monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana!South Africa ina wahuni ,ila wahuni halisi dunia hii na magangwe wako kule Amerika ya kusini , lile bara almost kila nchi inatatizo kubwa la magenge ya wahuni na wahalifu wa mitaani ,vitu kama ujambazi ,madawa ya kulevya ,utekaji , biashara haramu ya human trafficking , viungo vya binadamu nk
Kila biashara chafu zinafanyika pale
Wahuni wako America kusini ,hata hizo index majiji yote ni nchi za Amerika kusiniWorld crimes index of 2023 miji ya Joburg, Pretoria na Durban inashika nafasi ya 3, 4 na 5, ni miji hatari sana kuishi kuliko mnavyofikiria
Wa South Africa ni mafia sana kuzid mexico
ushafika SA kwanza..kiufupi kwa pisi SA hana mpinzaniHapana south Africa ni kama Tanzania tu Kuna makabila machache ndo Kuna pisi wengi wakawaida
Tena zipo kibaoWakawaida sana mjomba usitishike kiivyo,bongo tuna pisi za maana sana.
Unapajua delf, michells plain hannoverpark hapo kona mbili mikono juu achana na SA wewe bastola unauziwa 200randSiongelei movie naongelea facts uliwahi video za live leak za mexico wewe au google most dangerous country mexico number 1 kwa crime
Kawaida tu Mzee wangu google haidanganyi sio lazima ufike SA Dunia IPO kiganjaniushafika SA kwanza..kiufupi kwa pisi SA hana mpinzani
Kivipi mkuu??Bondeni kwenyewe ukituliza mshono poa tu,sema ukiwa macho juu utafrahi na roho yako.
Huyu ni Mbongo au Msouth? Ukijibu hili swali ndio nitakuelewa ulichomaanisha usichokijua wapo wabongo mixing na SouthView attachment 2951103
SA mnai-over-rate tu pisi za insta kutoka SA zinawazuzua Ila tobo ni lile lile tu au wanakuma tofauti na kumaza wabongo kumani zilezile kumaya south na kumaya Bongo ni Ile IleHuyu mbongo na pisi ya kawaida
Mexcan Carter.....wazee wa kukata vichwa watuSiongelei movie naongelea facts uliwahi video za live leak za mexico wewe au google most dangerous country mexico number 1 kwa crime
Mkuu hapo trench town kuke Kingston Jamaica......na pale Port au Prince Haiti.......ni balaario de Janeiro
caracas
Trench town
haiti
mimi siwezi kubishana ma wewe nenda kwanza SA ukirudi ndio tuzungumze upya..maana mimi nimekaa SA na bongo napajua vizuri..wewe unajua upande mmoja wa shilingi tu.Kawaida tu Mzee wangu google haidanganyi sio lazima ufike SA Dunia IPO kiganjani
Unabisha weka hapa pisi 5 za SA nikuwekee pisi 5 za Bongo uanze kutoa mimacho
Sio Msouth huyu usiangalie kwa makengeza
View attachment 2951470
Bongo unapajua wewe umetembea mwisho WAPI? Tembea tena alafu uje tubishane vizuri we unakaa sehemu moja km mnara wa saa alafu unajifanya eti Bongo napajua vizurimimi siwezi kubishana ma wewe nenda kwanza SA ukirudi ndio tuzungumze upya..maana mimi nimekaa SA na bongo napajua vizuri..wewe unajua upande mmoja wa shilingi tu.
Saa 12 treni na tax a.k.a daladala zinakoma???Kuna wakati nadhani 2006 ilionesha 1.Rio de Janeiro 2.Mahali flani Colombia 3.Joberg
Ni kweli Kuna miji mingi mibaya ya kuishi ila Joberg ikifika 12 jioni usafiri wa uma unastop ili kupunguza crime ule mji mkuu acha kabisa
Ni kweli, ukiwa kwa ugenini you better stay low, eyes 👇, fanya dili halali.Bondeni kwenyewe ukituliza mshono poa tu,sema ukiwa macho juu utafrahi na roho yako.
Ni nchi pia ambayo watu wake wanashikilia dini sana.Mexico sio Nchi ile unakuta karibu watu wengi wamejichora tattoo wao wanazielewa wewe ambae hauna tattoo yeyote unaweza kumuuliza kitu akakuangalia tu au akivurugwa anakuchapa risasi ile ndio Nchi niliona mtu anatumwa dukani anakumbushwa kuchukua na bastola...