Bora asinge dokezaSiri hiyo atakuwa nayo Generali mwenyewe. Sisi hapa tutaishia kuwa wapiga ramli tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora asinge dokezaSiri hiyo atakuwa nayo Generali mwenyewe. Sisi hapa tutaishia kuwa wapiga ramli tu.
Inaelekea mbeyo yuko vizuri kwenye mambo ya katiba maana wakati wanataka kugeuza katiba ili makamu asipewe kiti cha enziSamia aliomba ipigwe mizinga 30 Mabeyo kasema katiba hairuhusu.
Tatizo marehemu alimuamini sana na kumpandisha mavyeo ili awe mkuu wa majeshi mwisho wa siku alichomfanyia marehemu hakuamini macho yake. Nchi imejaa wezi hadi waaminifu wanakosa busara.
Hivi kama Hayati Magufuli mfano angeshindwa uchaguzi mwaka jana 2020, je, Rais mpya angekuwa ni wa awamu ya ngapi!? Je, Rais ndiye anayeamua awamu au awamu inaamuliwa na vipindi vya utawala vya miaka 10!?Rais wa 6, awamu ya Tano
Awamu ni miaka 10. Ingawa hii fomula imeanza kipindi cha Mwinyi maana Nyerere alitawala miaka takriban 24. Na chaguzi zilikuwepo mtu na kivuliHivi kama Hayati Magufuli mfano angeshindwa uchaguzi mwaka jana 2020, je, Rais mpya angekuwa ni wa awamu ya ngapi!? Je, Rais ndiye anayeamua awamu au awamu inaamuliwa na vipindi vya utawala vya miaka 10!?
Awamu ni ya 6Rais wa 6, awamu ya Tano
Itakua ufunguo wa mabomu ya nuclear kama USA
Muhula mmoja? Hii miezi minne ni muhula wa 2 wa Magufuli sema hakumaliza.Awamu ni ya 6
Rais Samia atamaliza muhula wake wa pili 2030.
Awamu ya 5 imetumikia muhula mmoja tu kwa mujibu wa katiba!
Kamba hiiii....haijawahi tokea kuomba kitu kama hikiSamia aliomba ipigwe mizinga 30 Mabeyo kasema katiba hairuhusu.
Aya ya mwisjo inaweza kua kweli......anatuma ujumbe kwa watu flan......so inaweza ikawa kuzima baadhi ya mamboWatu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu
Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka katika nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita...
Kwa nafasi yake, anauwezo wa kumweleza Rais jambo lolote wakati wowote, hapakua na haja ya kulisema hili hadharani.
Aidha kwa upande mwingine, inawezakua kuna ujumbe anautuma kwa watu flani.
Kwa genge gani?Watu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu
Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka katika nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita...
Kwa nafasi yake, anauwezo wa kumweleza Rais jambo lolote wakati wowote, hapakua na haja ya kulisema hili hadharani.
Aidha kwa upande mwingine, inawezakua kuna ujumbe anautuma kwa watu flani.
Noted.Watu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu
Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka katika nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita...
Kwa nafasi yake, anauwezo wa kumweleza Rais jambo lolote wakati wowote, hapakua na haja ya kulisema hili hadharani.
Aidha kwa upande mwingine, inawezakua kuna ujumbe anautuma kwa watu flani.
Kabisa ana security clearance zote, aweza kuingia kumuona hata saa 9 usiku.Watu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu
Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka katika nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita...
Kwa nafasi yake, anauwezo wa kumweleza Rais jambo lolote wakati wowote, hapakua na haja ya kulisema hili hadharani.
Aidha kwa upande mwingine, inawezakua kuna ujumbe anautuma kwa watu flani.