Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

Ukweli bila Samia kulindwa na katiba ccm walisha mzunguka mama kutaka kumuweka mtu wao na diyo maan Lisu na chadema walipanga kuitisha mkutano.

Mabeyo sasa kaona umuhimu wa kusimamia katiba.

Wananchi tujiandae kuona hata jeshi la polisi kusimamia katiba.

Majaji na mahakama nazo wameona walivyo leta mzaha mpaka wamekuwa wanapangiwa cha kufanya na mtu mmoja.

Tiss ndiyo kabisa walivurugwa na kupewa maelekezo badala wao kutoa maelekezo.

Bahati nzuri mtawala alishindwa kupanga warithi wake haraka
 
Tuko pamoja Mama D, ingawa natumia I'd mpya hivyo huwezi huwezi nielewa.[emoji120]
Asante Natena wiza. Pole ndugu yangu💔🇹🇿💔 Kama vile nakuelewa.... ngoja machungu ya msiba yapungue😭🙏
 
Awamu ni miaka 10. Ingawa hii fomula imeanza kipindi cha Mwinyi maana Nyerere alitawala miaka takriban 24. Na chaguzi zilikuwepo mtu na kivuli

Kungekuwa na Rais mpya 2020, nadhani tungemwita Rais wa 6 wa awamu ya 5
Well, labda nikusaidie tu, awamu za kikatiba hazihesabiwi kwa kukamilika kwa muhula wa miaka mitano au kumi ya kwenye uongozi baada ya kuchaguliwa na wananchi. Awamu hutambulika baada ya kiongozi mpya kwa maana ya Rais kuingia madarakani kwa namna yeyote ambayo imebainishwa kwenye Katiba.

Hii maana yake ni kwamba, kama Rais aliingia kwa kuchaguliwa itakuwa awamu ya tano sasa kama angemaliza miaka yake kumi akaja mwingine kwa kuchaguliwa ingekuwa awamu ya sita inaanza lakini sasa huyu wa awamu ya tano akifariki akiwa bado hajamaliza miaka yake mitano either ya kwanza au ya pili kama alishindwa tena basi Katiba inatoa muongozo kwamba atakuwepo Rais mwingine ambaye alikuwa Makamu wa Rais, huyu nae ataform serikali yake kwa kuchagua jina kwa kushirikiana na chama chake na kulipeleka bungeni lipigiwe kura ambapo atatakiwa kupata zaidi ya 50%.

Sasa hii maana yake nini? Serikali ni mpya hiyo hata kama imebakiza miaka minne nayo ni ya kikatiba maana inatambulika la sivyo tungeenda kwenye uchaguzi upya lakini sababu Katiba imeshaelekeza kwa nini usiitambue hiyo serikali kama serikali mpya? Tofauti ni kwamba serikali hii inakuwa ni ya mpito unamalizia ngwe ya mwenzake.

But ukiangalia Makamu wa Rais ni Rais tu sababu ndio mgombea mwenza sema ndio anaanza upya na utawala wake lazima serikali yake itambulike kama mpya maana na majeshi yameapa upya kwa utii kwake sasa kama ni serikali ileile so asingeapa angeendelea tu na majeshi yasingeapa kumlimda?
 
Mkuu wa majeshi ni mtu anayeweza kuonana au kuwasiliana na Rais wakati wowote popote alipo iwe usiku au mchana. Sasa inakuwaje mkuu wa majeshi amewaambia waombolezaji wa kifo cha Rais Magufuli na watanzania wote hata dunia kuwa ana siri ya kumpa Rais Samia Suluhu Hassan wakati anao uwezo wa kufanya hivyo bila kutuambia?

Je ni coded language kuwa majeshi hayatakubali mchezo wowote na lazima wawe players katika siasa kama ilivyokuwa kwa Magufuli hasa katika kuendeleza mema yote aliyoanzisha Magufuli? Je kweli kuna siri? Ni siri gani hii ambayo inaanza kutamkwa hadharani kabla ya kumfikishia mhusika? Je utaratibu wa kumfikia Rais kwanini haukufuatwa kama hamna namna? Tutegemee heri kwa maana kuwa Mabeyo atamwambia Rais hiyo siri ambayo tumegusiwa.
 
Kwa nafasi yake, anauwezo wa kumweleza Rais jambo lolote wakati wowote, hapakua na haja ya kulisema hili hadharani.
Inashangaza lakini pengine kuna intelligence behind the madness, it was unnecessary, na yeye Mabeyo anajua anaweza kumuona Mama muda wowote.

