#COVID19 Kuna siku Watanzania watapanga foleni za kilomita kadhaa ili kuchanja

Hawako serious sasa stivu nyerere ataelemisha nini!? Kuna mtu wa maana anaweza msikiliza yule maamuma
 
Kwasababu tumekubalina ni hiyari, ukichanja tuliza mshono, kama hutaki kuchanja endelea na maisha yako.....mambo ya mmoja kumtishia mwingine kwa msimamo wake nao ni ujinga......kila mtu abaki na anachokiamini basi, akifa athari ni kwa familia yake wewe inakuhusu nn?
 
Mi nimechanja lakini kitoto changu kichanga sitaki kichanjwe! Kuna nesi hapa amenivuta sikio niwe makini.

Naona hakuna muitikio wa chanjo kwa watu wazima wanaamua kuipunguzia kwa vitoto huko leba
Nesi mwenyewe ana elimu gani?
Hao form failure?
 
mzee unavyo jitahidi kutetea. Kwani covid yenyewe ukipata hata kwa takwimu za sasa ni asilimia ngapi wanakua kwenye siriaz illness? Toka inaanza ni % ndogo sana ambayo inakua kwenye risk kubwa kwaiyo hiyo 3% unayo isema ni ipi isije kua ndio hiyo hiyo tu ambayo ni sawa na bure
 
Hongera Mkuu kwa Kuchanja. Sasa tusubiri kati ya proposing side au opposing side Nani ataibuka kidedea. Yetu macho
 
Uko sahihi 100% mkuu. The world is so asleep - wawe wazungu au waafrika - wamelala fofofo. Lakini tutaendelea kusema hakika wapo watakaosikia
 
Acha ubishi fuatilia death mortality rate kwa nchi masikini na nchi zilizoendelea ndo utaelewa kuwa ujinga unaua.
 
Naona kama wewe ndiye huyo steve Nyerere maana unavyopigia debe hiyo sindano utadhani unakufa kesho.!
 
Acha ubishi fuatilia death mortality rate kwa nchi masikini na nchi zilizoendelea ndo utaelewa kuwa ujinga unaua.
Ujinga upi unaokusudia wewe ili tuchambue tuweze kujua kama hao nchi zilizoendelea kweli hawafi sana kwa ujinga?
 
Mi nimechanja lakini kitoto changu kichanga sitaki kichanjwe! Kuna nesi hapa amenivuta sikio niwe makini.

Naona hakuna muitikio wa chanjo kwa watu wazima wanaamua kuipunguzia kwa vitoto huko leba
Sasa nesi anakuvuta sikio ni kuwa amekupenda ama?

Uwe na uelewa basi, sio kila mwenye kipaza sauti ndiye mjuzi wa maongezi.
 
Corona ipo toka mwaka jana hapa nchini na kulikuwa hakuna chanjo wala nini sasa ajabu anakuja mtu sasa hivi na kutaka nione chanjo ndio kitu pekee cha kunifanya niweze kuendelea kuishi kwamba bila chanjo sina uhakika wa kuishi.
 
Nani kakuambia kuchanja hiari?
 
Wanaopigia debe chanjo naona ni watu wenye akili fupi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…