Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

JE KULIKUWA NA UMUHIMU GANI WA MKUU WA MAJESHI KUTOA KAULI HIYO? Je, haoni kwamba kwa nafasi yake kutoa kauli kama hiyo kunaweza kuzua taharuki kwenye jamii juu ya usalama wa nchi au Mh. Rais?
Hakuna taharuki hapo....ni msg tu hiyo
 
Watu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu

Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka kwenye nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita...

Kwa nafasi yake nafasi ya kumuona Rais anayo na anaweza kumweleza jambo lolote wakati wowote, hapakua na haja ya kulisema hili hadharani.

Aidha kwa upande mwingine, inawezakua kuna ujumbe anautuma kwa watu flani.
Ndio hiyo hasa na Jenerali Mabeyo amefanya vizuri kulisema hili adhalani - wale wote wenye lengo/nia ovu watafikiria mara mbili.
 
Akishamwambia rais itakuwa sio siri tena
Na majibu tutayapata
 
Huyu nae afanye kazi yake,asilete ushirombo hapa,aelewe kuwa Tanzania,ni kubwa,inaanzia Mtwara mpaka Tanga,Kigoma mpaka murongo border Kagera,Rukwa,mpaka Arusha...
Comment yako inafikrisha Sana , wewe sio mtu wa kawaida , Kwanza wewe ni mkongwe humu kwenye jukwaa , probably we upo serikalin na ni mtu maarufu serikalin. Na unajua mengi sana
 
Siri hiyo atakuwa nayo Generali mwenyewe. Sisi hapa tutaishia kuwa wapiga ramli tu.
Siri hiyo atakuwa nayo Generali mwenyewe. Sisi hapa tutaishia kuwa wapiga ramli tu.
Alikuwa anazungumzia kuhusu ukuta wa mererani ambapo wanajeshi ndio waliojenga...inaelekea JPM alikuwa amemwelekeza CDF Nini Cha Jeshi kufanya kudhibiti wizi wa Mali za umma...inawezekana hata kujenga ukuta mahali fulani kwenye raslimali...pengine hata kuzunguka mlima Kilimanjaro...tehtehtehteh
 
Hapo Mabeyo kacheza na akili za wenye Uchu wa madaraka,
 
Labda anataka amwambie anakampuni yake ya ulinzi ya nguvu moja migodi ya Barrick inanyanyasa wafanya kazi ivo ailinde
 
Mimi na bet mambo mawili kwanza inawezekana General amenusa harufu ya kuwekwa kando katika hii regime Pili inawezekana kuna message anaituma kwa watu fulani wafahamu, Mana kwa Level ya CDF ana clearance na Rais 24/7, Ajapo mtawala mpya ghafla, kila mtu hutafuta kuaminika
Lakini kwangu naona General amefungua ukurusa wa Speculations na kufanya watu wa connect dots za nyuma, Mimi nilinusa halafu ya Power struggle mapema sana
 
Huyu nae afanye kazi yake,asilete ushirombo hapa, aelewe kuwa Tanzania,ni kubwa,inaanzia Mtwara mpaka Tanga,Kigoma mpaka murongo border Kagera,Rukwa,mpaka Arusha.

Tanzania sio Chato, Mwanza, Tabora,au simiyu, yeye yupo hapo kutumikia Nchi yenye makabila 120+,asiwaze Kisukuma,awaze kama state figure, analipwa mshahara kwa kodi za Watz wote, Wachaga na Wakinga, Wapare na wasambaa, Wamakonde na wamwera, wasafwa na wanyakyusa.

It's high time,hizi story za Kisukuma tuziache,tuponye nchi.Wachaga kwenye utawala wa Maghu walikiona Cha mtema kuni,chukua, uzandiki, sasa tuponye nchi, ule ujambazi wa kupora pesa za watu benki tuache tujenge nchi.

Maghu kaondoka, nothing special, Nyerere alipendwa, mpaka akatangazwa Mtakatifu,
Wasukuma mzikeni homeboy wenu, lakini Tanzania ni kubwa kuriko usukuma, tunajenga nchi sasa.
Hapo usukuma unaingia vip kwann ukabila mnauleta sana mkuuu.Hebu tujenge nchi yetu jamani wasukuma tuacheni kwanza tuna msiba.
 
Wabongo tupe pic au mifupa nyama tuna jaza wenyewe [emoji3], Mabeyo wewe pigiaga mistari tu huko!
 
Kwa akili ya kufikiri kidogo.. Katuma ujumbe, kwa nani sijui..
Kitendo cha kusema kuwa ni siri atamtafuta ofisini, kaongea hivyo kusudi, sababu aliweza kukaa kimya, akamtafuta kimya kimya. Kikawaida kabla ya kuzungumza neno huwa tayari tumeamua kulisema, tusilotaka huwa tunakaa kimya..
 
Back
Top Bottom