Kuna sehemu hatari kuishi kama South Africa?

Kuna sehemu hatari kuishi kama South Africa?

Mungu na wanadamu
Makanisa je yapo
Misikiti je ipo
Wanasali hawa?
Nilikuwa napenda sana kwenda kanisani
Ukienda kanisani utafurahi mapambio yanayopigwa hapo ni kama ndiyo tuko mbinguni tayari sound classic vyombo wanavyo na kuimba wanajua pia

Uislamu joberg umeletwa na wageni/foreigners
joberg msikiti unaitwa muslim church
Waislamu kwa south wapo cape town ni wachache sana

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
mwezi wa 10 last yeakr niliingia south Africa. Ila February nikarud bongo nilifanikiwa kutembelea mikoai karibu yote

South Africa kimaendeleo imezidi nchi nyingi sana za ulaya ,Asia ,na america yaani south Africa ipo mbali san kiuchumi.

Tatizo Ina raia wenye hasira sana mara nyingi ni watu wenye kinyongo na kulipa kisasi yan dakika sifuri tu unawezA kupoteza uhai

Swala la mapenzi south Africa ni next level Kuna mchezo unaitwa sleep over.
Yani unawezA kukutana bint kituo Cha tren ukaomba namba ukifika home unamuomba aje alale kwako simply anakuja kesho anaondoka then unatafuta mwingine simply tu.

Shule south Africa wanafunzi wanavaa nusu uchi kama south Korea .
Ushoga na usagaji kwao sio kitu Cha kushangaza.
Jamaa wana Psychological Trauma mambo yaliyotokea na yanayoendelea yanawapa sana shida kisaikolojia
 
mwezi wa 10 last yeakr niliingia south Africa. Ila February nikarud bongo nilifanikiwa kutembelea mikoai karibu yote

South Africa kimaendeleo imezidi nchi nyingi sana za ulaya ,Asia ,na america yaani south Africa ipo mbali san kiuchumi.

Tatizo Ina raia wenye hasira sana mara nyingi ni watu wenye kinyongo na kulipa kisasi yan dakika sifuri tu unawezA kupoteza uhai

Swala la mapenzi south Africa ni next level Kuna mchezo unaitwa sleep over.
Yani unawezA kukutana bint kituo Cha tren ukaomba namba ukifika home unamuomba aje alale kwako simply anakuja kesho anaondoka then unatafuta mwingine simply tu.

Shule south Africa wanafunzi wanavaa nusu uchi kama south Korea .
Ushoga na usagaji kwao sio kitu Cha kushangaza.
South America ndio mwisho wa matatizo,kwa hatari ya kutisha...
 
Du
Nakubaliana na wewe ni baada ya Rais Bitozi Bukele kuua magenge yote ya wahuni, pigwa risasi hadharani ukinusurika na kuuwawa na polisi unaishia jela, miaka 2 nchi ina usalama wa hali ya juu.

Ila sidhani South inawafikia Mexico, Columbia na Haiti. Kule uhalifu ni mkubwa sana.

Ukija Afrika, Central Africa, Congo DRC, South Sudan, Somalia, Nigeria nk ni worse kuliko South Africa.

Asia kuna Afghanistan, Pakistani, Iraq, Yemen kule magenge ya wahuni ni nje nje unakuta mtu yuko saluni na AK47 anayoa. Kinyozi ana hand launcher Anti-aircraft na siraha za hatari hapo jirani.
Du HII hatari,ananyoa ana AK 47,ukimdhulumu mnamalizana hapohapo.
 
South Africa ina wahuni ,ila wahuni halisi dunia hii na magangwe wako kule Amerika ya kusini , lile bara almost kila nchi inatatizo kubwa la magenge ya wahuni na wahalifu wa mitaani ,vitu kama ujambazi ,madawa ya kulevya ,utekaji , biashara haramu ya human trafficking , viungo vya binadamu nk
Kila biashara chafu zinafanyika pale
Uhuni maanake nini au mnajiropokea Tu?
 
