Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

Itabidi ukamuulize Rais baada wakishazungumza
 
Hiyo ni siri kamwe huwezi kuijua labda kubashiri tu, inawezekana mzee kabla ya kuaga dunia kuna maagizo alimwachia adhimu sana kwa ambao tuko kitaani hatutaelewa kitu na kitu kikishatamkwa hivyo ni message kwenda kudi fulani ila ametumia code ila kutegua hiyo code ndio kazi kiufupi mind your own business mengine hayatuhusu.
 
Watu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu

Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka kwenye nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita...

Kwa nafasi yake nafasi ya kumuona Rais anayo na anaweza kumweleza jambo lolote wakati wowote, hapakua na haja ya kulisema hili hadharani.

Aidha kwa upande mwingine, inawezakua kuna ujumbe anautuma kwa watu flani.
There you are! Hiyo paragraph yako ya mwisho inabeba ujumbe na uzito mkubwa sana, hasa ukiunganisha na kauli ya mama kule dom kuhusu watu walio na wasiwasi naye kama anaiweza nafasi ile!
 
There you are! Hiyo paragraph yako ya mwisho inabeba ujumbe na uzito mkubwa sana, hasa ukiunganisha na kauli ya mama kule dom kuhusu watu walio na wasiwasi naye kama anaiweza nafasi ile!
Labda Bi Mkubwa alishauriwa a resign ili mgogo awe stering
 
Nadhani anataka kumwambia akambidhi madaraka vinginevyo atayachukua anavyojua yeye
 
Huna la kumfanya na huyu ni Mkuu wa Majeshi Nchini,Jenerari Venance Mabeyo,Msukuma Pure. Una lingine?
Usitake kumuingiza CDF wa TANZANIA kwenye ushamba wenu wa kisukuma-maguful. Huyu ni CDF wa NCHI na siyo wa wasukuma.
Muda wa huo upumbafu wenyu wa kisukuma umekwisha. Sasa hivi tunazungumza Mambo ya nchi.
 
Kuna jambo alitaka kusema akashtuka sio mahali pake... Yawezekana kuna ahadi aliyopewa na hayati kuhusu jeshi au askari nk . Hayo yangefaa kuzungumzwa hapo ? Hakika angepinda na kuomba kumwona mh raisi kwa wakati mwingine...
 
Watu wameanza fitina.
Tumuache mama naye afanye kazi yake kwa uhuru.
Fitina za kutafuta madaraka sasa basi.
Mama anatokea kundi dogo,kabila dogo na ukada mdogo na dini isiyo na makuu na kujikweza . Ni busara kabisa kumpa ushirikiano kama wale waliopita. Afanye kazi kwa uhuru wake alionao kikatiba. Afumue wasioendana na taifa letu ,yaani aweke utaifa mbele.
Watu wajiandae tu kisaikolojia kukosa madaraka. Ile lugha ya sasa ni zamu yetu nadhani sasa ifikie mwisho .
Tuseme wote sasa ni zamu ya watanzania wote waadilifu.

Tanzania bila majungu na fitina inawezekana.

Kila mmoja awe tayari kupata au kukosa madaraka mana huko ndiko kwenye ulaji mnono. Mbwembwe zote ni kwa sababu ya msosi.

Akili ya kuambiwa changanya na yakwako.

Mh.Rais wetu mpendwa sana Mama Samia Hassan Suluhu ,usikubali kamwe kupangiwa. Watakukalia kichwani mapema.
Mtu yeyote akileta ushauri nje ya katiba mfyekelee mbali.
Unaweza ukapata ushauri wa wale waliowahi kukalia kiti cha urais lakini sio kila mtu.

Wengi kwa sasa wanataka kulinda maslahi yao.

Wembe ni ule ule. Wezi wa mali za umma fyeka, wanaochelewesha miradi fyeka, wanaotumia chama vibaya kujenga uadui fyeka,afisadi wanaokwepa kodi kupitia ofisi za umma fyeeeekeeeleeeeaaa mbali.
 
Huyu nae afanye kazi yake,asilete ushirombo hapa, aelewe kuwa Tanzania,ni kubwa,inaanzia Mtwara mpaka Tanga,Kigoma mpaka murongo border Kagera,Rukwa,mpaka Arusha.

Tanzania sio Chato, Mwanza, Tabora,au simiyu, yeye yupo hapo kutumikia Nchi yenye makabila 120+,asiwaze Kisukuma,awaze kama state figure, analipwa mshahara kwa kodi za Watz wote, Wachaga na Wakinga, Wapare na wasambaa, Wamakonde na wamwera, wasafwa na wanyakyusa.

It's high time,hizi story za Kisukuma tuziache,tuponye nchi.Wachaga kwenye utawala wa Maghu walikiona Cha mtema kuni,chukua, uzandiki, sasa tuponye nchi, ule ujambazi wa kupora pesa za watu benki tuache tujenge nchi.

Maghu kaondoka, nothing special, Nyerere alipendwa, mpaka akatangazwa Mtakatifu,
Wasukuma mzikeni homeboy wenu, lakini Tanzania ni kubwa kuriko usukuma, tunajenga nchi sasa.
Pole Sana mchaga , zama za kujiona nyinyi ni Bora kuliko wengine haipo tena.
 
Hadi sasa naendelea kuunganisha dots na nimeshapata uhakika kwamba kuna watu walitaka kufanya uhuni juu ya nafasi ya urais wa mama Samia...tuendelee kuunganisha dots
 
Back
Top Bottom