REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Muwe mnatunza akili hata kidogo. CCM ina hela ya kuwasomesha watu au za kupora?
Nikuulize swali ushawahi kula pesa ya serikali iwe mshahara, malipo ya kazi yoyote Ile kama bado pambana uionje utajua utamu wake na utajua kwanini space uko watu wanalilia ukiamini wanatetea wanyonge kumbe hapana ni utamu wa pesa ya serikaliMuwe mnatunza akili hata kidogo. CCM ina hela ya kuwasomesha watu au za kupora?
Wewe tulia ule vinono vya shemeji yako Dr Mihogo kwa gharama ya viuno vya sisteriJe ndio ameamua kuwa kimya ili Mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.
Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi Kabwe aliyekaribia kumsajili ACT-Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.
Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au ni sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.
Au Tundu Lissu anaamini Mbowe ni Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.
Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.
Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.
Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.
Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.
Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.
Hahahaaa hatari sanaIkiletwa hapa kauli na msimamo wa Lissu kuhusu kesi ya Mbowe utaufunga huu uzi au utazima data?
Kama unaleta hoja za kipumbavu lazima upigwe za chembe tu hakuna jinsi nyingineKinachotokea Sasa NI kinyume na hulka yake. Watu shida zikizidi hubadilika. Lazma tuhoji kujua. Jibu hoja usinishambulie Mimi.
Hajakaa kimya yeye alishauri ktk kesi hii mshitakiwa Mbowe awaondoe mawakili abakie yeye tu na yeye asijibu lolote huko mahakamani Nami namwuunga mkono Lisu.Je ndio ameamua kuwa kimya ili Mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.
Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi Kabwe aliyekaribia kumsajili ACT-Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.
Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au ni sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.
Au Tundu Lissu anaamini Mbowe ni Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.
Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.
Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.
Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.
Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.
Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.
Jadili hoja acha utotoWewe tulia ule vinono vya shemeji yako Dr Mihogo kwa gharama ya viuno vya sisteri
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Yule ni mwanasheria anayejielewa kesi ikishakuwepo mahakamani ni marufuku kuiongelea.......Sio hulka yake kukaa kimya. Na Kama kunakitu Lissu anasaidia Jopo la mawakili ingekuwa wazi kwa wakili yoyote kumtambua mchango wake kwenye kesi hii. Siasa ya Afrika ngumu hasa ukiwa huna Ela. Ukimtoa Jamsi Mapalala na Mchungaji Mtikila wabishi wote walishapotezaga msimamo. Unamkumbuka Mrema, Mwanasheria Masumbuko Lamwai, Julius Mtatiro, Moses Machari, Zitto yula wa 2006 Hadi 2008.
Ukimiya wake Sasa unatia Shaka ngoja tuone mwisho wake.
Huna hoja wacha ubwegeJadili hoja acha utoto
Ingia clubhouse hata juzi usiku alikuwa anajibu maswali mazito mnoJe ndio ameamua kuwa kimya ili Mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.
Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi Kabwe aliyekaribia kumsajili ACT-Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.
Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au ni sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.
Au Tundu Lissu anaamini Mbowe ni Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.
Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.
Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.
Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.
Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.
Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.
Kwa kuwa kesi iko mahakamani tayari, mtu baki hupaswi kulizungumzia suala hilo mpaka hapo kesi itakapomalizika. Sikubaliani na Lissu kwa mambo mengi, lakini kwa kukaa kimya muda huu kuhusu kesi ya Mbowe, nakubaliana naye.Je ndio ameamua kuwa kimya ili Mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.
Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi Kabwe aliyekaribia kumsajili ACT-Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.
Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au ni sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.
Au Tundu Lissu anaamini Mbowe ni Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.
Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.
Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.
Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.
Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.
Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.
Naona tundu lissu pengine ndio kamshtukia sasa mbowe. Maana ile theory kama mbowe ndio mshukiwa wa kwanza kumtwanga yeye risasi ndio inamuingia kichwaniJe ndio ameamua kuwa kimya ili Mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.
Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi Kabwe aliyekaribia kumsajili ACT-Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.
Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au ni sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.
Au Tundu Lissu anaamini Mbowe ni Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.
Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.
Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.
Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.
Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.
Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.
Sio hulka yake kukaa kimya. Na Kama kunakitu Lissu anasaidia Jopo la mawakili ingekuwa wazi kwa wakili yoyote kumtambua mchango wake kwenye kesi hii. Siasa ya Afrika ngumu hasa ukiwa huna Ela. Ukimtoa Jamsi Mapalala na Mchungaji Mtikila wabishi wote walishapotezaga msimamo. Unamkumbuka Mrema, Mwanasheria Masumbuko Lamwai, Julius Mtatiro, Moses Machari, Zitto yula wa 2006 Hadi 2008.
