..Again, anayeteua wabunge wa viti maalum wa Chadema siyo Katibu Mkuu wa chama, bali ni kamati kuu ambayo bado haijakaa kufanyia uamuzi suala hilo.
chadema wanajiona wao pekee ni wamiliki wa mbunge wakati mbunge ni mali ya mwananchi. Mwananchi anaamini pale anapomuona mbunge wake akizungumzia changamoto za jimbo bungeniLakini mkuu unafikiri hao akina silinde au halima tuliwadhania kama watakuja kusaliti mapambano????
Kwanini kamati haikai tangu uchaguzi umekwisha October mpaka leo February? Bunge liwe linawasubiri nyinyi tu? Hampo serious hata kidogo tatizo hamtaki ushauri kuwa mwenyekiti wenu ni kirusi hatari. Muda utaongea
Athari za kuparamia viporo vya kande iliyochacha halafumnajiwa na sauti za ajabu ajabuKuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari.
Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika).
Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box.
Britannica
chadema wanajiona wao pekee ni wamiliki wa mbunge wakati mbunge ni mali ya mwananchi. Mwananchi anaamini pale anapomuona mbunge wake akizungumzia changamoto za jimbo bungeni
Kipindi cha mafuriko ya mwaka jana wabunge wao walisusia bunge kwa maagizo ya chama na huko kilimanjaro, kagera, morogoro nk mito, maziwa yalitapika maji wananchi hawakuwa na wa kuwasemea bungeni wakati wa kujadili bajeti ya miundombinu.
Ulitegemea Rwakatare asiingie bungeni wakati bukoba ilikuwa inazama.
Silinde asiingie bungeni wakati wa kujadili bajeti ya kilimo ukizingatia jimbo lake ni wakulima kweli kweli
Lijualikali jimboni mafuriko kila kona.
Hawa tuwaite wasaliti wa chama au wapiga kura wao.?
Haya ndiyo mambo yaliyochangia chadema kuporomoka
Halafu wewe mkuu unaniacha hoi sana 🤣🤣Chadema na ruzuku ni kama mgonjwa na uji!
..Again, anayeteua wabunge wa viti maalum wa Chadema siyo Katibu Mkuu wa chama, bali ni kamati kuu ambayo bado haijakaa kufanyia uamuzi suala hilo.
..siyo kweli kwamba Kamati Kuu ya Cdm haijawahi kukaa tangu Oct 2020.
..Kamati Kuu ilishakaa na maamuzi iliyochukua ni kuwafukuza uanachama Halima Mdee na wenzake.
cdm mmekuwa watu wa kutabirika kirahisi sana, tulishawaonya hizi siasa za harakati hamkusikia na bado manendelea nazo. Msijidanganye kwenye mitandao hilo kundi linaungwa na wananchi wengi kuliko mnavyodhani
Unadhani kupambana na serikali ya kidikteta iliyo tayari kwa lolote ni rahisi sana? Kabla hujaiona "njaa" pekee, tafuta taarifa za wapinzani wanaopambana na dola kila kukicha hata walio ndani ya CCM halafu upime kama ni hicho unachoita "wachumia tumbo" ndicho tatizo kubwa pekee. Kama unatarajia walio upinzani wawe tayari kujitoa mhanga hata kwa uhai wao basi jiulize kama wewe binafsi ndio msimamo wako thabiti.Upinzani umeuliwa na mfumo wa uongozi wa serikali kuu hili nalikubali lakini pia hata njaa za sisi wapinzani zimechangia kudumaza harakati za wapinzani wa kweli. Mifano ndo hiyo akina halima mdee na wenzake. Akina silinde akina Lijualikali akina Selasini hao wote walikuwa ni wapinzani kwanini nishindwe kusema upinzani umejaa wachumia tumbo hata kama mimi pia ni mpinzani ila sioni aibu kuyatamka hayo
We ulikuwa kwenye hiyo kikao ya makubaliano au unaongea pumba tuMbna hyo inajulikana mkuu , hayo ni makubaliano baina ya Serikali , mdee na watu wake pamoja na Mbowe ...hii ipo was kabisa na action zote alizochukua Mbowe serikali inajua before kwamba lengo lake ni kurestore spirit ya wanachadema huku yeye akijivua lawama .... Japo kuna vipengele vya katiba vitakiukwa ili kufanikisha hili but Serikali imebariki , na hakuna mwanachadema from high command atakayehoji
Uingereza hawajawahi kuwa na katiba wala Israel haijawahi kuwa na katiba lakini ni nchi zilizoendelea
Mbona chadema wanachukua ruzuku wakati hawatambui matokeo yote?
Mbona hili tunasema kila siku?
Ni vile tu Mbowe ana wafuasi mbumbumbu, lakini wangekuwa wanajielewa wangeshaagutuka zamani.
Chadema ina wenyewe, ndio sababu unaona akina Mdee kwa kupitia viti maalum wako bungeni.Hatuoni Chadema kwenda mahakamani kupinga uwakilishi wa wabunge hao.Mbona chadema wanachukua ruzuku wakati hawatambui matokeo yote?
Haya mambo wewe huwezi kuelewa maana ni moja ya wafuasi ambao Mbowe anajivunia sana kuwa nao.Yaani nimecheka kwa nguvu, eti Mbowe ana wafuasi mbumbumbu, halafu kwenye uchaguzi wa ccm Magufuli anapata kura 100% bila hata kura moja kuharibika! Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara.