Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,753
..Again, anayeteua wabunge wa viti maalum wa Chadema siyo Katibu Mkuu wa chama, bali ni kamati kuu ambayo bado haijakaa kufanyia uamuzi suala hilo.
Kwanini kamati haikai tangu uchaguzi umekwisha October mpaka leo February? Bunge liwe linawasubiri nyinyi tu? Hampo serious hata kidogo tatizo hamtaki ushauri kuwa mwenyekiti wenu ni kirusi hatari. Muda utaongea