Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

Yawezekana siku chache baada ya Hayati kujua wahuni wameshahujumu afya yake na ikitokea hataweza kupona basi jambo/mambo yapi yazingatiwe.

Magufuli alijua mtu pekee anaweza kumrithi incase of ni Samia, lakini Je yeye ataweza kuwa jasiri mbele ya Wahuni, mtu pekee wa kumpa nguvu Mama Samia ni Mabeyo na Siro.

Leo katika hotuba yake ametamka neno KATIBA kwa Order na mamlaka ya kijeshi sana, na pia amezungumza utii, uaminifu na ulinzi kwa Rais.

Endapo Rais kutoka marafiki wa Kikwete watarudi madarakani kwa mgongo wa CCM basi Wananchi wataandamana na kusaidiwa na Jeshi.

Leo ndio siku ya Kwanza ya Legacy ya Magufuli imeonekana na Kivuli chake kitaendelea Kuishi vizazi na vizazi
 
Hakuna siri ya watu wawili, tayali imejulikana kuwa January Makamba ndiye kigogo mdude na yupo na team kubwa sana iliyo chini ya uangalizi wa mzee wa Msoga, ila madam president hajui chochote kuhusu hiyo siri ya huyo mgosi pamoja na mzee wa Msoga kwamba walimvuruga mtetezi wa wanyonge hadi akahama duniani.

Sasa madam anakwenda kupewa siri, sisi tukae mkao wa kula 😀😀
 
Taifa letu liko imara sana

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan[emoji1241]

Rais John Pombe Joseph Magufuli alale salama[emoji174][emoji120]
Tuko pamoja Mama D, ingawa natumia I'd mpya hivyo huwezi huwezi nielewa.[emoji120]
 
Watu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu

Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka kwenye nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita...

Kwa nafasi yake nafasi ya kumuona Rais anayo na anaweza kumweleza jambo lolote wakati wowote, hapakua na haja ya kulisema hili hadharani.

Aidha kwa upande mwingine, inawezakua kuna ujumbe anautuma kwa watu flani.
Well said
 
Watu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu

Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka kwenye nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita...

Kwa nafasi yake nafasi ya kumuona Rais anayo na anaweza kumweleza jambo lolote wakati wowote, hapakua na haja ya kulisema hili hadharani.

Aidha kwa upande mwingine, inawezakua kuna ujumbe anautuma kwa watu flani.
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
 
Yawezekana siku chache baada ya Hayati kujua wahuni wameshahujumu afya yake na ikitokea hataweza kupona basi jambo/mambo yapi yazingatiwe.

Magufuli alijua mtu pekee anaweza kumrithi incase of ni Samia, lakini Je yeye ataweza kuwa jasiri mbele ya Wahuni, mtu pekee wa kumpa nguvu Mama Samia ni Mabeyo na Siro.

Leo katika hotuba yake ametamka neno KATIBA kwa Order na mamlaka ya kijeshi sana, na pia amezungumza utii, uaminifu na ulinzi kwa Rais.

Endapo Rais kutoka marafiki wa Kikwete watarudi madarakani kwa mgongo wa CCM basi Wananchi wataandamana na kusaidiwa na Jeshi.

Leo ndio siku ya Kwanza ya Legacy ya Magufuli imeonekana na Kivuli chake kitaendelea Kuishi vizazi na vizazi
Porojo zako tu. Hamna yeyote aliyehujumu afya yake. Kwanza afya yake ilikuwa kimeo na mushkel coronsa ika kumfyekelea mbali na kutukomboa. No one had interest to harm him
 
Huna la kumfanya na huyu ni Mkuu wa Majeshi Nchini,Jenerari Venance Mabeyo,Msukuma Pure. Una lingine?
Tatizo marehemu alimuamini sana na kumpandisha mavyeo ili awe mkuu wa majeshi mwisho wa siku alichomfanyia marehemu hakuamini macho yake. Nchi imejaa wezi hadi waaminifu wanakosa busara.
 
Afande MABEYO naomba nikukumbushe katika dokezo lako kwa muheshimiwa raisi usiwasahau vijana wa JKT walio katika miradi mbalimbali ya kitaifa

Kwa kumbukumbu zangu ndogo kwa sasa watakuepo oparesheni MERERANI wakijenga ikulu DODOMA wakiwa 2000+

PIA Lipo kundi dogo la vijana 300 katika bwawa la NYERERE vijana hawa na kama mmewasahau hawaongelewi kabisa.. hawa ni miaka miwili sasa hawajatoka katika lile pori, hawana likizo na hawajui kitu mjini....

Baada ya kundi kubwa mkataba wao kuisha na kurudi nyumbani hawa walibaki na mara kadhaa HAYATI MAGUFULI alikisikikika akiahidi kuwaajiri...

Makundi haya yamefiwa na hawajui nini kinaendelea....

Nikuombe AFANDE MABAYO kama itakupendeza fikisha salamu za vijana hawa kwa muheshiwa Raisi.

Vijana msikate tamaa..... POPOTE MLIPO
TUPAMBANE MPAKA MWISHO
 
Back
Top Bottom