Kuna sehemu hatari kuishi kama South Africa?

Kuna sehemu hatari kuishi kama South Africa?

Mexico Kundi za DRUGS DEALER ndo ishu ila ukiamua kuishi kwa hamsini zako bila kuingilia Anga zao hakuna tabu utapata
Ila sasa SOUTH kuna VITA aina nyingi sana ambavyo vinaweza kukutoa UHAI wako muda wowote
Cape town wood stock hata kama unapita na hamsini tena mchana bado unakuwa maiti Ile nchi hapana aisee security ni issue sana SA
Mtaani unaulizwa "money or bullet "hapo ni kama umejichanganya ukatembea kwenye zile highway juu
 
Hait je? Mji mkuu wa Port-au-Prince una magenge ya uhalifu zaidi ya 200! Rais aliuwawa ndani ya makazi yake! Waziri mkuu alienda Kenya kukamilisha dili ya polisi wa Kenya kwenda Hait akapigwa mkwara na mkuu wa genge la uhalifu asirudi nchini mwake, na kweli hajarudi na akajiuzulu!
 
South Africa ni risasi tu ikizidi sana mtu kachomwa kisu.
kule latin America ukishauliwa viungo vyako vya mwili vinatenganishwa vinakatwa kama mishkaki alafu vinasambazwa barabarani.
Nilikuwa naangalia interview moja ya Hitman kutoka Mexico, alifungwa jela sasa si unajua jela ubabe ubabe kuna kingpin mmoja aliwazingua wenzie, aisee anasema walimkata kichwa halafu kile kichwa wakawa wanachezea kama mpira wa basketball.

Hatari sana.
 
Nenda siku moja Mkuu. Actually, South Africa ipo Africa by location ile ni Ulaya. Tena ukifika Johannesburg chukua hotel kule New City halafu starehe kafanyie Old City ndio kuna bata za kufa mtu. Ila hakikisha hapo hotelini kwako wamekupa mtu wa kukusindikiza (anayejua mkono) ndio uende Old City. Hapo utafurahia bata za huko.
Lazima nitafika tu mkuu Mungu akinijaalia uhai. Naipenda sana ile nchi kuanzia historia yake, mziki wake mpaka lifestyle, kibaya tu imekuja kuharibika sana kwa sasa.
 
Dawa pekee ya uhalifu ni bunduki.
Ni kuwaua wahalifu wote,ukikutwa na bunduki Sali sala zako za mwisho.
Kabla ya kuuwawa upewe mateso utaje kundi lako lote kisha ni kuwatembezea bunduki wote.
Mbona makaburu walikomesha uhalifu hawakucheka na takataka.
Sio kila mtu anatakiwa kuishi duniani wengine yatakiwa warejeshwe kuzimu walipotoka kwa lazima.
China,uarabuni wezi wanapigwa chuma tu ndo maana ukuti ushenzi huo,hata Rwanda tu chakula cha mwizi ni risasi.
Bunduki haiwezi kuwa dawa ya uhalifu pengine itakupa ile hali ya kujiamini tu kiasi fulani.

Kumbuka katika hao hao wahalifu, wengine ni ex soldiers, Polices and experts katika matumiza ya silaha, mimi huwa nasema ni kuwahiana maana chuma haina mjanja.
 
mwezi wa 10 last yeakr niliingia south Africa. Ila February nikarud bongo nilifanikiwa kutembelea mikoai karibu yote

South Africa kimaendeleo imezidi nchi nyingi sana za ulaya ,Asia ,na america yaani south Africa ipo mbali san kiuchumi.

Tatizo Ina raia wenye hasira sana mara nyingi ni watu wenye kinyongo na kulipa kisasi yan dakika sifuri tu unawezA kupoteza uhai

Swala la mapenzi south Africa ni next level Kuna mchezo unaitwa sleep over.
Yani unawezA kukutana bint kituo Cha tren ukaomba namba ukifika home unamuomba aje alale kwako simply anakuja kesho anaondoka then unatafuta mwingine simply tu.

Shule south Africa wanafunzi wanavaa nusu uchi kama south Korea .
Ushoga na usagaji kwao sio kitu Cha kushangaza.


World crimes index of 2023 miji ya Joburg, Pretoria na Durban inashika nafasi ya 3, 4 na 5, ni miji hatari sana kuishi kuliko mnavyofikiria
 
Nilikuwa naangalia interview moja ya Hitman kutoka Mexico, alifungwa jela sasa si unajua jela ubabe ubabe kuna kingpin mmoja aliwazingua wenzie, aisee anasema walimkata kichwa halafu kile kichwa wakawa wanachezea kama mpira wa basketball.

Hatari sana.
huko jela zao sasa ni bora ufe tu.

namba chafu hizi hapa.
👇
Rosallo Reta.
Miguel Gallardo.
Amadoo Fuentes.
Osiel Guillen.
Jorge Alberto Rodriguez.
Grelda Blanco n,k

wengine hapo wapo jela na huko jela wanafanya matukio mpaka unabaki mdomo wazi.
 
