Kuna sehemu hatari kuishi kama South Africa?

Kuna sehemu hatari kuishi kama South Africa?

Riskytaker

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2024
Posts
568
Reaction score
2,522
mwezi wa 10 last yeakr niliingia south Africa. Ila February nikarud bongo nilifanikiwa kutembelea mikoai karibu yote

South Africa kimaendeleo imezidi nchi nyingi sana za ulaya ,Asia ,na america yaani south Africa ipo mbali san kiuchumi.

Tatizo Ina raia wenye hasira sana mara nyingi ni watu wenye kinyongo na kulipa kisasi yan dakika sifuri tu unawezA kupoteza uhai

Swala la mapenzi south Africa ni next level Kuna mchezo unaitwa sleep over.
Yani unawezA kukutana bint kituo Cha tren ukaomba namba ukifika home unamuomba aje alale kwako simply anakuja kesho anaondoka then unatafuta mwingine simply tu.

Shule south Africa wanafunzi wanavaa nusu uchi kama south Korea .
Ushoga na usagaji kwao sio kitu Cha kushangaza.
 
kila mtu ana bunduki hilo ni tatizo kubwa na mambo ya ushoga imekuwa balaa kiufupi siyo sehemu ya kuishi na familia, ni sehemu ya kula bata au biashara tu, ila kwa pisi kali ukija tanzania mademu zetu unawaona kama masokwe
Hapana south Africa ni kama Tanzania tu Kuna makabila machache ndo Kuna pisi wengi wakawaida
 
Nimeishi SA cape town Pretoria na Joberg kuhusu wasichana Pretoria wale Tswana girls ni habari ingine na Ile lugha Yao ndio kabisa very sex akikuangalia unaweza kuogopa kumtongoza ila hawana shida wako straight sana kwenye mapenzi mnaweza msimalize dk 3 hasa mkiwa mmefanya eye contact au MKo field Moja
Usalama SA ni almost zero Ile nchi hapana crime rate has Jose Durban Pretoria yenyewe Cape yote TU Mzungu mbaya mweusi mbaya mcolored mbaya shida tupu kufa ni kugusa
Yani asubuhi hadi jioni mmekaa kama MKo vitani ila uzuri wao uchawi hakuna kama huku kwetu
 
Sasa hujatembea sehemu zingine za dunia unataka kusema South Africa ndio sehemu hatari ya kuishi.

Kuna nchi kama Haiti, El Salvador hizi ni moto wa kuotea mbali raia karibu wote washapinda.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Acha uongo el salvador ni nchi salama kuliko nchi zote za caribbean kwa hiki kipindi cha miaka miwili
 
mwezi wa 10 last year niliingia south Africa. Ila February nikarud bongo nilifanikiwa kutembelea mikoai karibu yote

South Africa kimaendeleo imezidi nchi nyingi sana za ulaya ,Asia ,na america yaani south Africa ipo mbali san kiuchumi.

Tatizo Ina raia wenye hasira sana mara nyingi ni watu wenye kinyongo na kulipa kisasi yan dakika sifuri tu unawezA kupoteza uhai

Swala la mapenzi south Africa ni next level Kuna mchezo unaitwa sleep over.
Yani unawezA kukutana bint kituo Cha tren ukaomba namba ukifika home unamuomba aje alale kwako simply anakuja kesho anaondoka then unatafuta mwingine simply tu.

Shule south Africa wanafunzi wanavaa nusu uchi kama south Korea .
Ushoga na usagaji kwao sio kitu Cha kushangaza.
Ongea yote usikanyage MEXICO......south africa ina subiria mbali sana ukiangalia kwa video zao wakiwa wanafanya mauji sidhani kama south africa inawakuta
 
Back
Top Bottom