Kuna sababu gani Tundu Lissu kukaa kimya kabisa kwenye kesi ya Ugaidi ya Mbowe?

Kuna sababu gani Tundu Lissu kukaa kimya kabisa kwenye kesi ya Ugaidi ya Mbowe?

Je ndio ameamua kuwa kimya ili mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.

Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi kabwe aliyekaribia kumsajili Act Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.

Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae Ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au NI sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.
Au Tundu Lissu anaamini Mbowe NI Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.

Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.

Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.

Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.

Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.

Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.
Kwani we unaishi wapi! Au ulitaka hao uliowataja wakalele naye mahabusu ndo uamini kuwa wanamuongelea
 
Siku Lissu akiwa nje ya ulingo wa siasa atafunguka mengi sana juu ya issue yake yakutandikwa risasi ila sina hakika kama wataruhusu afike huko kama hawatomchacha wangwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alikwisha ongelea hili, na alifanya sherehe kubwa sana siku yule gaidi mwendazake alipokata roho kwa fedheha na aibu. Wewe hukusikia hizo habari?
 
Je ndio ameamua kuwa kimya ili mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.

Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi kabwe aliyekaribia kumsajili Act Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.

Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae Ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au NI sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.
Au Tundu Lissu anaamini Mbowe NI Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.

Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.

Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.

Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.

Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.

Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.
Umbea
 
Nenda kwenye hopeless space yao uko Kila alhamis utaona anaongea wakiwa na wale kina dada ambao wamesomeshwa na pes aza ccm na mpaka leo wazazi wao wanahudumiwa na ccm na ndipo wanapata kiburi cause wanajua hata wakikosa kazi ccm ipo inatunza wazazi wao so Wana uhakika wa kula na kulala bure so wanakuja walisha matango pori kina mdude ambao wakizingua tu dakika mbili defender zipo mlangoni mwao
Mkuu,
Unamaanisha F. Karume na M. Sarungi au? lol...
 
Je ndio ameamua kuwa kimya ili mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.

Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi kabwe aliyekaribia kumsajili Act Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.

Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae Ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au NI sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.
Au Tundu Lissu anaamini Mbowe NI Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.

Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.

Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.

Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.

Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.

Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.
Mushumbus ktk ubora wake. Mwiraqw mwenzangu Slaa kala hasara ya kudumu. Unadhani wanasheria wa CDM hawana mawasiliano Lisu? Kwanini Lisu aongelee kesi iliyopo mahakamani huku akijua utaratibu wa sheria?
 
Je ndio ameamua kuwa kimya ili mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.

Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi kabwe aliyekaribia kumsajili Act Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.

Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae Ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au NI sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.
Au Tundu Lissu anaamini Mbowe NI Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.

Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.

Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.

Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.

Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.

Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.

Kwa bahati mbaya una uhaba wa taarifa, sasa kukosa kwako taarifa ndio unakuanika hapa jukwaani. Ni vyema ukauliza au kuweka tetesi hizi hisia zako. Vinginevyo utakuwa umeelewa basi umeona usilale bila kuweka post yako hapa jukwaani.
 
Uwe unasikiliza Mariaspace kupata nondo za Lissu kuhusu hii kesi na mambo mengineyo.

Kwa taarifa yako tu, alichoongea hivi karibuni kuhusu hii kesi na mambo mengine yanayoendelea katika hii nchi, angekuwa hapa Bongo, angeshakamtwa na kushitakiwa kwa uchochezi.
Lissu anakupa pesa ngapi kila mwezi kwa hoja za kitoto hivi unazojaribu kimjengea?. Tumechoka na maelezo yako ya kila siku kuhusu Lissu. So boring.
 
Siku Lissu akiwa nje ya ulingo wa siasa atafunguka mengi sana juu ya issue yake yakutandikwa risasi ila sina hakika kama wataruhusu afike huko kama hawatomchacha wangwe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Lisu sio muoga wa hivyo, kila mara amekuwa akimtaji jiwe na genge lake. Tushukuru Mungu alipona maana ccm mngepotosha kifo chake, kama mnavyolazimisha kupotosha kifo cha Chacha Wangwe kwa wasiojua ukweli. Siku ukifanyika uchanguzi huru jiwe na genge lake la kina Makonda hawaruki.
 
