Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe sikushangai sababu watu wa kwanza kuchangia mada wa jf huwa ni matahahira na hii iko proven soma tread bora zote jf... you are the one tooSijui Watu mmejaza kamasi gani kichwani maana hamuelewi kila Siku tunarudia,bunge halina nguvu Wala uwezo huo hapa TZ.
Kwanza usijaribu kuandika kiingereza maana hujui 'your Vs you are'.Wewe sikushangai sababu watu wa kwanza kuchangia mada wa jf huwa ni matahahira na hii iko proven soma tread bora zote jf... your the one too
Kamanda hii inahusiana na alichoandika bwashee? Naona kama ungeanzishia siredi yake ungepata mawazo mazuri ya wachangiajiKama kuna uwezo huu kwanini kusitolewe shindano kwa graduates watakao kuja na business proposal nzuri wakopeshwe milioni 50 wapewe grace period ya miaka miwili kabla hawajaanza marejesho na kodi.
Ninaihakika watazalisha ajira nyingi kwa vijana na kuongeza. mzunguko wa pesa mitaani.
Huna akili wewe ki.ma, unahisi Rais anaeweza pigiwa kura ya kutokuwa na imani naye na Bunge anakubalika na wananchi? Rais asokubalika na wananchi hana uwezo wa kulivunja Bunge sababu ukivunja Bunge lazima uitishe uchaguzi mkuu upya na hapo chama chako au wananchi watakuondoa..Bunge ni kielelezo cha wananchi, Bunge lisipokukubali ujue the majority ya wananchi hawakukubali.Kwanza usijaribu kuandika kiingereza maana hujui 'your Vs you are'.
Kwa hiyo Kwa ujuha wako unaona hii ni thread bora? Ubora wa thread ni hoja zilizomo, ushahidi,utafiti na uchambuzi.
Sasa wewe kenge usiyejua kwamba Katiba iliyotoa nguvu ya kisheria Kwa bunge kumuengua Rais Kwa kupitia mchakato wa Siku kadhaa imetoa pia nguvu Kwa Rais kulivunja bunge bila kupitia mchakato wowote wala kuhojiwa na yeyote.
Bado unaamini kwamba bunge linaweza kumuengua Rais
Kwamba Wakati wanaanza mchakato Siku kadhaa mpaka kufikia tarehe ya kura yeye atakuwa amelala fofofo.
Ukiwa unaandika fikiri kwanza sio unajitutumua kujaza JF Kwa utumbo Kama huu
SSH ni hasara kwa taifa, ukimsikiliza unaweza pata kichefuchefu na kutamani kutapika, she’s so naive, CCM wakimuacha hadi 2030 chama kinakufa.
Huna akili wewe ki.ma, unahisi Rais anaeweza pigiwa kura ya kutokuwa na imani naye na Bunge anakubalika na wananchi? Rais asokubalika na wananchi hana uwezo wa kulivunja Bunge sababu ukivunja Bunge lazima uitishe uchaguzi mkuu upya na hapo chama chako au wananchi watakuondoa..Bunge ni kielelezo cha wananchi, Bunge lisipokukubali ujue the majority ya wananchi hawakukubali.
Mwitieni hata daku huyu kijarubaMawazo ya njaa tu haya! Kama huna hoja ni bora ukanyamaza kuliko kuandika vitu visivyokuwa na mashiko! Unadhihirisha ni jinsi gani ulivyo Idiot
Your vs you are ni ugonjwa wa vilazza wengiKwanza usijaribu kuandika kiingereza maana hujui 'your Vs you are'.
Kwa hiyo Kwa ujuha wako unaona hii ni thread bora? Ubora wa thread ni hoja zilizomo, ushahidi,utafiti na uchambuzi.
Sasa wewe kenge usiyejua kwamba Katiba iliyotoa nguvu ya kisheria Kwa bunge kumuengua Rais Kwa kupitia mchakato wa Siku kadhaa imetoa pia nguvu Kwa Rais kulivunja bunge bila kupitia mchakato wowote wala kuhojiwa na yeyote.
Bado unaamini kwamba bunge linaweza kumuengua Rais
Kwamba Wakati wanaanza mchakato Siku kadhaa mpaka kufikia tarehe ya kura yeye atakuwa amelala fofofo.
Ukiwa unaandika fikiri kwanza sio unajitutumua kujaza JF Kwa utumbo Kama huu
Hujawahi kuniangusha yaan, big up mommyKama kuna uwezo huu kwanini kusitolewe shindano kwa graduates watakao kuja na business proposal nzuri wakopeshwe milioni 50 wapewe grace period ya miaka miwili kabla hawajaanza marejesho na kodi.
Ninaihakika watazalisha ajira nyingi kwa vijana na kuongeza. mzunguko wa pesa mitaani.
Chama kife tu hakina faidaSSH ni hasara kwa taifa, ukimsikiliza unaweza pata kichefuchefu na kutamani kutapika, she’s so naive, CCM wakimuacha hadi 2030 chama kinakufa.
Aliandika akiwa bwii!Kamanda hii inahusiana na alichoandika bwashee? Naona kama ungeanzishia siredi yake ungepata mawazo mazuri ya wachangiaji