Kuna pisi moja ya kishua naipenda sana lakini hata nikiisalimia haioneshi ushirikiano, nifanyeje?

Kuna pisi moja ya kishua naipenda sana lakini hata nikiisalimia haioneshi ushirikiano, nifanyeje?

[QUOTwwaE="Daudi Mchambuzi, post: 40390770, member: 32466"]
Kazi ndogo sana, tengeneza kibaka feki ampige kabali akiwa njiani, then wewe unatokea na kumtimua kibaka feki na kumdhibiti ili kumnusuru binti husika na kumrejeshea vitu alivyomuibia na amani yake.

Unamsindikiza kidogo mkiwa njiani usimuombe namba bali unachukua simu yake unajibeep, unamuaga na kumsisitiza akifika nyumbani akutaarifu.
[/QUOTE]
Kazi ndogo sana, tengeneza kibaka feki ampige kabali akiwa njiani, then wewe unatokea na kumtimua kibaka feki na kumdhibiti ili kumnusuru binti husika na kumrejeshea vitu alivyomuibia na amani yake.

Unamsindikiza kidogo mkiwa njiani usimuombe namba bali unachukua simu yake unajibeep, unamuaga na kumsisitiza akifika nyumbani akutaarifu.
Wazo zuri lakn vp huyo kibaka akizibitiwa na watu akala makofi mawili matatu akanitaja itakuaje hapo!
 
Aisee kuna binti mmoja hapa mtaani kwetu wakishua sana nimetokea kumpenda sana lakn kila nikimpa Hi haitikii.

Kitu hicho kinaniumiza sana wadau.lakn leo asubui natoka senta naelekea home nikaona nae yupo na mdogo wake mdogo wa kike wanatoka sokon wanaelekea home nikampa hi kaitikia fresh tuu.

Nikamwambia naitwa fulani waitwa nani wew?akajibu.

Yey."ili iweje!
Mim."naomba tuwe marafk
Yey."urafki feki uo
Mim."kama huta jali naomba namba yako ya simu
Yeye."akaguna tu then akaingia getini.

Sasa wadau naombeni msaada wenu ni namna gani ya kumnasa huyo binti.anamatako makubwa usipime kias kwamba hata kutembea unaona kabsa yanampa shida.kiuno kidogooo

Wadau wamenambia dingi ake ni OCD
Mabaharia nitumie mbinu gni huyu mtoto.
Kwa hivyo vitu vilivyokuvutia kwa huyo binti moja kwa moja hufai kupewa manuva ya wanaume smart kama sisi...yani umevutiwa na ushua, matako na kingine eti binti baba yake ni OCD, unayumba tafuta vitu vinavyokuvutia kwa binti nje ya umbo la binti na maanisha mtu wa ndani ( roho ) yake hapo ndio kila kitu utapata for free # mapenzi sio pesa.
 
Mtoto wa Capri point anaenda sokoni? Soko gani hilo mkuu?
Babake ni OCD Ilemela, Nyamagana, Sengerema, Magu au Misungwi?

Me nahisi huyo ni beki tatu mkuu
Mkuu stop hating.

Akija kututambia ameshampata tutakimbilia wapi?
 
Back
Top Bottom