Kuna shida gani Tanzania ikitangaza rasmi kuisaidia Congo kupambana na M23? Tuna Viongozi wa namna gani?

Kuna shida gani Tanzania ikitangaza rasmi kuisaidia Congo kupambana na M23? Tuna Viongozi wa namna gani?

Leo waandananaji Congo waneshambulia balozi za mataifa ya Ufaransa, Marekani, Rwanda, Uganda na Kenya.

Wa Congo wenyewe wanajua sie ni rafiki zao kweli sasa kwa think tanks wetu hamuoni huu ndo wakati wa kuitumia hii nafasi kana fursa yetu kubwa ya kunufaika kiuchumi?
 
Leo tunajenga reli ya SGR kwa dhumuni ifike Mashariki mwa Congo. Swali ni Je hiyo reli itakuwa na faida kama Mashariki mwa Congo kukiendelea kuwa vitani namna hii?

Tuache suala la reli. Hivi Je Viongozi wetu hawajui tunaweza faidika kiuchumi endapo leo hii tukiwasaidia wazi Congo kwenye vita yao dhidi ya M23?

Marekani, Uingereza na Ujerumani wanatoa msaada mkubwa kwa Ukraine kupambana na Urusi. Msaada ule sio msaada kama msaada ni mkopo ambao Ukraine watazilipa nchi zile kwa miaka mingi ijayo!

Tuseme Viongozi wetu hawa hawaoni kuwa tunaweza kutoa msaada wa kijeshi kwa Congo sisi kama Tanzania ( Sio chini ya mwamvuli wa SADC au AU au EAC) na tukautumia kama mkopo kwa nchi ya Congo ambapo baadae watatulipa hata kwa karne nzima na tukafaidika kiuchumi?

Hivi nchi hii kuna Think Tanks? Ni kina nani hao Think Tanks? Wana Mchango gani positively kwa maendeleo ya Taifa?View attachment 3216554
Siyo lazima kutangaza, mambo mengine huganywa kimya kimya.
 
M23 Wana drone wewe una jeshi la mkoloni kila kitu manual... Unapasua tofali kwa kichwa, una mavifaru outdated , ndege za vita outdated.....tusi wa underrate Rwanda inaweza kujikuta TUNAOMBA hifadhi sudani kusini,Uganda, Zambia, Malawi na ughaibuni..
Ujuaji huu hii nchi hii Ina vijana wa hovyo sana, civilian anatoa maoni ya kijieshi
 
Nikijibu kuwa umasikini wetu ni akili zetu wenyewe nitakosea?kivipi?

imagine mnanunua v8 ufisadi kila kona tena wa mabilioni halafu bado unaamini kuna umaskini? hayo mabilioni yanayoliwa na kunua v8 hayatoshi kunua dawa? huwa unafuatilia kwani ripot ya CAG?
Kwa iyo ma v8 yasiponunuliwa umasikini utakwisha?
 
Vita gharama. Wale DRC waachwe tu, huwezi kuingia makubaliano na nchi iko kwenye shida kama DRC eti upeleke majeshi yako frontline. Miaka miwili mbele nchi inatulia anaibuka Tundu Lisu wao anakataa maridhiano yenu mliyofanya kipindi hicho, tena anasema kabisa mliingia mkataba wa hovyo kabisa. Pale DRC mchawi majeshi yote yaondoke ngoma waicheze wenyewe mshindi ndio achukue nchi na ndio huyo ajenge misingi ya nchi upya.
 
Vita gharama. Wale DRC waachwe tu, huwezi kuingia makubaliano na nchi iko kwenye shida kama DRC eti upeleke majeshi yako frontline. Miaka miwili mbele nchi inatulia anaibuka Tundu Lisu wao anakataa maridhiano yenu mliyofanya kipindi hicho, tena anasema kabisa mliingia mkataba wa hovyo kabisa. Pale DRC mchawi majeshi yote yaondoke ngoma waicheze wenyewe mshindi ndio achukue nchi na ndio huyo ajenge misingi ya nchi upya.
We utakuwa mnyarwanda. Mnataka Congo iendelee kuwa yatima bila msaada ili muendelee kyifanyia udhalimu na kuinyonya
 
Leo tunajenga reli ya SGR kwa dhumuni ifike Mashariki mwa Congo. Swali ni Je hiyo reli itakuwa na faida kama Mashariki mwa Congo kukiendelea kuwa vitani namna hii?