Lissu anakupa pesa ngapi kila mwezi kwa hoja za kitoto hivi unazojaribu kimjengea?. Tumechoka na maelezo yako ya kila siku kuhusu Lissu. So boring.

Kwani lazima usome ukweli anaouongea?
 
Je ndio ameamua kuwa kimya ili mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.

Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi kabwe aliyekaribia kumsajili Act Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.

Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae Ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au NI sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.
Au Tundu Lissu anaamini Mbowe NI Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.

Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.

Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.

Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.

Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.

Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.
hili tukio la ugaidi pia tundu lisu alikuwa na yake ndio maana baada ya kumaliza uchaguzi alianza kupambana kukimbia nchi awekewa kizuizi hadi akafanikiwa kukimbilia ubalozi wa ugerumani, kwasababu alijua ameshajulikana. kuna ujinga mwingi sana cdm walifanya wakati wa uchaguzi mwaka jana wakitaka kulazimisha kugawana mkate kama ilivyokuwa kenya kwa gharama ya damu ya Watanzania, lakini wakashindwa vibaya. hata mbowe anajua kabisa kuwa haonewi ndio maana naye pale awali alikimbilia nje kujifanya yupo kwenye ziara kumbe anasoma upepo, wakapamba mipango kwamba arudi ili aanzishe vuguvugu la katiba mpya akikamatwa waseme amekamatwa kwasababu ya katiba mpya. mbola la katiba mpya halipo kabisa?

amini usiamini, hii serikali ya maza haitaki kuonea watu ukiona amekomaa ujue kuna kitu kilitendeka, cha muhimu mbowe waombe tu radhi wafanya maridhiano tuendelee mbele ila kujifanya nunda wakati ushahidi upo mfukoni mwa mtu ataendelea kujaza debe kule selo. Tundu lisu amekosa sera kwasababu sera zake ilikuwa kuichafua nchi ili tusipate misaada serikali ishindwe kuendesha nchi, sasa ameona wamagaribi wamemkubali mama ajabu na wanatoa misaada, atamwambia nini sasa? yeye ataendelea tu kupata ression kule kama mkimbizi asiye na kwao akifaidika na kusomeshewa watoto,ila kuchafua nchii sasahivi hata akichafua namna gani haichafuki. tushawashika masikio mabwana zake.
 
Je ndio ameamua kuwa kimya ili mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.

Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi kabwe aliyekaribia kumsajili Act Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.

Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae Ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au NI sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.
Au Tundu Lissu anaamini Mbowe NI Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.

Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.

Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.

Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.

Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.

Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.
Uwalisho wa bata
 
Hii kesi ina watesa Ccm kuliko Chadema
ccm ndo wananyea debe? siku zote hizi nani yupo gerezani hajawahi kunusa hata harufu ya papuchi tu za huku nje anapishana tu na viuno vya mahabusu na wafungwa selo huko?
 
Nenda kwenye hopeless space yao uko Kila alhamis utaona anaongea wakiwa na wale kina dada ambao wamesomeshwa na pes aza ccm na mpaka leo wazazi wao wanahudumiwa na ccm na ndipo wanapata kiburi cause wanajua hata wakikosa kazi ccm ipo inatunza wazazi wao so Wana uhakika wa kula na kulala bure so wanakuja walisha matango pori kina mdude ambao wakizingua tu dakika mbili defender zipo mlangoni mwao
Kwanza nikuambie TU, kwa mawazo ya hapo kwenye kichwa Cha habari Hilo haliwezi kuwa rejesho huru zaidi ni rejesho lililozongwa Tena na wanakijani.
 
