Kuna Siku Spika ataoneka Shujaa ile kura ya kutokuwa na imani ikiitishwa

Kuna Siku Spika ataoneka Shujaa ile kura ya kutokuwa na imani ikiitishwa

Sijui Watu mmejaza kamasi gani kichwani maana hamuelewi kila Siku tunarudia,bunge halina nguvu Wala uwezo huo hapa TZ.
lilikuwa na uwezo kwa EL

EL was powerful mkuu


Usitukane pia, hoja inaweza au unaweza kuongea bila matusi

Duniani kila kitu kinawezekana kwa sababu ya msukumo fulani
 
Kwa bunge hili hii ni ndoto ya mchana.Hili bunge Kama Ni biashara tumepata hasara.
 
She is being told what to do. Hana maamuzi na mipango na njozi zake binafsi kwa maendeleo ya taifa. Kama angezunguka kujitafutia kura za Urais wake mwenyewe kama alivyofanya JPM, kamwe asilani, asingefanya madudu haya.
Mkuu hujitambui kamwe, Samia na jpm wote walizunguka kutafuta kura.Labda una chuki binafsi na Samia.Kama Kuna mtu anamshauri Samia, huyo Ni mzalendo hasa.Mama kafanikiwa kuituliza nchi kiasi chake, tuache unafiki
 
lilikuwa na uwezo kwa EL

EL was powerful mkuu


Usitukane pia, hoja inaweza au unaweza kuongea bila matusi

Duniani kila kitu kinawezekana kwa sababu ya msukumo fulani
Kumbuka pia bunge lile kilikuwa na makali sio Kama hili.
Bunge chini ya Samweli Sitta na Makinda halikuwa la mchezo
 
Muda ni Matokeo kwa Mwenendo wa boss lady kuna kura ya kutokuwa na imani itafuata muda si rafiki labda aweke kinga zake vizuri... na kimbunga jobu ataonekana Shujaa haswa... japo anaukichaa time will tell
Nani anapenda kurudi kwenye uchaguzi?? Ndiyo huna imani naye vipi naye akilivunja bunge?? Tanzania ya CCM haijafikia huko
 
Muda ni Matokeo kwa Mwenendo wa boss lady kuna kura ya kutokuwa na imani itafuata muda si rafiki labda aweke kinga zake vizuri... na kimbunga jobu ataonekana Shujaa haswa... japo anaukichaa time will tell
Hizo ni ndoto!! Hakuna wa kuitisha hiyo kura...pengine hujui inaleta uchaguzi mpya...hao wabunge wengi wamepata ubunge kwa nguvu ya aliepita. Halitokei!.....
 
Ndio maana kumbe mlipandikiza wabunge wenu ili kujiongezea muda wa kutawala na kujilinda na vote of no confidnece kutoka kwa kina ZZK...

Kabla hamjafika huko Mama analivunjilia mbali bunge tunarudi kwenye uchaguzi na wabunge wenu mliowekana tunakata wote mapeeema.. yaani ndio tunawapoteza kabisa labda mkaazishe sasa vikundi vya uasi..
 
Ndio maana kumbe mlipandikiza wabunge wenu ili kujiongezea muda wa kutawala na kujilinda na vote of no confidnece kutoka kwa kina ZZK...

Kabla hamjafika huko Mama analivunjilia mbali bunge tunarudi kwenye uchaguzi na wabunge wenu mliowekana tunakata wote mapeeema.. yaani ndio tunawapoteza kabisa labda mkaazishe sasa vikundi vya uasi..
Haahaa bunge hili lirudi kwenye uchaguzi.haahaa Ni ngumu kumeza
 
Muda ni Matokeo kwa Mwenendo wa boss lady kuna kura ya kutokuwa na imani itafuata muda si rafiki labda aweke kinga zake vizuri... na kimbunga jobu ataonekana Shujaa haswa... japo anaukichaa time will tell

Sio kwa bunge hilo la majizi ya kura. Hakuna mbunge hata mmoja huko ndani anataka uchaguzi, hasa uchaguzi wenyewe ukiwa halali maana 75% hawatarudi. Hilo bunge ni kibogoyo fullstop.
 
