EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
[emoji28][emoji28][emoji28] acha woga dogooMaswali yako yamekaa kama wasio julikana [emoji124]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28] acha woga dogooMaswali yako yamekaa kama wasio julikana [emoji124]
Sio makosa yangu ni makosa ya moyoKwa hivyo vitu vilivyokuvutia kwa huyo binti moja kwa moja hufai kupewa manuva ya wanaume smart kama sisi...yani umevutiwa na ushua, matako na kingine eti binti baba yake ni OCD, unayumba tafuta vitu vinavyokuvutia kwa binti nje ya umbo la binti na maanisha mtu wa ndani ( roho ) yake hapo ndio kila kitu utapata for free # mapenzi sio pesa.
Huyo anaesema kwamba watoto wa kapri point huwa hawatoki nje ni nani na imeandikwa kwenye katiba gani msikalili maishaAisee kuna binti mmoja hapa mtaani kwetu wakishua sana nimetokea kumpenda sana lakn kila nikimpa Hi haitikii.
Kitu hicho kinaniumiza sana wadau.lakn leo asubui natoka senta naelekea home nikaona nae yupo na mdogo wake mdogo wa kike wanatoka sokon wanaelekea home nikampa hi kaitikia fresh tuu.
Nikamwambia naitwa fulani waitwa nani wew?akajibu.
Yey."ili iweje!
Mim."naomba tuwe marafk
Yey."urafki feki uo
Mim."kama huta jali naomba namba yako ya simu
Yeye."akaguna tu then akaingia getini.
Sasa wadau naombeni msaada wenu ni namna gani ya kumnasa huyo binti.anamatako makubwa usipime kias kwamba hata kutembea unaona kabsa yanampa shida.kiuno kidogooo
Wadau wamenambia dingi ake ni OCD
Mabaharia nitumie mbinu gni huyu mtoto.
Teh akili za usiku!! Alaf wananchi wakimkamata uyo kibaka wataelewa kama ni fake ?? Ndo atajua hajuiKazi ndogo sana, tengeneza kibaka feki ampige kabali akiwa njiani, then wewe unatokea na kumtimua kibaka feki na kumdhibiti ili kumnusuru binti husika na kumrejeshea vitu alivyomuibia na amani yake.
Unamsindikiza kidogo mkiwa njiani usimuombe namba bali unachukua simu yake unajibeep, unamuaga na kumsisitiza akifika nyumbani akutaarifu.
Not alwaysHisia hutengenezwa kijana
20 & 21
Bado matumizi ya your na you are ni tatizoOk vizuri,Basi tengeneza mazingira akuelewe Ila Kama Hana hisia na wewe bro your wasting your time.Take it from me narudia your wasting your time.Ishawahi nitokea same situation miaka Fulani huko nikiwa amateur kwenye masuala ya relationship.
Zimepitwa na wakati, swagger za zamani mno. Hatupo huko tena!.Nukia pendeza afu mkaushie.
Sasa sio siku moja moja, ni deile.
Siku unajua hapa pamba nimetindinganya usikatize mitaa yao.
Wivu huo[emoji849][emoji849] muache dogo atoe gundu! Au mnataka wa kishua mtoke nao wenyewe tu? Zama zimebadilika!Tafuta wa level yako,kwani kina Chausiku chawote hawapo huko?
Nimjibie! Shobo kivipi? Hiyo haina madhara, shobo ni mbaya ukimletea mwanaume mwenzako. Ila kwa mwanamke, tena usiyemfahamu ni kawaida sana.Ukweli unauma lakini lazima usemwe. Kipunga jifunze kubalansi shobo.
ahhahahahah Mkuu jamaa anaongelea maisha halisi sio movie.usimponze akakutana na makubwa.kwa mara ambazo amemfata ifike wakati ajifunze kubalance shobo tu.Siku nyingine ukimwona,
Mshike kwa mikono🤝,
Nwangalie ndani ya macho👀,
Mpeleke kando na umwambie🗣️
Commit a crime and I'll be your defender👨⚖️
Overpower me so that I surrender🙌,
I wish I could be your saliva💦
So that I could taste your lips💋 whenever
Kwa kweli manzi umebarikiwa🙏,
Ndio maana tunaimba halleluyah🎶,
I wish I could be your shoe👠,
I would have such a beautiful view👀,
And if I was the slit on your dress👗,
My goal in life would be to aim for the highest🏔️,
If only I could be your body lotion,
I would walk with undivided devotion,
Kila siku nakufikiria Ndio maana nasinzia😴
Nasinzia nikikuwaza 😴(oh oh)
Nasinzia nikikuwaza 😴 (oh oh)
Miaka rudi, miaka nenda⏳ (oh oh)
Nasinzia nikikuwaza😴 (oh oh)
Nasinzia nikikuwaza 😴(oh oh)
Nasinzia nikikuwaza 😴(oh oh)
Kila siku ya calendar 📅(oh oh)
Nasinzia nikikuwaza 😴(oh oh)
Wazo zuri lakn vp huyo kibaka akizibitiwa na watu akala makofi mawili matatu akanitaja itakuaje hapo![QUOTwwaE="Daudi Mchambuzi, post: 40390770, member: 32466"]
Kazi ndogo sana, tengeneza kibaka feki ampige kabali akiwa njiani, then wewe unatokea na kumtimua kibaka feki na kumdhibiti ili kumnusuru binti husika na kumrejeshea vitu alivyomuibia na amani yake.
Unamsindikiza kidogo mkiwa njiani usimuombe namba bali unachukua simu yake unajibeep, unamuaga na kumsisitiza akifika nyumbani akutaarifu.
Asante kwa kunirekebisha mwana betting mwenzangu...Alafu psg kafugwa mbili mtungi.Bado matumizi ya your na you are ni tatizo
HahahahhhhAsante kwa kunirekebisha mwana betting mwenzangu...Alafu psg kafugwa mbili mtungi.