Nenda kwenye hopeless space yao uko Kila alhamis utaona anaongea wakiwa na wale kina dada ambao wamesomeshwa na pes aza ccm na mpaka leo wazazi wao wanahudumiwa na ccm na ndipo wanapata kiburi cause wanajua hata wakikosa kazi ccm ipo inatunza wazazi wao so Wana uhakika wa kula na kulala bure so wanakuja walisha matango pori kina mdude ambao wakizingua tu dakika mbili defender zipo mlangoni mwao
ubongo wako uko corrupted. What a waste of sperm. Bora baba Ako angepiga nyeti au kumwagia nje
 
Ukiondoa wizi wa mwaka jana, ccm kama vyama vingine inapata tu ruzuku
Kwa mujibu wa ripoti ya Tume ya Bashiru ya kukagua mali za chama haya yamedhihiri:-
1. Chama kina Majengo ya vitega uchumi.
2. Chama kinamiliki 20% ya hisa Vodacom.
3. Chama kinamiliki Media vituo vya redio 2, TV, Magazeti 2.
4. Kina wanachama 17ml wanaolipa ada za uanachama wengine wanalipa kwa miaka hata 10 mbele.
5. Chama kina viwanja na mashamba ambayo mengine yamekuja kuthibitika chini ya ardhi kuna utajiri mkubwa.

Mengine yasiyo kwenye ripoti hiyo ni:-
6. Chama kina marafiki na wafadhili-wa-hiari ndani na nje ya nchi.
7. Chama kina wanachama Beijing, London, Berlin, Ottawa, US, Sofia, Cape Town, Havana, Vienna, Maputo nk.
8. Dhima na Dira ya Bashiru (kama angeendelea na wadhifa ndani ya chama) ilikuwa ni kukifanya chama kijiruzuku yenyewe bila kuruzukiwa na serikali.
 
Kwa mujibu wa ripoti ya Tume ya Bashiru ya kukagua mali za chama haya yamedhihiri:-
1. Chama kina Majengo ya vitega uchumi.
2. Chama kinamiliki 20% ya hisa Vodacom.
3. Chama kinamiliki Media vituo vya redio 2, TV, Magazeti 2.
4. Kina wanachama 17ml wanaolipa ada za uanachama wengine wanalipa kwa miaka hata 10 mbele.
5. Chama kina viwanja na mashamba ambayo mengine yamekuja kuthibitika chini ya ardhi kuna utajiri mkubwa.

Mengine yasiyo kwenye ripoti hiyo ni:-
6. Chama kina marafiki na wafadhili-wa-hiari ndani na nje ya nchi.
7. Chama kina wanachama Beijing, London, Berlin, Ottawa, US, Sofia, Cape Town, Havana, Vienna, Maputo nk.
8. Dhima na Dira ya Bashiru (kama angeendelea na wadhifa ndani ya chama) ilikuwa ni kukifanya chama kijiruzuku yenyewe bila kuruzukiwa na serikali.
Dogo,
Achana na hizi propaganda uchwara !
 
Lisu sio muoga wa hivyo, kila mara amekuwa akimtaji jiwe na genge lake. Tushukuru Mungu alipona maana ccm mngepotosha kifo chake, kama mnavyolazimisha kupotosha kifo cha Chacha Wangwe kwa wasiojua ukweli. Siku ukifanyika uchanguzi huru jiwe na genge lake la kina Makonda hawaruki.
Sina shakha juu uchunguzi wa kushambuliwa kwa Lissu kuwa ulifanyika na wahuni fulani na Jiwe mwenyewe, na Lissu analijua vyema ila sasa ukifanyika uchunguzi juu ya kifo cha Chacha Wangwe....!!!! Mmhh tutabeba kila kilicho chetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kwenye hopeless space yao uko Kila alhamis utaona anaongea wakiwa na wale kina dada ambao wamesomeshwa na pes aza ccm na mpaka leo wazazi wao wanahudumiwa na ccm na ndipo wanapata kiburi cause wanajua hata wakikosa kazi ccm ipo inatunza wazazi wao so Wana uhakika wa kula na kulala bure so wanakuja walisha matango pori kina mdude ambao wakizingua tu dakika mbili defender zipo mlangoni mwao
CCM huwa miradi gani yakuwalisha wastaafu, kodi za wananchi sisi kumbe ni mradi wa chama Fulani.
 
Back
Top Bottom