Kuna pisi moja ya kishua naipenda sana lakini hata nikiisalimia haioneshi ushirikiano, nifanyeje?

Kuna pisi moja ya kishua naipenda sana lakini hata nikiisalimia haioneshi ushirikiano, nifanyeje?

Aisee kuna binti mmoja hapa mtaani kwetu wakishua sana nimetokea kumpenda sana lakn kila nikimpa Hi haitikii.

Kitu hicho kinaniumiza sana wadau.lakn leo asubui natoka senta naelekea home nikaona nae yupo na mdogo wake mdogo wa kike wanatoka sokon wanaelekea home nikampa hi kaitikia fresh tuu.

Nikamwambia naitwa fulani waitwa nani wew?akajibu.

Yey."ili iweje!
Mim."naomba tuwe marafk
Yey."urafki feki uo
Mim."kama huta jali naomba namba yako ya simu
Yeye."akaguna tu then akaingia getini.

Sasa wadau naombeni msaada wenu ni namna gani ya kumnasa huyo binti.anamatako makubwa usipime kias kwamba hata kutembea unaona kabsa yanampa shida.kiuno kidogooo

Wadau wamenambia dingi ake ni OCD
Mabaharia nitumie mbinu gni huyu mtoto.


Mtoto wa OCD ndio wa kishua?
 
Love is directly proportional to the economic status you have.
Alafu unapochangia mada tumia lugha nzuri.
Msamehe tu lakini jombaa mapenzi hayana fomla unaweza kuwa upo na cash bado ukazinguliwa halafu boda boda akang'oa pisi Kali kiulain mwisho wa siku unamtaftia mabaunsa wampige....sisi mabaharia tunatumia akili sana kuwakata watoto wazuri mwamba namshauri akomae akaze one day tembo ataja lala mwenyewe
 
Aisee kuna binti mmoja hapa mtaani kwetu wakishua sana nimetokea kumpenda sana lakn kila nikimpa Hi haitikii.

Kitu hicho kinaniumiza sana wadau.lakn leo asubui natoka senta naelekea home nikaona nae yupo na mdogo wake mdogo wa kike wanatoka sokon wanaelekea home nikampa hi kaitikia fresh tuu.

Nikamwambia naitwa fulani waitwa nani wew?akajibu.

Yey."ili iweje!
Mim."naomba tuwe marafk
Yey."urafki feki uo
Mim."kama huta jali naomba namba yako ya simu
Yeye."akaguna tu then akaingia getini.

Sasa wadau naombeni msaada wenu ni namna gani ya kumnasa huyo binti.anamatako makubwa usipime kias kwamba hata kutembea unaona kabsa yanampa shida.kiuno kidogooo

Wadau wamenambia dingi ake ni OCD
Mabaharia nitumie mbinu gni huyu mtoto.
How old r u?
2nd qn:
Sp iko interested sababu no mtoto wa kishua sio??
 
Msamehe tu lakini jombaa mapenzi hayana fomla unaweza kuwa upo na cash bado ukazinguliwa halafu boda boda akang'oa pisi Kali kiulain mwisho wa siku unamtaftia mabaunsa wampige....sisi mabaharia tunatumia akili sana kuwakata watoto wazuri mwamba namshauri akomae akaze one day tembo ataja lala mwenyewe
Kweli mzee Ila Hawa viumbe hawaelewiki Kama mvua za dar
 
OCD wa mwanza hapa naandika.....
[emoji117]wew kijana nmekukumbuka, si ndye wew juzi ulikatisha mbele ya V8 yangu ukiomba tenda yakurekebisha oil chafu, na ukasema unakaa mtaa wa3?
[emoji117]sie wew ulisema una uzoef wa kaz za ndan na unataka kibarua cha kumwagilia garden yangu pale home?
[emoji117]halooooo kijana kuwa makini...nitakutafuta[emoji114]

note:- kijana nitakutafuta, unataka kumfanya nn binti yangu bado mdogo[emoji23]
 
Fanya juu chini umtoe date huyo mchumba afu improve your nonverbal cues mkiwa date na ukiadapt the man mentality unachukua chombo icho.
 
Back
Top Bottom