Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,770
- 3,867
Nipe namba ya mkeo kama kweli huna wivuKwani kuna watu hadi saizi wanazionea wivu papuchi kweli tupo bara la zoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe namba ya mkeo kama kweli huna wivuKwani kuna watu hadi saizi wanazionea wivu papuchi kweli tupo bara la zoo
Sasa yeye ashasema ni siri....anakuja kutuuliza sisi humu JF ili iweje Kama sio uchochezi tuSasa kujadili hotuba ya CDF ndiyo ukilaza.
Nataka kuwaza kama weweWatu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu.
Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka kwenye nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita. Huenda ikawa ni kujiweka karibu na Mama...
Kwa nafasi yake nafasi ya kumuona Rais anayo na anaweza kumweleza jambo lolote wakati wowote, hapakua na haja ya kulisema hili hadharani.
Aidha kwa upande mwingine, inawezakua kuna ujumbe anautuma kwa watu flani.
Siri kubwa lazima zikae sirini.Siri hiyo atakuwa nayo Generali mwenyewe. Sisi hapa tutaishia kuwa wapiga ramli tu.
🤣🤣🤣🤣Samia aliomba ipigwe mizinga 30 mabeyo kasema katiba hairuhusu
KabisaMabeyo hakuwa na ulazima wa kulisema hadharani...
Vilaza wamo wengi sana bado....wewe ni mfano halisi na umedhihirisha hiloNi kipindi gani JF haikuwa na vilaza mkuu? wewe umejiunga JF 2018 mara hii tu umeanza kuwa msemaji?
Kuna eneo hapo nimewaza kama ulivyoainisha.Watu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu.
Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka kwenye nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita. Huenda ikawa ni kujiweka karibu na Mama...
Kwa nafasi yake nafasi ya kumuona Rais anayo na anaweza kumweleza jambo lolote wakati wowote, hapakua na haja ya kulisema hili hadharani.
Aidha kwa upande mwingine, inawezakua kuna ujumbe anautuma kwa watu flani.
Unafikiri hayo majibu utayapata kwa Mabeyo au humu JF?Nafikiri ishu sio kujua atamwambia nini
Ishu ni je kwanini kaongea vile ?
Huo msiba haunihusu.....ni ukilaza kufikiri kila mtu yuko kwenye majonzi ya huyo dikteta uchwara wenuTupo msibani jamani tuache matusi
JE KULIKUWA NA UMUHIMU GANI WA MKUU WA MAJESHI KUTOA KAULI HIYO? Je, haoni kwamba kwa nafasi yake kutoa kauli kama hiyo kunaweza kuzua taharuki kwenye jamii juu ya usalama wa nchi au Mh. Rais?