Ndio maana kigogo anawakumbiza sana,,,Magu n'a samia walikuwa ofisi moja sasa unajiuliza kulikuwa nasiri ambazo magu n'a mabeyo wanazo nasamia hazijui, kunashida mahali yaani mtu ambaye kikatiba alikuwa anasimamia ofisi ta rais kama rais hayupo LΓ©o hii kumbe kuna baadhi yasiri hazijui? Ina maana mtu tuliemkabidhi taifa aliongoze kuna baadhi yasiri zataifa hazijui?Mkuu wa majeshi ni mtu anayeweza kuonana au kuwasiliana na Rais wakati wowote popote alipo iwe usiku au mchana. Sasa inakuwaje mkuu wa majeshi amewaambia waombolezaji wa kifo cha Rais Magufuli na watanzania wote hata dunia kuwa ana siri ya kumpa Rais Samia Suluhu Hassan wakati anao uwezo wa kufanya hivyo bila kutuambia?...
Tena saivi kuliko hata katelefoni...[emoji3][emoji3]Watz weng wanamwamin kigogo kuliko vyombo vya habari
Kuna mngine kaibuka anajiita veronica France,,,AisΓ©e yΓ©-yΓ© n'a makamba makamba nayeye anaenda mbali nakutekenya kwa mkwereKigogo na yeriko wanasemaje kwenye hili????
Msiba huu kuna watu umewaondolea "chaguzi za maneno ya kutamka hadharani" wengi wameponyokwa na kujidhihirisha kuhitaji usaidizi wa kuandikiwa hotuba ama waandika hotuba wao wanawapotosha...Ndio maana kigogo anawakumbiza sana,,,Magu n'a samia walikuwa ofisi moja sasa unajiuliza kulikuwa nasiri ambazo magu n'a mabeyo wanazo nasamia hazijui,,, kunashida mahali yaani mtu ambaye kikatiba alikuwa anasimamia ofisi ta rais kama rais hayupo LΓ©o hii kumbe kuna baadhi yasiri hazijui ?? Ina maana mtu tuliemkabidhi taifa aliongoze kuna baadhi yasiri zataifa hazijui ?? Kwahio Anatupeleka wapi ikiwa hatujui vizuri ?? Kila kiongozi anaesimama kuhutubia lazima aanze kututoa waswas mpaka unajiuliza mama hatoshi ??? Kama anatosha yanini kila mda kupeana kauli zakuondoa waswas ??
Nimeliona hilo mkuu kwa ngazi ya mabeyo hiyo haikuwa speech nzuriMsiba huu kuna watu umewaondolea "chaguzi za maneno ya kutamka hadharani" wengi wameponyokwa na kujidhihirisha kuhitaji usaidizi wa kuandikiwa hotuba ama waandika hotuba wao wanawapotosha...
Well said broo,Mabeyo kafikisha ujumbe jana.Moja ya hotuba bora kwa jana aiseeKuna baadhi ya mijitu ilikuwa haitaki Mama Samia awe rais.
Mabeyo mwana JF mwenzetu mtu makini sana na ana akili nyingi sana.
Akawatuliza.
Alichokifanya ni kutoa hotuba hadharani kitu ambacho sio cha kawaida na kumhakikishia mhe Rais kuwa jeshi litamlinda na litamheshimu.
Hii ni meseji kwa kina bashitu hata hilo dokezo anacheza na mind za haya mapumbavu yanayotaka kutuharibia katiba
Nadhani alitumia CODED Language...Nimeliona hilo mkuu kwa ngazi ya mabeyo hiyo haikuwa speech nzuri
Kamanda kalianzisha halafu kachuna,.kuna wajinga wajinga lazma wamgongee simu. Af unakuta ujumbe kumbe ni kwamba "watanzania tupendane"Kacheza na akili za watu hapo kwa waliokuwa wamepiga dili si kumpigia simu babu kuna ishu gani kwani leo simu ya kamanda itakuwa bize Sana.
Kama kumpigia simu demu wako na kumwambia ulidhani sitagundua halafu ukate.
Taharuki lazima iwepo kwa wapenda umbea mliojazana nchiniJE KULIKUWA NA UMUHIMU GANI WA MKUU WA MAJESHI KUTOA KAULI HIYO? Je, haoni kwamba kwa nafasi yake kutoa kauli kama hiyo kunaweza kuzua taharuki kwenye jamii juu ya usalama wa nchi au Mh. Rais?
Mac AlphoAsante Natena wiza. Pole ndugu yangu[emoji174][emoji1241][emoji174] Kama vile nakuelewa.... ngoja machungu ya msiba yapungue[emoji24][emoji120]
Hapa umenena, huu ulikuwa ujumbe kwa baadhi ya watu au mtu, kwani alikuwa na uwezo wa kukaa kimya na kumuendea kimya kama Boss wakeWatu wana mipango na mikakati ya mbali mkuu
Kumbuka wakati huu kila mmoja anataka kujiweka katika nafasi ya kuaminika kwenye awamu ya sita...
Kwa nafasi yake, anauwezo wa kumweleza Rais jambo lolote wakati wowote, hapakua na haja ya kulisema hili hadharani.
Aidha kwa upande mwingine, inawezakua kuna ujumbe anautuma kwa watu flani.
Kauli hii Kwa mtu kama CDF msiichukulie kiwepesi. Jua yule sio mwana siasa wala mtu wa kusimama majukwaani . Mimi Kila kauli iliyobeba Hotuba yake, naipa uzito sana .Kacheza na akili za watu hapo kwa waliokuwa wamepiga dili si kumpigia simu babu kuna ishu gani kwani leo simu ya kamanda itakuwa bize Sana.
Kama kumpigia simu demu wako na kumwambia ulidhani sitagundua halafu ukate.
πππMac Alpho
Akitafutwa aeleze atoe ushahidi ata mbwela mbwelaChief, kuna ushahidi wowote kwamba CDF V. Mobeyo amefanya ubadhirifu wa Pesa za umma kupitia Mke wake?