Kuna Sifa nyingi Kwenye social media Kuhusu Chama kimpya kiitwacho Umoja Party

Kuna Sifa nyingi Kwenye social media Kuhusu Chama kimpya kiitwacho Umoja Party

F4B

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2022
Posts
336
Reaction score
429
Kuna Sifa nyingi zinasemwa kuhusu ujio wa Chama kimpya kiitwacho Umoja Party lakini sifa kubwa inayoongelewa sana ni kuwa Chama hiki kitakuwa na mlengo wa hayati DR. John Pombe Joseph Magufuli.

Wanaoandika Kwenye mitandao wanajinasibu kuwa Chama hiki kitazoa wafuasi wengi na kushinda uchaguzi ujao kwa kuwa kinafuata mlengo wa Dr. Magufuli na mambo mengi aliyoyafanya akiwa hai.
Binafisi sina tatizo na Chama hiki kipya.

Ila naomba wanisaidie kujibu maswali haya

1. Wanafikili Dr.Magufuli kipindi Cha uongozi wake alikubalika sana nchini?? Kama wanaamini hivyo kwa nini yeye mwenyewe uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita 2019 hakuruhusu democrasia ichukue mkondo wake?? badala yake alilazimisha wenyeviti wa mitaa na vijiji washinde wa Chama chake
CC M bila kupingwa?? nini aliogopa??

2. Kama hayati Dr.Magufuli aliamini aliongoza kwa haki na utawala bora hivyo kuamini aliongoza vizuri kwa nini alivuluga uchaguzi mkuu wa wabunge na Rais wa mwaka 2020. Sote tunajua Wabunge wengi walipita bila kupingwa kuliko uchaguzi wowote ule hapa nchini.
Ushauli wangu kwa Chama hiki kisijipe matumaini hewa ambayo siyo ya kweli Kwa kuwa hayati Dr John Pombe Joseph Magufuli hakuwa muumini wa Democrasia nje ya chama na ndani ya chamabadala yake alitumia mamlaka na madaraka yake kumpa Ubunge mtu yeyote aliyemtaka yeye.

Rejea akina Kabudi Ndalichako, gwajima, patrobas Katambi, Silinde hawa yeye alishapanga wawe wabunge hata waliposhindwa kura za maoni ndani ya chama alitumia mamlaka yake wakapitishwa kwa hivyo siyo kweli kuwa alikuwa na political influence kiasi kinachosemwa.

Vile vile Dr.Magufuli alikuwa popula mikoa ya kanda ya ziwa hasa Mwanza na Geita na Kanda ya kati na Kwa watu wenye elimu ndogo.Lakini Kaskazini na kusini kule mbeya hakuwa popular na Kwa watu wengi wasomi.

Nihitimishe kwa kurejea maneno ya mheshimiwa Lusinde kuwa tumuache hayati Dr. Magufuli aachwe apumzike kwa amani maana hawezi kujibu. Lakini anaachwaje sasa? Tusimtumie kwa faida yetu ya kisiasa tulio hai maana tukimtumia kupata political populality tutakuwa tumewaruhusu wengine kumsema kinyume chake ili kuleta political demage.

Watanzania Tupendane.
 
Wasukuma wana matatizo sana, vipi chama lao la Umoja wa wasukuma limeanza kupwaya, sasa wanapiga promo kila mahali kupima upepo.

Ule upendeleo kwa Sukuma Gang hamna tena hata mkitapatapa,

Vip hiki ndo kile chama Gwajima aliwaambia wasukuma wote waunde ndo hiki tayari Umoja Party?
 
Wasukuma wana matatizo sana, vipi chama leo la Umoja wa wasukuma limeanza kupwaya, sasa wanapiga promo kila mahali kupima upepo.

Ule upendeleo kwa Sukuma Gang hamna tena hata mkitapatapa,

Vip hiki ndo kile chama Gwajima aliwaambia wasukuma wote muunde ndo hiki tayari Umoja Party?
Umesoma post yote mkuu au umekimbilia kutoa comment tu.
 
Ukijiegemeza kwenye dini, kabila nchi hii. Hupati mamlaka, hakuna kabila Wala dini itakayokupeleka ikulu
 
Ukijiegemeza kwenye dini,kabila nchi hii..hupati mamlaka,hakuna kabila Wala dini itakayokupeleka ikulu
Na Mimi hawa umoja party nawaona wanaelekea huko ndo maana nimeomba wanijibu maswali mawili kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
 
kabisa kabisa


kuna waliotumia Uislam wakachemka, kuna waliotumia ukristo wakachemka,wengine walirekodiwa 2015 wakisema sasa zamu yao Walutheran wakapotea, wengine walitumia uchaga wakapotea, wengine wakatumia upemba wakapotea, wengine wakatumia usukuma wakapora nao wakaporwa nakadhalika
Ukijiegemeza kwenye dini,kabila nchi hii..hupati mamlaka,hakuna kabila Wala dini itakayokupeleka ikulu
 
Mkuu umeandika vyema lakini naomba ibaki kuwa ni hisia zako.
Magufuli alikua binadamu amefanya mengi mazuri na mengine mabaya yamefanyika chini ya utawala wake.

Kutokana na uhalisia huu, ni akili ya mtu ndio itaamua ichukue lipi katika yote aliyoyafanya, sisi wanaumoja tunamuona kama kiongozi mzalendo wa kupigiwa mfano aliyeekuwa na dhamira ya dhati kuhakikisha Tanzania inasonga mbele kiuchumi na kuacha kuwa taifa dhalili la kutembeza bakuli. Umaskini ulikua ni gonjwa baya kwake hivyo alifanya kila mbinu kuhakikisha tunajikwamua kwayo
Wengine wanamuona kama kiongozi mbaya na aliyekosa utu.

Hatuwezi kuwapinga hao kwani mhusika amekwisha ondoka
Umoja Party kama taasisi itajumuisha watu wa kada na namna mbalimbali hivyo tuyachukua yale mema kwa nchi yetu na kuyahuburi hayo kwa watanzania wote.

Kuhusu mapokeo naomba tuache muda useme nanihakika ya kila mwanaumoja kwamba tutashinda tena na zaidi ya kushinda kwa sababu Umoja ni Nguvu na Umoja haujawahi kushindwa na lolote
 
Ukiniuliza Mimi nitakujibu kwa haraka hatuhitaji utitiri wa vyama
 
Mkuu umeandika vyema lakini naomba ibaki kuwa ni hisia zako.
Magufuli alikua binadamu amefanya mengi mazuri na mengine mabaya yamefanyika chini ya utawala wake. Kutokana na uhalisia huu, ni akili ya mtu ndio itaamua ichukue lipi katika yote aliyoyafanya, sisi wanaumoja tunamuona kama kiongozi mzalendo wa kupigiwa mfano aliyeekuwa na dhamira ya dhati kuhakikisha Tanzania inasonga mbele kiuchumi na kuacha kuwa taifa dhalili la kutembeza bakuli. Umaskini ulikua ni gonjwa baya kwake hivyo alifanya kila mbinu kuhakikisha tunajikwamua kwayo
Wengine wanamuona kama kiongozi mbaya na aliyekosa utu. Hatuwezi kuwapinga hao kwani mhusika amekwisha ondoka
Umoja Party kama taasisi itajumuisha watu wa kada na namna mbalimbali hivyo tuyachukua yale mema kwa nchi yetu na kuyahuburi hayo kwa watanzania wote.
Kuhusu mapokeo naomba tuache muda useme nani hakika ya kila mwanaumoja kwamba tutashinda tena na zaidi ya kushinda kwa sababu Umoja ni Nguvu na Umoja haujawahi kushindwa na lolote
Nimekuelewa mkuu tena sana kiongozi hawezi kupendwa na watu wote simple like
 
Kuna Sifa nyingi zinasemwa kuhusu ujio wa Chama kimpya kiitwacho Umoja Party lakini sifa kubwa inayoongelewa sana ni kuwa Chama hiki kitakuwa na mlengo wa hayati DR.John Pombe Joseph Magufuli.
Wanaoandika Kwenye mitandao wanajinasibu kuwa Chama hiki kitazoa wafuasi wengi na kushinda uchaguzi ujao kwa kuwa kinafuata mlengo wa Dr.Magufuli na mambo mengi aliyoyafanya akiwa hai.
Binafisi sina tatizo na Chama hiki kipya.
Ila naomba wanisaidie kujibu maswali haya 1.Wanafikili Dr.Magufuli kipindi Cha uongozi wake alikubalika sana nchini?? Kama wanaamini hivyo kwa nini yeye mwenyewe uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita 2019 hakuruhusu democrasia ichukue mkondo wake?? badala yake alilazimisha wenyeviti wa mitaa na vijiji washinde wa Chama chake
CC M bila kupingwa?? nini aliogopa??
2.Kama hayati Dr.Magufuli aliamini aliongoza kwa haki na utawala bora hivyo kuamini aliongoza vizuri kwa nini alivuluga uchaguzi mkuu wa wabunge na Rais wa mwaka 2020.Sote tunajua Wabunge wengi walipita bila kupingwa kuliko uchaguzi wowote ule hapa nchini.
Ushauli wangu kwa Chama hiki kisijipe matumaini hewa ambayo siyo ya kweli Kwa kuwa hayati Dr John Pombe Joseph Magufuli hakuwa muumini wa Democrasia nje ya chama na ndani ya chamabadala yake alitumia mamlaka na madaraka yake kumpa Ubunge mtu yeyote aliyemtaka yeye.
Rejea akina Kabudi Ndalichako, gwajima, patrobas Katambi, Silinde hawa yeye alishapanga wawe wabunge hata waliposhindwa kura za maoni ndani ya chama alitumia mamlaka yake wakapitishwa kwa hivyo siyo kweli kuwa alikuwa na political influence kiasi kinachosemwa.
Vile vile Dr.Magufuli alikuwa popula mikoa ya kanda ya ziwa hasa Mwanza na Geita na Kanda ya kati na Kwa watu wenye elimu ndogo.Lakini Kaskazini na kusini kule mbeya hakuwa popular na Kwa watu wengi wasomi.
Nihitimishe kwa kurejea maneno ya mheshimiwa Lusinde kuwa tumuache hayati Dr. Magufuli aachwe apumzike kwa amani maana hawezi kujibu.Lakini anaachwaje sasa?? Tusimtumie kwa faida yetu ya kisiasa tulio hai maana tukimtumia kupata political populality tutakuwa tumewaruhusu wengine kumsema kinyume chake ili kuleta political demage.Watanzania Tupendane.

Kujibu hoja yako ni hivi:- Tupunguze madaraka ya Rais, yeye awajibike, awajibishwe akifanya pumba.
 
Wasukuma wana matatizo sana, vipi chama lao la Umoja wa wasukuma limeanza kupwaya, sasa wanapiga promo kila mahali kupima upepo.

Ule upendeleo kwa Sukuma Gang hamna tena hata mkitapatapa,

Vip hiki ndo kile chama Gwajima aliwaambia wasukuma wote waunde ndo hiki tayari Umoja Party?
Ndumilakuwili wakubwa ninyi, si mlidai JPM hakuwa msukuma bali alikuwa Mhutu toka Rwanda [emoji848][emoji34]

Sasa hivi mnalipwa posho kwa kuchafua legacy yake kwa ujinga muuitao "Sukuma Gang" kwa yeyote atayepinga wazo la uongozi huu wa nchi sasa.
 
Ndumilakuwili wakubwa ninyi, si mlidai JPM hakuwa msukuma bali alikuwa Mhutu toka Rwanda [emoji848][emoji34]

Sasa hivi mnalipwa posho kwa kuchafua legacy yake kwa ujinga muuitao "Sukuma Gang" kwa yeyote atayepinga wazo la uongozi huu wa nchi sasa.
Mumeambiwa mkazikwe nae
Tulia tulambe asali sisi
 
Chama hiki lengo ni moja tu distruct agenda za wengine na kuwatoa watu kwemye reli
 
Kuna Sifa nyingi zinasemwa kuhusu ujio wa Chama kimpya kiitwacho Umoja Party lakini sifa kubwa inayoongelewa sana ni kuwa Chama hiki kitakuwa na mlengo wa hayati DR.John Pombe Joseph Magufuli.
Wanaoandika Kwenye mitandao wanajinasibu kuwa Chama hiki kitazoa wafuasi wengi na kushinda uchaguzi ujao kwa kuwa kinafuata mlengo wa Dr.Magufuli na mambo mengi aliyoyafanya akiwa hai.
Binafisi sina tatizo na Chama hiki kipya.
Ila naomba wanisaidie kujibu maswali haya 1.Wanafikili Dr.Magufuli kipindi Cha uongozi wake alikubalika sana nchini?? Kama wanaamini hivyo kwa nini yeye mwenyewe uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita 2019 hakuruhusu democrasia ichukue mkondo wake?? badala yake alilazimisha wenyeviti wa mitaa na vijiji washinde wa Chama chake
CC M bila kupingwa?? nini aliogopa??
2.Kama hayati Dr.Magufuli aliamini aliongoza kwa haki na utawala bora hivyo kuamini aliongoza vizuri kwa nini alivuluga uchaguzi mkuu wa wabunge na Rais wa mwaka 2020.Sote tunajua Wabunge wengi walipita bila kupingwa kuliko uchaguzi wowote ule hapa nchini.
Ushauli wangu kwa Chama hiki kisijipe matumaini hewa ambayo siyo ya kweli Kwa kuwa hayati Dr John Pombe Joseph Magufuli hakuwa muumini wa Democrasia nje ya chama na ndani ya chamabadala yake alitumia mamlaka na madaraka yake kumpa Ubunge mtu yeyote aliyemtaka yeye.
Rejea akina Kabudi Ndalichako, gwajima, patrobas Katambi, Silinde hawa yeye alishapanga wawe wabunge hata waliposhindwa kura za maoni ndani ya chama alitumia mamlaka yake wakapitishwa kwa hivyo siyo kweli kuwa alikuwa na political influence kiasi kinachosemwa.
Vile vile Dr.Magufuli alikuwa popula mikoa ya kanda ya ziwa hasa Mwanza na Geita na Kanda ya kati na Kwa watu wenye elimu ndogo.Lakini Kaskazini na kusini kule mbeya hakuwa popular na Kwa watu wengi wasomi.
Nihitimishe kwa kurejea maneno ya mheshimiwa Lusinde kuwa tumuache hayati Dr. Magufuli aachwe apumzike kwa amani maana hawezi kujibu.Lakini anaachwaje sasa?? Tusimtumie kwa faida yetu ya kisiasa tulio hai maana tukimtumia kupata political populality tutakuwa tumewaruhusu wengine kumsema kinyume chake ili kuleta political demage.Watanzania Tupendane.
Hamna kitu hapo.Hata mwanzilishi wa hicho chama hana legacy yoyote hapa nchini.Nadhani aligombea urais akapata kura 5 kama sikosei.
 
Back
Top Bottom