Kumbuka pia bunge lile kilikuwa na makali sio Kama hili.
Bunge chini ya Samweli Sitta na Makinda halikuwa la mchezo


Yaani ipo hivi rafiki

CCM wote tunajua ni walevi wa madaraka na hii sidhani kama inahitaji kujua au kuamini hilo

JPM japo awali alikuwa against na CCM na baadae kujirudi CCM kwa kutaka awe salama zaidi, lakini bado hao hao tunajua walimmaliza...hii unaweza kukataa pia au kukubali haina shida

ajenda ya mama ni ku i dilute CCM na wapinzani, in any way uchaguzi ujao lazima wapinzani warudi kwa kishindo bungeni at least hata 30 au 40 hivi (trust me inawezekana)

CCM hawatataka kuchangamana na wapinzani na mbaya wao atakuwa huyu ambae analazimisha michangamano


nani atatakiwa kutoka bungeni?? kila mmoja kaonja tamu tamu?...

Then watakuwa kitu kimoja na wataona bora kumuondoa mama

Sasa sio kilichoandikwa hapa ndio iwe ubishi hii ni theory ambayo mtu ana hiyari ya kukubali au kukataa

wajinga na walevi wa madaraka wakikusanyika mahali wanaweza kuwa wabaya sana
 
Ndio maana kumbe mlipandikiza wabunge wenu ili kujiongezea muda wa kutawala na kujilinda na vote of no confidnece kutoka kwa kina ZZK...

Kabla hamjafika huko Mama analivunjilia mbali bunge tunarudi kwenye uchaguzi na wabunge wenu mliowekana tunakata wote mapeeema.. yaani ndio tunawapoteza kabisa labda mkaazishe sasa vikundi vya uasi..
umetumia emotion

emotion sio siasa na mara nyingi huwa haufanikiwi kwenye jambo

kama statement yako ya samia kuvunja bunge...ni emotion
 
Mkuu hujitambui kamwe, Samia na jpm wote walizunguka kutafuta kura.Labda una chuki binafsi na Samia.Kama Kuna mtu anamshauri Samia, huyo Ni mzalendo hasa.Mama kafanikiwa kuituliza nchi kiasi chake, tuache unafiki

hata kama anadanganya kaweza kutuliza mambo akiwa anajipanga vyema
 
SSH ni hasara kwa taifa, ukimsikiliza unaweza pata kichefuchefu na kutamani kutapika, she’s so naive, CCM wakimuacha hadi 2030 chama kinakufa.

Kwani wakati wa dhalimu hicho chama kilikuwa hai? Kama sio matumizi ya vyombo vya dola na kiburi cha madaraka, tungefurahi ile October, kabla ya ile furaha yetu ya mwezi machi. Ww endelea kunyeshea maua hapo kwenye kaburi la dhalimu, zama za kundi lenu la watu wasiojulikana kutamba zimeisha.
 
Sio kwa bunge hilo la majizi ya kura. Hakuna mbunge hata mmoja huko ndani anataka uchaguzi, hasa uchaguzi wenyewe ukiwa halali maana 75% hawatarudi. Hilo bunge ni kibogoyo fullstop.
Asilimia kubwa ya wabunge mle bungeni hawana uwezo zaidi ya mipasho, spika wao muda mwingi kuvunja katiba na kurusha vijembe kwa kina mbowe na lissu.Wakati kanuni haziruhusu.Spika ameanza kusifia wabunge wa darasa la Saba.
 
Huna akili wewe ki.ma, unahisi Rais anaeweza pigiwa kura ya kutokuwa na imani naye na Bunge anakubalika na wananchi? Rais asokubalika na wananchi hana uwezo wa kulivunja Bunge sababu ukivunja Bunge lazima uitishe uchaguzi mkuu upya na hapo chama chako au wananchi watakuondoa..Bunge ni kielelezo cha wananchi, Bunge lisipokukubali ujue the majority ya wananchi hawakukubali.

Hilo bunge la majizi ya kura linamuwakilisha mwananchi gani?
 
lilikuwa na uwezo kwa EL

EL was powerful mkuu


Usitukane pia, hoja inaweza au unaweza kuongea bila matusi

Duniani kila kitu kinawezekana kwa sababu ya msukumo fulani

Sio kwa hilo bunge lililojazwa kwa kura za kwenye mabeg. Kama huamini wajazeni upepo wajaribu hilo jambo, ndio watajua walikuwa ndani ya hilo bunge kibogoyo kwa bahati mbaya na dhuluma.
 
Hivi SUKUMA GANG na MATAGA bado tu mpaka leo hamtaki kuamini kuwa Jiwe lilishasambaratishwa na Zirael?
 
Back
Top Bottom