Tuache suala la reli. Hivi Je Viongozi wetu hawajui tunaweza faidika kiuchumi endapo leo hii tukiwasaidia wazi Congo kwenye vita yao dhidi ya M23?

Marekani, Uingereza na Ujerumani wanatoa msaada mkubwa kwa Ukraine kupambana na Urusi. Msaada ule sio msaada kama msaada ni mkopo ambao Ukraine watazilipa nchi zile kwa miaka mingi ijayo!

Tuseme Viongozi wetu hawa hawaoni kuwa tunaweza kutoa msaada wa kijeshi kwa Congo sisi kama Tanzania ( Sio chini ya mwamvuli wa SADC au AU au EAC) na tukautumia kama mkopo kwa nchi ya Congo ambapo baadae watatulipa hata kwa karne nzima na tukafaidika kiuchumi?

Hivi nchi hii kuna Think Tanks? Ni kina nani hao Think Tanks? Wana Mchango gani positively kwa maendeleo ya Taifa?View attachment 3216554
Mkuu
Tuna kitu kinaitwa political solutions kwa masuala yabayohitaji taaluma, weledi na akili.

Kila siku thinktank ya nchi inawaza POLITICAL CORRECTNESS.... the less they think, the deeper we sink
 
Leo tunajenga reli ya SGR kwa dhumuni ifike Mashariki mwa Congo. Swali ni Je hiyo reli itakuwa na faida kama Mashariki mwa Congo kukiendelea kuwa vitani namna hii?

Tuache suala la reli. Hivi Je Viongozi wetu hawajui tunaweza faidika kiuchumi endapo leo hii tukiwasaidia wazi Congo kwenye vita yao dhidi ya M23?

Marekani, Uingereza na Ujerumani wanatoa msaada mkubwa kwa Ukraine kupambana na Urusi. Msaada ule sio msaada kama msaada ni mkopo ambao Ukraine watazilipa nchi zile kwa miaka mingi ijayo!

Tuseme Viongozi wetu hawa hawaoni kuwa tunaweza kutoa msaada wa kijeshi kwa Congo sisi kama Tanzania ( Sio chini ya mwamvuli wa SADC au AU au EAC) na tukautumia kama mkopo kwa nchi ya Congo ambapo baadae watatulipa hata kwa karne nzima na tukafaidika kiuchumi?

Hivi nchi hii kuna Think Tanks? Ni kina nani hao Think Tanks? Wana Mchango gani positively kwa maendeleo ya Taifa?View attachment 3216554
Jaman tutakiane mema watu wa mpakani na Congo ☹️ kuwachokoza M23 ni hatari kwetu labda tukimbie kwanza kwenda dar huko, hao jamaa hawachelewi kuchinja kijiji kimoja wapo
 
Rais dhaifu, serikali dhaifu unadhani jeshi litakuaje? CCM must go
 
Rais dhaifu, serikali dhaifu unadhani jeshi litakuaje? CCM must go
Jeshi letu ingawa wanasiasa wanajaribu kuliingilia ila bado halijawa dhaifu.

Nakumbuka enzi zile tunatoa kichapo kwa M23 tulikuwa na vyuma kama Gen. Mwamunyange, Brig G. Mwakibolwa na mwanajeshi wangu bora kwa wakati wote Lt. General Paul Ignace Mella.
 
456486196_10234405729831667_7368265567281035086_n.jpg

Waziri wa ulinzi wa Tanzania akiwapimia M23 kwa mbaaaalii!!!
Hapa kwetu hakuna hata scrutinization??? Picha kama hii haikufaa kufikia walaji.
 
Back
Top Bottom