Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,080
- 2,871
OkHahahahhhh
Hata Lazio nae leo kachezea vitatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkHahahahhhh
Hata Lazio nae leo kachezea vitatu
Afanye kama sinema , washua huwa wanaishi maisha kama muvi ajaribu bahati🤣ahhahahahah Mkuu jamaa anaongelea maisha halisi sio movie.usimponze akakutana na makubwa.kwa mara ambazo amemfata ifike wakati ajifunze kubalance shobo tu.
Na ujanja wako wote na mbinu za kisasa ila wife akikusema unalia?Zimepitwa na wakati, swagger za zamani mno. Hatupo huko tena!.
Na ujanja wako wote na mbinu za kisasa ila wife akikusema unalia?
Thread 'Umewahi kulia kisa kusemwa na mkeo/mpenzio?' Umewahi kulia kisa kusemwa na mkeo/mpenzio?
Hahah hapo umempiga kenye mapumbuNa ujanja wako wote na mbinu za kisasa ila wife akikusema unalia?
Thread 'Umewahi kulia kisa kusemwa na mkeo/mpenzio?' Umewahi kulia kisa kusemwa na mkeo/mpenzio?
unaweza kuta hata hakana wingi ni kapumbu 🤣Hahah hapo umempiga kenye mapumbu
Mambo ya movie za govinda unataka kumfanya kijana awe hero hahahaha si mambo ya masihara hayoKazi ndogo sana, tengeneza kibaka feki ampige kabali akiwa njiani, then wewe unatokea na kumtimua kibaka feki na kumdhibiti ili kumnusuru binti husika na kumrejeshea vitu alivyomuibia na amani yake.
Unamsindikiza kidogo mkiwa njiani usimuombe namba bali unachukua simu yake unajibeep, unamuaga na kumsisitiza akifika nyumbani akutaarifu.
Kumbe ndiyo tunavyowateka hisia hivyoNukia pendeza afu mkaushie.
Sasa sio siku moja moja, ni deile.
Siku unajua hapa pamba nimetindinganya usikatize mitaa yao.
We jamaa una busara sana, elewa tuu hivyoOk vizuri
Shukrani mkuu,hata rafiki zangu wananiambiaga hivo,We jamaa una busara sana, elewa tuu hivyo
Mwe..we jamaa bongo muvi zinakuharibu duh!! Na akiita mwiz na mtu akauwawa ??Kazi ndogo sana, tengeneza kibaka feki ampige kabali akiwa njiani, then wewe unatokea na kumtimua kibaka feki na kumdhibiti ili kumnusuru binti husika na kumrejeshea vitu alivyomuibia na amani yake.
Unamsindikiza kidogo mkiwa njiani usimuombe namba bali unachukua simu yake unajibeep, unamuaga na kumsisitiza akifika nyumbani akutaarifu.
bongo movie ndiyo nini??Mwe..we jamaa bongo muvi zinakuharibu duh!! Na akiita mwiz na mtu akauwawa ??