Niliwahi bishana nae huyu kuhusu UDSM COET. na akaisifia DIT na kujifaragua kapita palee.Huyo mara amesoma UDSM mara DIT, leo kajichanganya IFM[emoji1787]
Huyu mstaafu muongo muongo sana 🤣 🤣Niliwahi bishana nae huyu kuhusu UDSM COET. na akaisifia DIT na kujifaragua kapita palee.
Leo kaibukia IFM, bado atahamia CBE. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan anasahau haraka mnoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mstaafu muongo muongo sana [emoji1787] [emoji1787]
Aisee kwahiyo kasoma vyuo vyoteNiliwahi bishana nae huyu kuhusu UDSM COET. na akaisifia DIT na kujifaragua kapita palee.
Leo kaibukia IFM, bado atahamia CBE. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakua labda, kila mwaka anahamia chuo kingine.Aisee kwahiyo kasoma vyuo vyote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawasomi,
Binti yangu nimelipa mamilioni karudi na mimba na kashazaa yule fala katoka baru.
Uzuri najua pa kumpata nikadai hela zangu.
Na ndio atajua bamkwe wake nani
Ahahahaha..daah ahsante maana kwa hili tusi nimekosa hata jibu la kukupa. Lakin pia hakuna mahala nimesema ifm ni chuo katika maelezo yangu...Wee ni muongo sana, IFM ipi? Hii ya posta?
Em tutolee uongo wako hapa. IFM kwan sio chuo.
Ni taasisi ya Elimu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas sawaaAhahahaha..daah ahsante maana kwa hili tusi nimekosa hata jibu la kukupa. Lakin pia hakuna mahala nimesema ifm ni chuo katika maelezo yangu...
We unawaonea wivu wenzio baada ya kushindwa kusomea hiyo fani. Vijana wa IT wanafanya mambo makubwa zaidi ya websiteMimi naishi mkoani ni changamoto sana kupata developer sasa nilikuwa na kazi yangu nataka developer aifanye nimekutana na madogo kama watano hapa wamesomea kozi hiyo ya IT Kuna kazi nilikuwa nataka niwape wafanye lakini naona wameshindwa walikimbia kuifanya Kazi yangu
Ahadi nyingi nitafanya nitafanya mwisho mtu hapokei simu
Yah but studs use to graduate there, so what a difference does it make from other graduates???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas sawaa
HIki kipengele uko sahihi, websites are now days so minor issues!.Vijana wa IT wanafanya mambo makubwa zaidi ya website
Inatokea pale mtu unachagua course usiyoipenda kutoka moyoni.Duh!!! Inasikitisha, nina rafiki yangu yuko mwaka wa pili anachukua Accountancy with IT, anasema walisoma html na css ila haelewi chochote.
Nilipojaribu kumpitisha kidogo akasema amebaini labda mkufunzi hana uelewa wa kutosha au ameamua tu kufundisha hovyo maana darasa zima hawakuelewa alichofundisha.
Mkuu naiomba hiyo kazi mimi.Mimi naishi mkoani ni changamoto sana kupata developer sasa nilikuwa na kazi yangu nataka developer aifanye nimekutana na madogo kama watano hapa wamesomea kozi hiyo ya IT Kuna kazi nilikuwa nataka niwape wafanye lakini naona wameshindwa walikimbia kuifanya Kazi yangu
Ahadi nyingi nitafanya nitafanya mwisho mtu hapokei simu