Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
1. Background ya vyuo vikuu walivyosomea IT ni vipi?Mimi naishi mkoani ni changamoto sana kupata developer sasa nilikuwa na kazi yangu nataka developer aifanye nimekutana na madogo kama watano hapa wamesomea kozi hiyo ya IT Kuna kazi nilikuwa nataka niwape wafanye lakini naona wameshindwa walikimbia kuifanya Kazi yangu
Ahadi nyingi nitafanya nitafanya mwisho mtu hapokei simu
Sasa mkuu dunia kijiji hii kwan lazima ufabye na walioko mkoan?Mimi naishi mkoani ni changamoto sana kupata developer sasa nilikuwa na kazi yangu nataka developer aifanye nimekutana na madogo kama watano hapa wamesomea kozi hiyo ya IT Kuna kazi nilikuwa nataka niwape wafanye lakini naona wameshindwa walikimbia kuifanya Kazi yangu
Ahadi nyingi nitafanya nitafanya mwisho mtu hapokei simu
Hii ni mindset ya kiazaman sana mkuu wangu, habar za chuo gan sijui nini no more now.NB: Chuo cha DIT sina mashaka nacho kwa ubora 90%.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Degree za chupi izoSasa mkuu dunia kijiji hii kwan lazima ufabye na walioko mkoan?
Usemacho ni sahihi, kuna bint mmoja week 2 zimepita amehitim computer science chuo kikuu, katika kuomba shughul za kufanya nikamuuliza unaweza kufanya nini kulingana na ulichosomea, honestly, nilisikitika sana moyoni nikaumia nikajisikia huruma mnoo, hawa watoto wetu wanatendwa nin na mfumo wetu wa elimu? Au ni wao tu ndio hawazingatii mambo?
Kiukwel roho iliniuma sana.
View attachment 2976413
Hii ndio elimu yetu mkuuMimi naishi mkoani ni changamoto sana kupata developer sasa nilikuwa na kazi yangu nataka developer aifanye nimekutana na madogo kama watano hapa wamesomea kozi hiyo ya IT Kuna kazi nilikuwa nataka niwape wafanye lakini naona wameshindwa walikimbia kuifanya Kazi yangu
Ahadi nyingi nitafanya nitafanya mwisho mtu hapokei simu
Unanibishia nini ilihali mi mwenyewe nimeshuhudia nilichoeleza? Amini unavyoamini nami niamini niaminivyo "tusipangiane mitazamo".Hii ni mindset ya kiazaman sana mkuu wangu, habar za chuo gan sijui nini no more now.
nikiwa 3rd year ifm 2013 nimefanya sana final year projects za wanafunz wa DiT na Mlimani za wanafunzi wa computer science na IT
Website inahitaji maboresho kila baada ya muda nimekuwa nawatumis Hawa developer wa mtandaoni sasa kwa kazi niliyokuwa nayo nikasema ngoja niwatafute vijana wa mkoani kwangu wengine wakati wapo shule walikuwa wananiambia braza Mimi nipo chuo nasomea ITSasa mkuu dunia kijiji hii kwan lazima ufabye na walioko mkoan?
Umeshajiweka hadharaniHii ni mindset ya kiazaman sana mkuu wangu, habar za chuo gan sijui nini no more now.
nikiwa 3rd year ifm 2013 nimefanya sana final year projects za wanafunz wa DiT na Mlimani za wanafunzi wa computer science na IT
Kuna uwezekano dau lako dogo...Mimi naishi mkoani ni changamoto sana kupata developer sasa nilikuwa na kazi yangu nataka developer aifanye nimekutana na madogo kama watano hapa wamesomea kozi hiyo ya IT Kuna kazi nilikuwa nataka niwape wafanye lakini naona wameshindwa walikimbia kuifanya Kazi yangu
Ahadi nyingi nitafanya nitafanya mwisho mtu hapokei simu
Gharama zote nazijua na website yetu tumekuwa tunafanya maboresho kila baada ya mudaKuna uwezekano dau lako dogo...
Wasi wasi wako tu mkuu.Umeshajiweka hadharani