Kuna sababu gani hizi Timu za Zanzibar kucheza mashindano ya CAF?

Kuna sababu gani hizi Timu za Zanzibar kucheza mashindano ya CAF?

kmmko kwani timu za Zanzibar zikifungwa wewe inakuuma nini? hizi ndio tabia zenu watanganyika roho mbaya na chuki
Haya matusi Yana sababu ingine sio mpira tu! Maana si kwa Hilo povu!

Halafu kutukana Mtu usiemjua mtandaoni mwenye fake ID Huwa so busara sana usikute ni mjomba wako Toka nitoke na Maza, au labda mnaweza kuwa kwenye safu moja mkiswali laasiri pale mwanakwerekwe! Meaning unamtukana matusi makubwa muislam mwenzio au labda hata ni imam wa msikiti wako Allahu Aalam!

Pinga hoja tu mkuu matusi huwa sio kitu kizuri maana Kuna kitu inaitwa Karma! What goes around comes around!
 
Kwao cha muhimu ni chenga tu, wala siyo magoli...
 
Juhudi bado zinaendelea ili Zanzibar itambuliwe na FIFA na CAF...
Mimi ni chogo, ila nadhani kina yakhe japo hushindia mapembe (wali wa kitumbo usio na ladha ambao Hawataki chogo Mtu wa bara ale asijewamalizia ATI) na dinner ya urojo na kuruka sarakasi kufurahisha wazungu pale forodhani jioni baada kuhitimu elimu kubwa kabisa ya form six na nchi kuongozwa na mtalii ila naona bado Zenji wana haki ya kupata uwakilishi Fifa na CAF Ili vipaji vya mchambawima, jambiani, mfereji wa wima na bububu visipotee tupate Zanzibar finests wengi ligi kuu, kina Fei, Mudathir, Baka, Hawa ukweli uko wazi wanapiga boli haswa na ni hazina ya Tz!
 
Wewe ndiyo umechagua sasa kujitoa huo ufahamu. Kwa hiyo unataka kusema huo muungano wa England, Scotland, na Ireland ni copy and paste na huu muungano wetu?
Ndio hauna utofauti, unajitoa akili tu. FIFA na CAF ni mashirikisho tu, sio kwamba hufanya hizo kuwa nchi huru.
 
Ndio hauna utofauti, unajitoa akili tu. FIFA na CAF ni mashirikisho tu, sio kwamba hufanya hizo kuwa nchi huru.
Nafikiri ni wakati wako sasa wa kubadili jina ili utambulike kama Kilaza.
 
Haya mambo ya kubebana eti kuimarisha Muungano ifike pahala isiwe kwenye kila kitu. Hata mwk jana timu ya Zanzibar ilifungwa goli 7 hadi AIBU. Jana tena timu zote mbili za znz zimefungwa.

Hawa jamaa wakitaka timu zao ziimarike WAKUBALI KUWA SEHEMU YA LIGI KUU TANZANIA NA WAACHE UBINAFSI.

HALAFU UKUTE WANAVYOBORONGA KIMATAIFA WATADAI NI BARA WANAOWAKWAMISHA, MAANA HAWA JAMAA NI FULL VISINGIZIO
Waruhusu udhamini wa pombe, misikiti haidhàmini soka kwani kwenye dini, mpira ni ushetani
 
Hawataki kudhaminiwa na makampuni ya kubet na wanabet,hawataki kudhaminiwa na makampuni ya pombe na wanakunywa ,sasa wanategemea ligi yao ikue vipi.

Nadhani hawako tayari,Zanzibar ni watu maendeleo yao nikuongea tu, kweli hamna hata tajiri mmoja kuwekeza timu moja ya ligi ,kununua wachezaji wazuri toka hata Africa mashariki?
 
Mimi ni chogo, ila nadhani kina yakhe japo hushindia mapembe (wali wa kitumbo usio na ladha ambao Hawataki chogo Mtu wa bara ale asijewamalizia ATI) na dinner ya urojo na kuruka sarakasi kufurahisha wazungu pale forodhani jioni baada kuhitimu elimu kubwa kabisa ya form six na nchi kuongozwa na mtalii ila naona bado Zenji wana haki ya kupata uwakilishi Fifa na CAF Ili vipaji vya mchambawima, jambiani, mfereji wa wima na bububu visipotee tupate Zanzibar finests wengi ligi kuu, kina Fei, Mudathir, Baka, Hawa ukweli uko wazi wanapiga boli haswa na ni hazina ya Tz!
Tatizo la mpira wa miguu na pengine michezo yote hapa Kisiwani ni ufadhili wa uhakika na sio aina ya chakula....

Cha msingi SMZ ikubali iweke taratibu au mfumo ambao hautokuwa unabagua aina za ufadhili.

Kihistoria Zenj iliwahi kutoa klabu zenye ushindani Kimataifa kama vile Kikwajuni, Miembeni, Malindi, Mlandege, Small Simba, KMKM n.k ambao kwa wakati tofauti waliweza kutisha katika Super League ya JMT na Kimataifa... huku wakitoa wachezaji mahiri kwa Taifa Stars.
 
SCOTLAND
NORTH IRELAND
ENGLAND

Hizo zote zina ligi zao na timu za Taifa tofauti ila ni NCHI MOJA.

Tusijitoe akili kiasi hiki.
Cardiff city na Swansea city sio za England lakini ligu ya uingireza japo zimeshuka daraja
 
SCOTLAND
NORTH IRELAND
ENGLAND

Hizo zote zina ligi zao na timu za Taifa tofauti ila ni NCHI MOJA.

Tusijitoe akili kiasi hiki.
Ila zote wakikutana hizo za hayo mashirika mengine hufungwa sana
 
Haya mambo ya kubebana eti kuimarisha Muungano ifike pahala isiwe kwenye kila kitu. Hata mwk jana timu ya Zanzibar ilifungwa goli 7 hadi AIBU. Jana tena timu zote mbili za znz zimefungwa.

Hawa jamaa wakitaka timu zao ziimarike WAKUBALI KUWA SEHEMU YA LIGI KUU TANZANIA NA WAACHE UBINAFSI.

HALAFU UKUTE WANAVYOBORONGA KIMATAIFA WATADAI NI BARA WANAOWAKWAMISHA, MAANA HAWA JAMAA NI FULL VISINGIZIO

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Tatizo la mpira wa miguu na pengine michezo yote hapa Kisiwani ni ufadhili wa uhakika na sio aina ya chakula....

Cha msingi SMZ ikubali iweke taratibu au mfumo ambao hautokuwa unabagua aina za ufadhili.

Kihistoria Zenj iliwahi kutoa klabu zenye ushindani Kimataifa kama vile Kikwajuni, Miembeni, Malindi, Mlandege, Small Simba, KMKM n.k ambao kwa wakati tofauti waliweza kutisha katika Super League ya JMT na Kimataifa... huku wakitoa wachezaji mahiri kwa Taifa Stars.
Na si tu kuwa na timu za uhakika zenye ushindani hata usajili wao ulikua juu, kuna kipindi ligi yao ilikua tafu,ina watu km akina malitoli toka zambia, dimtriv toka Bulgaria ,akina lunyamila walihamia huko

Siasa zikaharibu soka
 
Back
Top Bottom