa wanaishi maisha kama muvi ajaribu bahati🤣
 
Kazi ndogo sana, tengeneza kibaka feki ampige kabali akiwa njiani, then wewe unatokea na kumtimua kibaka feki na kumdhibiti ili kumnusuru binti husika na kumrejeshea vitu alivyomuibia na amani yake.

Unamsindikiza kidogo mkiwa njiani usimuombe namba bali unachukua simu yake unajibeep, unamuaga na kumsisitiza akifika nyumbani akutaarifu.
Mambo ya movie za govinda unataka kumfanya kijana awe hero hahahaha si mambo ya masihara hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta hela hiyo sio pisi ya sigara
 
Kaza mwamba kaza ......mtoto atakua anakuelewa kinyama huyo ...sema anakupima tu
nalog off
 
Ngoja wake kukupa muongozo...

Kama haelekei achana nae...
 
Kazi ndogo sana, tengeneza kibaka feki ampige kabali akiwa njiani, then wewe unatokea na kumtimua kibaka feki na kumdhibiti ili kumnusuru binti husika na kumrejeshea vitu alivyomuibia na amani yake.

Unamsindikiza kidogo mkiwa njiani usimuombe namba bali unachukua simu yake unajibeep, unamuaga na kumsisitiza akifika nyumbani akutaarifu.
Mwe..we jamaa bongo muvi zinakuharibu duh!! Na akiita mwiz na mtu akauwawa ??
 
Back
Top Bottom