Korona inaweza usiuue kama Malaria na UKIMWI, lakini Ogopa sana airborne diseases. hizi ni tofauti na malaria na ukimwi. Plague ya miaka ya 1300(black death) na Spanish Influenza zote ni Airborne. Ziliuwa kwa kutisha. mwanzoni hii black death ilikuwa inaambukizwa kwa kung'atwa na viroboto wa 'panya' ambao walikuwa wanakudunga bakteria Yersinia Pestis. Sasa huyu mdudu akajigeuza, akaingia kwenye mapafu na kuweza kuambukizwa kwa njia ya hewa. hapo ndipo mamilioni ya watu wakaanza kufa. usifananishe aiborne diseases na vitu kama Malaria. huu ugonjwa unapotential ya kuua watu wengi kuliko UKIMWI na Malaria. au tuseme magonjwa yote yakiwekwa pamoja.