Kuna nchi hazina amani sababu ya vita Lakini uliondoka vita unakuta watu wake Sio katili
Sasa watu wanachanganya kati ya vita na matukio ya raia mmoja mmoja,nchi kama Somalia, Afghanistan, Sudan na Congo 🇨🇩 hawa wameathiriwa na vita lakini sio tatizo kwa raia,tusichanganye hapo
 
Ndio waafrica tunaonyeshwa ingali bado tupo duniani,kuwa bila ya Wazungu kamwe tusingestarabika.umo kote ni waafrica tu.halafu wanaibuka wanasiasa na habari ya tujitawale wenyewe,ila kwa jicho la tatu hatuwezi.
Sasa watu wanachanganya kati ya vita na matukio ya raia mmoja mmoja,nchi kama Somalia, Afghanistan, Sudan na Congo [emoji1078] hawa wameathiriwa na vita lakini sio tatizo kwa raia,tusichanganye hapo
Congo ukitoa vita bado kuna raia ni vibaka ubabe wanafanya mchana kweupe wapiga wanapora mbele ya polisi na polisi hawana cha kuwafanya polisi n'a wanajeshi pia nao wanapora mchana kweupe

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
mwezi wa 10 last yeakr niliingia south Africa. Ila February nikarud bongo nilifanikiwa kutembelea mikoai karibu yote

South Africa kimaendeleo imezidi nchi nyingi sana za ulaya ,Asia ,na america yaani south Africa ipo mbali san kiuchumi.

Tatizo Ina raia wenye hasira sana mara nyingi ni watu wenye kinyongo na kulipa kisasi yan dakika sifuri tu unawezA kupoteza uhai

Swala la mapenzi south Africa ni next level Kuna mchezo unaitwa sleep over.
Yani unawezA kukutana bint kituo Cha tren ukaomba namba ukifika home unamuomba aje alale kwako simply anakuja kesho anaondoka then unatafuta mwingine simply tu.

Shule south Africa wanafunzi wanavaa nusu uchi kama south Korea .
Ushoga na usagaji kwao sio kitu Cha kushangaza.
Shekhe usisikie Kuhusu MEXICO
mwezi wa 10 last yeakr niliingia south Africa. Ila February nikarud bongo nilifanikiwa kutembelea mikoai karibu yote

South Africa kimaendeleo imezidi nchi nyingi sana za ulaya ,Asia ,na america yaani south Africa ipo mbali san kiuchumi.

Tatizo Ina raia wenye hasira sana mara nyingi ni watu wenye kinyongo na kulipa kisasi yan dakika sifuri tu unawezA kupoteza uhai

Swala la mapenzi south Africa ni next level Kuna mchezo unaitwa sleep over.
Yani unawezA kukutana bint kituo Cha tren ukaomba namba ukifika home unamuomba aje alale kwako simply anakuja kesho anaondoka then unatafuta mwingine simply tu.

Shule south Africa wanafunzi wanavaa nusu uchi kama south Korea .
Ushoga na usagaji kwao sio kitu Cha kushangaza.
Mkuu kuna Mexico , hatari sana hii...

1🇯🇲 Jamaica53.3
2🇻🇨 St. Vincent and the Grenadines40.4
3🇹🇹 Trinidad and Tobago39.5
4🇱🇨 Saint Lucia36.7
5🇭🇳 Honduras35.1
6🇿🇦 South Africa34.0
7🇧🇸 Bahamas31.2
8🇰🇳 St. Kitts and Nevis29.4
9🇧🇿 Belize27.9
10🇪🇨 Ecuador27.9

Na hizo ni Homicide rate per 100,000 people.
 
The ten most violent cities in the world are:

Tijuana, Mexico
Acapulco, Mexico
Caracas, Venezuela
Ciudad Victoria, Mexico
Ciudad Juárez, Mexico
Irapuato, Mexico
Ciudad Guayana, Venezuela
Natal, Brazil
Fortaleza, Brazil
Ciudad Bolívar, Venezuela

Masela wa Keko wenyewe huku hawapawezi mkuu.
 
Hakuna sehemu SA utafananisha na umafia wa Mexico City wale Wauza sumu wakiamua ipo mitaa hakuna mtu anatoka nje kitu ambacho SA hawajafikia huko na pia SA sehemu yeyote Polisi wanaweza kuvamia na wakatoka salama kitu ambacho Mexico ni ngumu mpaka watumie jeshi...
Haiti kuna sehemu inaitwa Port-au-Prince,serikali ikitaka kwenda kufanya jambo la kiserikali kwa wananchi ni lazima waombe kibali au watoe taarifa kwa Gang Leader Jimmy Bebycyu.serikali ikiingia kichwakichwa awatoki.
hatari sana mkuu.
 
Back
Top Bottom