Minja Ngalason
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,284
- 1,839
na TshiboboDah, Tkzee umenikumbusha mbali sana, Dlala Mapantsula, chanel O wakati huo likipigwa goma la Zola7 - Don't cry.. S.A sijawahi fika ila nitafika tu siku moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na TshiboboDah, Tkzee umenikumbusha mbali sana, Dlala Mapantsula, chanel O wakati huo likipigwa goma la Zola7 - Don't cry.. S.A sijawahi fika ila nitafika tu siku moja
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wa south wanawake ni wakawaida sana huwez fananisha n'a warangi wanyaturu au wairaq kwa uzuri labda ww km kwenu mbeya au njombe ndio utaona wanawake wa SA wazuri
Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
Marekani bro ni hatari kuliko southAcha uongo el salvador ni nchi salama kuliko nchi zote za caribbean kwa hiki kipindi cha miaka miwili
Nilikuwa napenda sana kwenda kanisaniMungu na wanadamu
Makanisa je yapo
Misikiti je ipo
Wanasali hawa?
Jamaa wana Psychological Trauma mambo yaliyotokea na yanayoendelea yanawapa sana shida kisaikolojiamwezi wa 10 last yeakr niliingia south Africa. Ila February nikarud bongo nilifanikiwa kutembelea mikoai karibu yote
South Africa kimaendeleo imezidi nchi nyingi sana za ulaya ,Asia ,na america yaani south Africa ipo mbali san kiuchumi.
Tatizo Ina raia wenye hasira sana mara nyingi ni watu wenye kinyongo na kulipa kisasi yan dakika sifuri tu unawezA kupoteza uhai
Swala la mapenzi south Africa ni next level Kuna mchezo unaitwa sleep over.
Yani unawezA kukutana bint kituo Cha tren ukaomba namba ukifika home unamuomba aje alale kwako simply anakuja kesho anaondoka then unatafuta mwingine simply tu.
Shule south Africa wanafunzi wanavaa nusu uchi kama south Korea .
Ushoga na usagaji kwao sio kitu Cha kushangaza.
South America ndio mwisho wa matatizo,kwa hatari ya kutisha...mwezi wa 10 last yeakr niliingia south Africa. Ila February nikarud bongo nilifanikiwa kutembelea mikoai karibu yote
South Africa kimaendeleo imezidi nchi nyingi sana za ulaya ,Asia ,na america yaani south Africa ipo mbali san kiuchumi.
Tatizo Ina raia wenye hasira sana mara nyingi ni watu wenye kinyongo na kulipa kisasi yan dakika sifuri tu unawezA kupoteza uhai
Swala la mapenzi south Africa ni next level Kuna mchezo unaitwa sleep over.
Yani unawezA kukutana bint kituo Cha tren ukaomba namba ukifika home unamuomba aje alale kwako simply anakuja kesho anaondoka then unatafuta mwingine simply tu.
Shule south Africa wanafunzi wanavaa nusu uchi kama south Korea .
Ushoga na usagaji kwao sio kitu Cha kushangaza.
Du HII hatari,ananyoa ana AK 47,ukimdhulumu mnamalizana hapohapo.Nakubaliana na wewe ni baada ya Rais Bitozi Bukele kuua magenge yote ya wahuni, pigwa risasi hadharani ukinusurika na kuuwawa na polisi unaishia jela, miaka 2 nchi ina usalama wa hali ya juu.
Ila sidhani South inawafikia Mexico, Columbia na Haiti. Kule uhalifu ni mkubwa sana.
Ukija Afrika, Central Africa, Congo DRC, South Sudan, Somalia, Nigeria nk ni worse kuliko South Africa.
Asia kuna Afghanistan, Pakistani, Iraq, Yemen kule magenge ya wahuni ni nje nje unakuta mtu yuko saluni na AK47 anayoa. Kinyozi ana hand launcher Anti-aircraft na siraha za hatari hapo jirani.
