Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana ni CDF.. a.ka.a Four star generalJamaa katoa hotuba bora sana, yupo vizuri upstairs
Anataka kujiosha tu mi nataka awaeleze ndugu zetu wa JWTZ zile tiriol za kutosha zilizokutwa kwenye account ya mke wake zilitoka wapi?Watu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu.
Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka kwenye nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita. Huenda ikawa ni kujiweka karibu na Mama...
.
Ameonesha ubora mkubwa Sana kwenye tukio hili la msiba,Jamaa katoa hotuba bora sana, yupo vizuri upstairs
Anataka kujiosha tu mi nataka awaeleze ndugu zetu wa JWTZ zile tiriol za kutosha zilizokutwa kwenye account ya mke wake zilitoka wapi?
Na pili ile bima anayoikata kwa kila mshahara halafu hakuna faida inayopatikana kwa askari nazo anapeleka wapi? Mi ni hayo tu.
Last paragraph [emoji419]Watu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu
Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka kwenye nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita. Huenda ikawa ni kujiweka karibu na Mama...
Kwa nafasi yake nafasi ya kumuona Rais anayo na anaweza kumweleza jambo lolote wakati wowote, hapakua na haja ya kulisema hili hadharani.
Aidha kwa upande mwingine, inawezakua kuna ujumbe anautuma kwa watu fulani.
Povu lote la nini, huyu ndiyo CDF Venance Mabeyo Pure Msukuma,hutaki,hama Nchi.Huyu nae afanye kazi yake,asilete ushirombo hapa,aelewe kuwa Tanzania,ni kubwa,inaanzia Mtwara mpaka Tanga,Kigoma mpaka murongo border Kagera,Rukwa,mpaka Arusha....
Mabeyo hakuwa na ulazima wa kulisema hadharani...
I agree with youSun Tzu - The Art of War
Anatuma ujumbe maalum...na umefika.Watu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu
Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka kwenye nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita. Huenda ikawa ni kujiweka karibu na Mama...
Kwa nafasi yake nafasi ya kumuona Rais anayo na anaweza kumweleza jambo lolote wakati wowote, hapakua na haja ya kulisema hili hadharani.
Aidha kwa upande mwingine, inawezakua kuna ujumbe anautuma kwa watu fulani.
TreasonHuenda kuna kundi lilitaka kumpoka madaraka bila kuzingatia takwa la katiba... Ndio maana neno mujibu wa katiba kalirudia mara kadhaa
Ametuma ujumbe...umefikaHuenda Kuna watu walimshaur kitu against mh Rais wetu na inaonesha hajakubaluana nao ivyo kufanya icho kitendo labda ni ishara ya kuwaambia wale ambao walitaka kitu kua wakiendelea a tamwambia mwenyewe Rais ni Nini wanataka full stop
Kulikua na tetesi. Upande wa tiss...Huenda kuna kundi lilitaka kumpoka madaraka bila kuzingatia takwa la katiba... Ndio maana neno mujibu wa katiba kalirudia mara kadhaa