Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Huyo jamaa anakujaza tu utakutana na kijibwa koko kikubwekee tu hapaSipendi kuambiwa pole baada ya kula, asante inapendeza zaidi.
Nilishatuma maombi kwa ID nyingine huyu jimama, ila sikufanikiwa... ngoja 40 ziishe nikomae tena.
cc Evelyn Salt.
Haya mawazo ya kawaida kweli?[emoji16][emoji16]Hapana,tofautisha kabisa na marioo,
Hapa nazungumzia mwanamke aliekuzidi kwa kila kitu,mwenye hadhi au mamlaka ya juu zaidi yako.
Unaweza kuwa Graduate kabisa na kazi yako Safi tu,lakini ukala PHD,ukala Director ukala Princess,au Mfanyabiashara mkubwa ,mwenye fedha
kwa mfano Kuna kazi hizi amabzo vyeo hukaa mabegani,Unakula mrembo bana nyoya au ngao ya Bibi na Bwana begani wakati wewe huna.
Raha sio papuchi tu,Raha ni kula hadhi au heshima aliyonayo,anayopewa na jamii.
Hiyo ya kuwa Marioo Ni kwamba huna kazi yoyote unalelewa na mwanamke tu anaweza kuwa mama muuza vitumbua lakini wewe unakaa nyumbani tu huna kazi yoyote ya kufanya.
AbeeBinamu....
Kwanini nivulie mtoto pichu na baba zake wapo?Mbona hamuelewi?
Sizungumzii u Marioo,nazungumzia kula penzi la mwanamke aliekuzidi kwa kila kitu Kuna Raha yake.
Huyo mtoto unaemfikiria anaweza kuwa anatoka familia yenye uwezo na Hana shida na hela yako Wala matunzo.
Isipokua Raha tu.
Na Raha atakayokua aniapata ambayo Ni nadra vijana wa Rika yake kuipata Ni ile Hali ya kuwa anakuvua chupi Dada mkubwa Kama wewe halafu unamkatia nyonga,halafu Kama wewe ndo Mwalimu wake wa darasa lol Ni Raha Sana aisee.
Anakua anawachora wenzake wanavyohangaika Ni vitoto vyanzao.
Hivi ukiwa na uhusiano na mtu ndo baadae unagundua umemzidi miaka hata almost mitatu hata tano utafanyaje na alilidanganya mkubwa ?Kwanini nivulie mtoto pichu na baba zake wapo?
Mi mtu niliemzidi umri sio mambo yangu kabisa.
Ngumu kumesa. Hili linajadilika. Msimamo unaweza ukalegezwaHivi ukiwa na uhusiano na mtu ndo baadae unagundua umemzidi miaka hata almost mitatu hata tano utafanyaje na alilidanganya mkubwa ?
Basi kuna mtu nilimdanganya kwa mda mrefu nikahofia akijua amenizid atakimbia kumbe linazungumzkaNgumu kumesa. Hili linajadilika. Msimamo unaweza ukalegezwa
Nakutafuta, tutafutane tafadhaliAbee
Huyo jamaa anakujaza tu utakutana na kijibwa koko kikubwekee tu hapa
Sawa mkuuNakutafuta, tutafutane tafadhali
Sasa mbona umeunga mkono hoja yangu.asante Sana ndo hivyo hivyo hata kwa hai wanawake waliokuzidi kwa vitu.Ujui kitu broh... nani kwambia kuwa malaya ndio unakua fundi kitandani
Ishawai kumkuta mtoto wa kilokole au mtoto wa kislamu akawa mtamu kinoma hadi ukajiuliza hivi vitu wanafundishwa kwenye nyumba za ibada
Ha ha haa,wewe Mimi Wala sihitaji mipesa yako ,Kwa sifa hizi, utamu wangu haufananishwi yani hata asali ikasome, tende ndio zikaanze chekechea kabisa
Sisi wenye hadhi za chini sio watamu?!?? Au???
Hiyo ndio fantasy yako wewe, kila mtu na fantasy zake.....Ha ha haa,wewe Mimi Wala sihitaji mipesa yako ,
Mimi nataka kula hadhi yako,
Siku ukija kwa hoteli unamuacha dereva
Waking chini huko,uanpandisha gorofani.
Raha yangu Mimi Ni kukuambia madam kiss me,
Madam sogea basi nikuvue Pichu,
Madam Ni suck basi,
Madam lalia tumbo basi au lalia ubavu halafu kunja mguu huu juu.
Tukimaliza Mimi naondoka na Ist yangu wewe unaondoka na Vx lako mfano Tena unaendeshwa,hiyo ndo Raha yenyewe bana.
Hivi wewe Dada mtu kwa Nini kwenye ndege Kuna Business class na economy class lakini wote so mna fika?
Kwa Ni kuna tofauti gani kulala gest na kulala 5 star hotel?
Hadhi ina Raha yake
Kwako Wewe nahitaji hadhi Wala sihitaji miuno.
Kama chapati? Au hamna mfano?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣weye mtamu tena mtamu sana 😋😋😋
Kama chapati? Au hamna mfano?