Marekani bro ni hatari kuliko south

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Marekani nzima mwaka jana wote 2023 hakuna mji wenye homicide ya watu 700,

Marekani ina watu zaidi ya million 350 huku south afrika ina population ya watu million 60+ johannesburg mwaka jana wameuliwa watu 2500+ kwa mwaka mzima

South afrika ni nchi hatari sana kwa ualifu
 
Wengine ni kutaka league TU maana hao kina Space X ni WA SA Kuna yule chalii Noah ni SA na wengine wengi tena hadi Korea China n.k wanafundisha kingereza huko
Nchi iwe na viwanja vikubwa vya ndege na wana safari za moja kwa moja kutoka Cape Town mpaka USA ilikua kwa wiki mara moja nadhani watakua wameongeza harafu anasema wao hawasafiri hiyo VISA ya USA wakiomba wanaletewa passport nyumbani tena unapata bila masharti mengi kama kwetu harafu anasema wao hawasafiri daah...
 
Marekani nzima mwaka jana wote 2023 hakuna mji wenye homicide ya watu 700,

Marekani ina watu zaidi ya million 350 huku south afrika ina population ya watu million 60+ johannesburg mwaka jana wameuliwa watu 2500+ kwa mwaka mzima

South afrika ni nchi hatari sana kwa ualifu
South Africa hayo magenge yao yote na number sijui 26,28 na 29 wameiga USA mazee Wasauzi wengi wanapenda kuwanyanyasa wageni au watu wasio na siraha wakijua kabisa hawa kutokana na sheria za hapa hawana siraha USA mtu anaeuwa nae ana siraha tena wengi tu..
Huko SA ushasikia mtoto kaenda kuua wanafunzi pamoja na walimu shuleni wakati USA hayo matukio wameshayazoea..
 
Mexico lazima pawe hatari maana wamepakana na Kiwanjani (USA) na wana-access ya silaha za kivita, kwa 70% silaha zao zinatokea Marekani. Kimsingi bara lote la America halina usalama kwa mtu ambaye hajazoea yale maisha.
Mimi nilipokua Debeers Marines nilifanya kazi muda mrefu na jamaa kutoka huko baadae nikasema mwezi mmoja niende kutembelea huko nilikaa wiki mbili tu mbili zingine nilienda kumalizia Spain aisee pana muda unasikia milio ya risasi tu ukiuliza wenyeji wanakwambia ni maganster hao sio Polisi na mitaa ni mizuri hatari ila yanayofanyika hapo hauwezi kuamini...wapo wahuni wengine wanenda kuwateka wale wanataka kuzamia USA na kuwachukulia hela au wanawake wanabakwa hivyo vitu hata uji kuvisikia wakiona msichana mzuri wanamteka kabisaa hiyo USA ataisikia wanaweza kuishi nae muda mrefu harafu wanamuua ili kupoteza ushahidi wanaenda kumtumpa kwenye ule mto unaotenganisha USA na Mexico sio mbali na Mexico City Town ila jamaa wanapiga kazi kweli wana viwanda vingi wanavyo na mji una hewa nzito sana na ni wagomvi sana..
 
Nchi iwe na viwanja vikubwa vya ndege na wana safari za moja kwa moja kutoka Cape Town mpaka USA ilikua kwa wiki mara moja nadhani watakua wameongeza harafu anasema wao hawasafiri hiyo VISA ya USA wakiomba wanaletewa passport nyumbani tena unapata bila masharti mengi kama kwetu harafu anasema wao hawasafiri daah...
Hawana mashariti visa Yao ni on arrival
 
South Africa ni risasi tu ikizidi sana mtu kachomwa kisu.
kule latin America ukishauliwa viungo vyako vya mwili vinatenganishwa vinakatwa kama mishkaki alafu vinasambazwa barabarani.
Kukatwakatwa vipande vipande hata hapa TZ ipo kwa baadhi ya makabila, ushawahiona Mtu kachanuliwa kama ng'ombe buchani akiwa hai kisha anachanwa chanwa na nyembe mwili mzima na kuachwa damu zivuje hadi akate roho?

Labda useme massive assassinations kulingana na muda au tukio ila si namna ya mauaji.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom