Kuna Sifa nyingi Kwenye social media Kuhusu Chama kimpya kiitwacho Umoja Party

Kuna Sifa nyingi Kwenye social media Kuhusu Chama kimpya kiitwacho Umoja Party

Umesoma post yote mkuu au umekimbilia kutoa comment tu.
Lengo la kuandika kuhusu hiki chama ni nini? Kama kinamtumia Hayati Magufuli ambaye hakuwa "popular" sasa wewe unateaeka na nini hadi kuanzisha uzi?
 
Lengo la kuandika kuhusu hiki chama ni nini? Kama kinamtumia Hayati Magufuli ambaye hakuwa "popular" sasa wewe unateaeka na nini hadi kuanzisha uzi?
Kwani lengo la post yeyote Kwenye jukwaa hili ni nini??
 
Yupo aliyetaka sana kutugawanyisha na wasukuma wote wakapiga makofi,, mbona hamkumkemea, yeye ndo mwanzilishi wa ukanda na ukabila,,
Unauhakika ni wasukuma wote waliunga mkono hayo uyasemayo

Na kwanini mnapambana na marehemu ambaye hawezi kujibu wala kuwasaidia katika mapambano yenu ya sasa

Usihusishe wasukuma wote kwenye ujinga wako na hili hata hapa JF naona wanalifuga sana

Wasukuma hatuhusiki na udhalimu wowote aliotendewa mtu yoyote

Huyo alietenda alitenda kwa nafsi yake sio kwa usukuma wake maana hakuna sehemu wasukuma tunafundshwa kubagua wenzetu

Wasukuma ni kabila ambalo hata kama umepotea porini tutakusaidia chakula,malazi na tutakuonesha njia sahihi ya kufika kwako maana kwetu UTanzania na utu ni muhimu zaidi kuliko kabila letu

Naomba tuongee zaidi kama watanzania sio mambo ya makabila maana hayajengi.
 
  • Thanks
Reactions: F4B
Unauhakika ni wasukuma wote waliunga mkono hayo uyasemayo

Na kwanini mnapambana na marehemu ambaye hawezi kujibu wala kuwasaidia katika mapambano yenu ya sasa

Usihusishe wasukuma wote kwenye ujinga wako na hili hata hapa JF naona wanalifuga sana

Wasukuma hatuhusiki na udhalimu wowote aliotendewa mtu yoyote

Huyo alietenda alitenda kwa nafsi yake sio kwa usukuma wake maana hakuna sehemu wasukuma tunafundshwa kubagua wenzetu

Wasukuma ni kabila ambalo hata kama umepotea porini tutakusaidia chakula,malazi na tutakuonesha njia sahihi ya kufika kwako maana kwetu UTanzania na utu ni muhimu zaidi kuliko kabila letu

Naomba tuongee zaidi kama watanzania sio mambo ya makabila maana hayajengi.
Umenena vyema mkuu.
 
Back
Top Bottom