Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
izue taharuki gani? si kila kitu ni cha kufahamu. tena kwa mtu kama yeye ana ethics,na wanafundishwa vitu vya kusema na vya kutokusema.JE KULIKUWA NA UMUHIMU GANI WA MKUU WA MAJESHI KUTOA KAULI HIYO? Je, haoni kwamba kwa nafasi yake kutoa kauli kama hiyo kunaweza kuzua taharuki kwenye jamii juu ya usalama wa nchi au Mh. Rais?
si kila kitu lazima mjue