kishumbaz
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,183
- 1,619
Huyu Mama, nna wasiwasi! Nikiangalia type ya watu waliomzunguka na upole wa mama yetu! Nadhan ingekaa vizuri kama angechagua watu watakaompambania objectives zake.Mama Samia kapwaya sana leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Mama, nna wasiwasi! Nikiangalia type ya watu waliomzunguka na upole wa mama yetu! Nadhan ingekaa vizuri kama angechagua watu watakaompambania objectives zake.Mama Samia kapwaya sana leo
Hivi hii ni serikali ya awamu ya 6 au ya 5? ila tuna Rais wa 6,mimi naona awamu ya 5 bado inaendelea mpaka 2025Anawachimba biti wasio na nia njema na serikali ya awamu ya 6.
Kwan umelazimishwa kutembelea maeneo haya si uende jukwaa la maoenziHuna namba ya General umuulize maana ujinga ni pamoja na kufaham wakuulizwa kitu alafu ukamuacha na kusumbua watu wengine wasiohusika, kama huna namba nenda getini Pale Ngome Upanga ukamulize
Pia kwenye hotuba yake (CDF) alishukuru Rais aliyepita kwa kuteua baadhi ya viongozi kwenye Serikali yake kutoka jeshini.Aliyezikwa ni Amiri jeshi mkuu, hakuna ubaya wa mkuu wa majeshi kumzika na kutoa hotuba kwa mwanajeshi mwenzie. Ndio maana mazishi ni ya kijeshi
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Wako wajeshi ni wakuu wa mikoa, wakuu wa Taasisi (pccb) na makatibu wakuu (mambo ya nje).Majeshi yetu ya Ulinzi yakae nje ya Politics
Yalinde mipaka haswa huko kusini
Katiba Mpya itamaliza hiyo shidaWako wajeshi ni wakuu wa mikoa, wakuu wa Taasisi (pccb) na makatibu wakuu (mambo ya nje).
Hivyo, kwa namma fulani ni ngumu kuwatenganisha na politics
Rais wa 6, awamu ya TanoHivi hii ni serikali ya awamu ya 6 au ya 5? ila tuna Rais wa 6,mimi naona awamu ya 5 bado inaendelea mpaka 2025
Aikambe...awamu ni ya tano na rais ni wa sita..
Ficha ujinga wako, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ni Mwanajeshi MStaafu. Siasa na Jeshi havitenganiMajeshi yetu ya Ulinzi yakae nje ya Politics
Yalinde mipaka haswa huko kusini
Na ujumbe ukafikaKuna namna alikuwa anawatumia watu fulani ujumbe
Ficha ujinga wako, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ni Mwanajeshi MStaafu. Siasa na Jeshi havitengani
Bongo yako inachaji sana hongera mkuu watu wanawaza uduvi tuSiri hiyo atakuwa nayo Generali mwenyewe. Sisi hapa tutaishia kuwa wapiga ramli tu.