Uhuni maanake nini au mnajiropokea Tu?South Africa ina wahuni ,ila wahuni halisi dunia hii na magangwe wako kule Amerika ya kusini , lile bara almost kila nchi inatatizo kubwa la magenge ya wahuni na wahalifu wa mitaani ,vitu kama ujambazi ,madawa ya kulevya ,utekaji , biashara haramu ya human trafficking , viungo vya binadamu nk
Kila biashara chafu zinafanyika pale
Marekani nzima mwaka jana wote 2023 hakuna mji wenye homicide ya watu 700,
Nchi iwe na viwanja vikubwa vya ndege na wana safari za moja kwa moja kutoka Cape Town mpaka USA ilikua kwa wiki mara moja nadhani watakua wameongeza harafu anasema wao hawasafiri hiyo VISA ya USA wakiomba wanaletewa passport nyumbani tena unapata bila masharti mengi kama kwetu harafu anasema wao hawasafiri daah...Wengine ni kutaka league TU maana hao kina Space X ni WA SA Kuna yule chalii Noah ni SA na wengine wengi tena hadi Korea China n.k wanafundisha kingereza huko
South Africa hayo magenge yao yote na number sijui 26,28 na 29 wameiga USA mazee Wasauzi wengi wanapenda kuwanyanyasa wageni au watu wasio na siraha wakijua kabisa hawa kutokana na sheria za hapa hawana siraha USA mtu anaeuwa nae ana siraha tena wengi tu..Marekani nzima mwaka jana wote 2023 hakuna mji wenye homicide ya watu 700,
Marekani ina watu zaidi ya million 350 huku south afrika ina population ya watu million 60+ johannesburg mwaka jana wameuliwa watu 2500+ kwa mwaka mzima
South afrika ni nchi hatari sana kwa ualifu
Mimi nilipokua Debeers Marines nilifanya kazi muda mrefu na jamaa kutoka huko baadae nikasema mwezi mmoja niende kutembelea huko nilikaa wiki mbili tu mbili zingine nilienda kumalizia Spain aisee pana muda unasikia milio ya risasi tu ukiuliza wenyeji wanakwambia ni maganster hao sio Polisi na mitaa ni mizuri hatari ila yanayofanyika hapo hauwezi kuamini...wapo wahuni wengine wanenda kuwateka wale wanataka kuzamia USA na kuwachukulia hela au wanawake wanabakwa hivyo vitu hata uji kuvisikia wakiona msichana mzuri wanamteka kabisaa hiyo USA ataisikia wanaweza kuishi nae muda mrefu harafu wanamuua ili kupoteza ushahidi wanaenda kumtumpa kwenye ule mto unaotenganisha USA na Mexico sio mbali na Mexico City Town ila jamaa wanapiga kazi kweli wana viwanda vingi wanavyo na mji una hewa nzito sana na ni wagomvi sana..Mexico lazima pawe hatari maana wamepakana na Kiwanjani (USA) na wana-access ya silaha za kivita, kwa 70% silaha zao zinatokea Marekani. Kimsingi bara lote la America halina usalama kwa mtu ambaye hajazoea yale maisha.
Pale Johannesburg kuna New City (kwa Washua) na Old City ( kwa Magang Star)!Kuna maeneo kama upande wa South kuko vizuri wanaishi mashuwa,ila kuna maeneo mengine yana unyama hatari sana,
Ova
Ila Wanyasa wa Malawi wanawaza kuzamia Mbeya City!Nadra kukuta kijana wa kisauzi ana ndoto za kuzamia ulaya akafanye nini wakati kila kitu anapata south
Hawana mashariti visa Yao ni on arrivalNchi iwe na viwanja vikubwa vya ndege na wana safari za moja kwa moja kutoka Cape Town mpaka USA ilikua kwa wiki mara moja nadhani watakua wameongeza harafu anasema wao hawasafiri hiyo VISA ya USA wakiomba wanaletewa passport nyumbani tena unapata bila masharti mengi kama kwetu harafu anasema wao hawasafiri daah...
Kukatwakatwa vipande vipande hata hapa TZ ipo kwa baadhi ya makabila, ushawahiona Mtu kachanuliwa kama ng'ombe buchani akiwa hai kisha anachanwa chanwa na nyembe mwili mzima na kuachwa damu zivuje hadi akate roho?South Africa ni risasi tu ikizidi sana mtu kachomwa kisu.
kule latin America ukishauliwa viungo vyako vya mwili vinatenganishwa vinakatwa kama mishkaki alafu vinasambazwa barabarani.
Unamanga.Pale Johannesburg kuna New City (kwa Washua) na Old City ( kwa Magang Star)!
USA hakuna Nchi ambayo wanaingia kwa visa hiyo ya Airport hata watoto wa Malkia wanapitia ubalozini mkuu.Hawana mashariti visa Yao ni on arrival
sahihi tz ni kwa baadhi ya makabila tena sio mara kwa mara ukilinganisha na nchi kama Bolivia,Antigua,Bolivia,Mexico,Peru,El Selvador,Puerto rico n,k huko ni mara kwa mara ni kawaida.Kukatwakatwa vipande vipande hata hapa TZ ipo kwa baadhi ya makabila,