Ukimiya wake Sasa unatia Shaka ngoja tuone mwisho wake.
Ni kweli mwanzo alikuwa anachambua kesi mfululizo kwenye Maria Space, akaja kusimama kuongea. Lakini baadae kukawa na cyber lounge maalum kwa kuchambua kesi hiyo, akapambana kisheria na kaka yake Alute aliyekuwa anapinga kuzungumzia kesi iliyo mahakamani.Je ndio ameamua kuwa kimya ili Mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.
Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi Kabwe aliyekaribia kumsajili ACT-Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.
Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au ni sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.
Au Tundu Lissu anaamini Mbowe ni Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.
Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.
Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.
Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.
Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.
Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.
Hii ndiyo ile hadithi ya fisi anamfuatilia binadamu, akiamini ile mikono inayokwenda mbele na nyuma, itadondoka apate mlo! Yaani kumbe mnamgwaya sana Lissu eeh? Sasa hamuambulii kitu. Hamjatosheka tu na akina Lijualikali, Mtatiro na kina Silinde? Lisu ni habari ingine kabisaaaa. Sahauni!Naona tundu lissu pengine ndio kamshtukia sasa mbowe. Maana ile theory kama mbowe ndio mshukiwa wa kwanza kumtwanga yeye risasi ndio inamuingia kichwani
Wanatunzwa na CCM ama na serikali?Nenda kwenye hopeless space yao uko Kila alhamis utaona anaongea wakiwa na wale kina dada ambao wamesomeshwa na pes aza ccm na mpaka leo wazazi wao wanahudumiwa na ccm na ndipo wanapata kiburi cause wanajua hata wakikosa kazi ccm ipo inatunza wazazi wao so Wana uhakika wa kula na kulala bure so wanakuja walisha matango pori kina mdude ambao wakizingua tu dakika mbili defender zipo mlangoni mwao
Acha ujinga CCM aina pesa za kusomesha watu hiyo ni kodi ya wa Tanzania, yani sijui mnatumia nini kufikiri?Nenda kwenye hopeless space yao uko Kila alhamis utaona anaongea wakiwa na wale kina dada ambao wamesomeshwa na pes aza ccm na mpaka leo wazazi wao wanahudumiwa na ccm na ndipo wanapata kiburi cause wanajua hata wakikosa kazi ccm ipo inatunza wazazi wao so Wana uhakika wa kula na kulala bure so wanakuja walisha matango pori kina mdude ambao wakizingua tu dakika mbili defender zipo mlangoni mwao
Magufuli ndiye aliyehusika kupigwa kwa Lisu risasi hata panya wa nyumbani kwako wanajua Hilo.Naona tundu lissu pengine ndio kamshtukia sasa mbowe. Maana ile theory kama mbowe ndio mshukiwa wa kwanza kumtwanga yeye risasi ndio inamuingia kichwani
Lissu na zitto maswahiba???Je ndio ameamua kuwa kimya ili Mbowe akifungwa aje Kama Mwenyekiti mpya wa chama?!!.
Je ameamua kufuata mkondo wa Swahiba wake Zitto Zuberi Kabwe aliyekaribia kumsajili ACT-Wazalendo kuwa tusitegemee kuona akikosoa Kama Awamu iliyopita.
Nilimsikia kuwa alishawahi kupigiwa simu kwamba Mama anataka kuongea nae ila akashangaa ukimya. Je walishaongea na kumaliza tofauti zao hivyo hawezi kuiongelea kesi hii sababu anaweza kumuudhi mama. Au ni sehemu ya maongezi yao kuwa akae kimya.
Au Tundu Lissu anaamini Mbowe ni Gaidi kweli na ameona ushahidi unajitosheleza hivyo anaogopa kuongea hukumu ikaja kinyume akaumbuka.
Au amekumbuka kurudi home na amechoka kukaa uhamishoni hivyo anajitahidi kutouudhi utawala mpya kabla ya kurudi.
Au ndio fadhila ya kesi zake kufutwa.
Sipendi aongee kashfa zake hapana. Natamani atoe uchambuzi na maoni kwa Serikali na dunia Nini kifanyike kumnasua Freeman haraka kwenye huu mtego utakaomuweka maabusu mwaka mzima.
Naona Mbowe ananigwa na kugalagala pekeyake. Sio Salum Mwalimu, Zitto, Mbatia, Shibuda, Viongozi wa dini wanaoshugulika ata kumuongelea au kusisitiza haki kufuata mkondo wake.
Tundu kaa kimya hivyohivyo tusubiri mawe yaongee.