Kuna rocket imetumwa huko angani ikagonge mwamba unaohatarisha kugonga dunia

Hivi unafahamu kwamba annual budget ya NASA ni 22,000,000,000 dollars?
Hiyo ni 22 US billion dollars sawasawa na trilion 45 za kitanzania.
Umehakikisha ukweli wa hiki ulicho kiandika ?

Lakini hii si hoja ya kuonyesha ya kuwa wao wako sahihi wakati wapo kinyume na uhakisia. Huu ujinga waambie wenzako mnaopenda ngano za visasili vya Wanasayansi. Sisi huko tushatoka zamani na sasa tuna hoji uhalisia.
Na hili andiko halijaandikwa na NASA bali limeandikwa na mtu mmoja mwenye uelewa hafifu na haya mambo hivyo bila shaka hawezi kujua chochote kuhusu jinsi gani NASA wamefanya mpaka kuja na majibu.
NASA si ndiyo hao hao waliosema ya kuwa kuna mtu alienda mwezini ? Hizi filamu endeleeni kuziamini nyinyi msiofikiria mambo na kuhoji.

Mimi hata aje nani katika hao mabingwa mnao waamini nikimuuliza maswali yangu hawezi kujibu.

Wewe unajua wamefanyaje mpaka wakaja na majibu ? Tuambie.
Usitumie google bali jifunze kutumia WIKIPEDIA, kule kuna majibu yote kama utakuwa na kichwa cha kuelewa kilichoandikwa.
Googke ni mfumo na Wikipedia kadhalika waendeshaji ni watu kama mimi au wewe wana madhaifu kibao ndiyo maana sisi tunarudi kwenye asili. Sisi tunahoji mambo katika uhalisia leo hii huwezi kuniambia eti jotoridi la jua ni kiasi fulani wakati hujui jua ni nini au imekuwaje likawa hivi kilivyo bali hata kukifikia huwezi na ni muhali au kipenyo cha dunia ni kadha au uzito wa jua ni kadha wakati mchakato wa upimaji uzito tunajua ukoje na wewe huna uwezo wa kufanya hivyo.

Sayansi inakumbwa na tatizo kubwa na la siku nyingi la KUHITIMISHA mambi yao,hapa utakutana na "Assumptions" nyingi katika kanuni tunasema hivi ukiona sehemu kuna "Assumptions" nyingi ujue ukweli wameshindwa kuupata wakaweka uongo ili kukidhi haja zao.
Otherwise you're manchild asking childish questions.
Safi kabisa maswali ya kitoto ambayo wakubwa zenu wameshindwa kuyajibu.

Shukrani.
 


😀😀😀

Balaa
 
Anhaaa nilijua tu na Now I see.

So kumbe wewe ni wale wanaotumia viblog, viwebsites na vitabu uchwara kupingana na vitu vizito kama hivi?
Wewe huna tofauti na wale conspiracy theorists wanaosema corona inasambazwa na 5G.

Now nakupa ushauri wa mwaka ambao hutoupata popote.
Acha kutumia google na viwebsite vyake kutafuta ukweli kuhusu chochote kile. viwebsites ambavyo waanzilishi wake wanatumia ads kupata pesa ya kula.
Duniani most trustable source of information ni Wikipedia sababu mostly wanaoandika sio vichaa wenye njaa.

Wewe ni moja ya wale watu wanaoamini kila kitu mtandaoni na wanaosoma kitu mtandaoni ili waje kupinga tu na kubisha na sio kwa nia ya kujifunza.
 
Hili ni dili la kuchota matrillion kwa kutishiana vitu ambavyo havipo, hapa nchi zote tutachangishwa pesa kwa madai wanarusha makombora ya kulipiga hilo jiwe, kumbe wanarusha sattelite zao tu, na mchango tunalipishwa
Unamaanisha itaitwa tozo sio?
 
Hii inazidi hata bajeti ya nchi yetu kwa mwaka.
 
Nakuuliza Swali Jepesi sana na lazima likushinde.

Hiyo simu unayotumia unajua ilipotengenezwa na ilichukua miaka mingapi mpaka kufikia hatua hiyo?

Au uliitengeneza/kuivumbua wewe mkuu?
Nijibu.

Mubarridi
 
Yan tangu NASA walivo sema wameiona yelusalemu mpya anganii. Nikajua kumber ndo marvel wenyewe
 
Kuna watu hata ukimwambia dunia inaelea Kama puto atakubishia
 
Tanzania tumepiga hatua sana hadi tuna tuma roketi sio mchezo
 
Unakijua kimondo kilichofutilia mbali kizazi chote cha dinosaria miaka milioni 200 iliyopita? Usichukulie poa! Hicho kimondo kikianguka kinaweza kikafutilia mbali kila chenye uhai!
 
Hiyo wanayofanya ni experiment na sio kwamba hilo jiwe linakuja straight duniani.
Hilo jiwe lipo kwenye orbit yake halina madhara yoyote na dunia.

Dart: Mpango wa kulishambulia jiwe kubwa la Dimorphos linalokaribia kugonga dunia wazinduliwa​

23 Novemba 2021
Imeboreshwa 24 Novemba 2021
 
Unakijua kimondo kilichofutilia mbali kizazi chote cha dinosaria miaka milioni 200 iliyopita? Usichukulie poa! Hicho kimondo kikianguka kinaweza kikafutilia mbali kila chenye uhai!
Hizo ni stori tu mkuu!japo mass extinction ni theory tu za Chordate Zoology wala hazina uhalisia just guess za jamaa za fossil records!!!
 
Hizo ni stori tu mkuu!japo mass extinction ni theory tu za Chordate Zoology wala hazina uhalisia just guess za jamaa za fossil records!!!
Sio guess mkuu, maana kama ushahidi upo, shimo lipo,mifupa ipo,carbon 14 imepima na imetoa majibu ya kuridhisha! Sasa una sababu gani ya kutoamini? Hata ukijiuliza je,Hiyo mijusi ilienda wapi sasa? Mbona haipo tena? Jibu ndilo hilo... wote waliangamia kwa kimondo kimoja tu!
 
yaani wewe jamaa sikufichi Ile difinition ya ignorance inaaply kwako 💯%
Hivi hizo dini hua zinawalisha Nini Aisee yaani mnabisha mpaka vitu ambavyo unaona kabisa hapa Sina maarifa navyo,Aisee aliyesema Religion is Opium hakukosea
Kabisa,waarabu wa Mecca wa Karne ya 19 wamewajaza ujinga mwingi vichwani mwenu
Ilihali waarabu wa Mecca wa mwaka 2021 wanaendelea kula vya wamatumbi wajinga from nanjilinji Na hata hawafuati ujuha wenu na walivyo wapiga chenga ya mwili washaamua kuungana na makafiri og
Ndio ujue walivyokuaminisha wao hawavifuati!

Wake up dude!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…