Kwahiyo kama kaamua kusema hadharani kuna kitu ujumbe unatumwa, na walengwa watakuwa wameupata loud and clear. Kuanzia kuumwa kwa mzee mpaka "siku" ya kutangaziwa kifo lazima kulikuwa na mambo mengi. Tujipe muda kidogo, tutakuja kuona matokeo ya "dokezo".
 
Mkuu wa majeshi ni mtu anayeweza kuonana au kuwasiliana na Rais wakati wowote popote alipo iwe usiku au mchana. Sasa inakuwaje mkuu wa majeshi amewaambia waombolezaji wa kifo cha Rais Magufuli na watanzania wote hata dunia kuwa ana siri ya kumpa Rais Samia Suluhu Hassan wakati anao uwezo wa kufanya hivyo bila kutuambia?.
Ni siri yake yeye na rais. wengine haiwahusu.

Wabongo mnataka kujua kila kitu. tulieniq
 
Povu lote la nini, huyu ndiyo CDF Venance Mabeyo Pure Msukuma,hutaki,hama Nchi.
Ficha ujinga wako. Walikuwepo hapo pia Wakurya pure nao muda wao ukaisha. Again, ujinga ni mzigo kama ilivyo mizigo mingine ila unaweza kuuficha na sio lazima kila mtu ajue umeubeba.
 
Mkuu wa majeshi ni mtu anayeweza kuonana au kuwasiliana na Rais wakati wowote popote alipo iwe usiku au mchana. Sasa inakuwaje mkuu wa majeshi amewaambia waombolezaji wa kifo cha Rais Magufuli na watanzania wote hata dunia kuwa ana siri ya kumpa Rais Samia Suluhu Hassan wakati anao uwezo wa kufanya hivyo bila kutuambia?

Je ni coded language kuwa majeshi hayatakubali mchezo wowote na lazima wawe players katika siasa kama ilivyokuwa kwa Magufuli hasa katika kuendeleza mema yote aliyoanzisha Magufuli? Je kweli kuna siri? Ni siri gani hii ambayo inaanza kutamkwa hadharani kabla ya kumfikishia mhusika? Je utaratibu wa kumfikia Rais kwanini haukufuatwa kama hamna namna? Tutegemee heri kwa maana kuwa Mabeyo atamwambia Rais hiyo siri ambayo tumegusiwa.
Nionavyo hapana heri, tusitazamie mabadiriko yoyote.
Nchi imeshikwa na wasukuma, hawatakubali kuona keki ikihamia upande mwingine kabla ya awamu yao kwisha.

SIRI,
Mh Rais, fanya yote aliyokuwa akifanya marehemu.
Usipofanya hivyo jeshi tutachukua nchi
 
Mkuu wa majeshi ni mtu anayeweza kuonana au kuwasiliana na Rais wakati wowote popote alipo iwe usiku au mchana. Sasa inakuwaje mkuu wa majeshi amewaambia waombolezaji wa kifo cha Rais Magufuli na watanzania wote hata dunia kuwa ana siri ya kumpa Rais Samia Suluhu Hassan wakati anao uwezo wa kufanya hivyo bila kutuambia?

Je ni coded language kuwa majeshi hayatakubali mchezo wowote na lazima wawe players katika siasa kama ilivyokuwa kwa Magufuli hasa katika kuendeleza mema yote aliyoanzisha Magufuli? Je kweli kuna siri? Ni siri gani hii ambayo inaanza kutamkwa hadharani kabla ya kumfikishia mhusika? Je utaratibu wa kumfikia Rais kwanini haukufuatwa kama hamna namna? Tutegemee heri kwa maana kuwa Mabeyo atamwambia Rais hiyo siri ambayo tumegusiwa.
Kuna baadhi ya mijitu ilikuwa haitaki Mama Samia awe rais.
Mabeyo mwana JF mwenzetu mtu makini sana na ana akili nyingi sana.
Akawatuliza.

Alichokifanya ni kutoa hotuba hadharani kitu ambacho sio cha kawaida na kumhakikishia mhe Rais kuwa jeshi litamlinda na litamheshimu.
Hii ni meseji kwa kina bashitu hata hilo dokezo anacheza na mind za haya mapumbavu yanayotaka kutuharibia katiba
 
MIMI, kwa haraka haraka, nimeelewa kama kuna maagizo ya boss wa zamani anayotakiwa kumfikishia boss mpya!
... JE, HUU SIO UVUNJAJI KATIBA?
KAMA NI MAELEKEZO HALALI KWANINI YASIPITIE KWENYE VIKAO HALALI, VYA WAZI AU VYA SIRI?
hukunaga maagizo ya boss wa zamani. current president ndio mwenye power.
wa zamani labda ushauri tu.
 
Back
Top Bottom