Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi huwa sibagui aisee ilimradi damu imeendana basi mweusi,mweupe ,chotara yeyote
Yeyote tu rangi yoyoteIko ndo muhimu shogare hayo mengine hayana umuhimu [emoji3][emoji3]
TransitUlivyo short kama kibanda cha shoe shine huwezi endesha dude kama Jackline Wolper😂😂
Yeyote tu rangi yoyote
Kwasababu wanaume warefu weusi wanaongoza sana kuzalisha mabinti hovyo na kuwaachaNingeshangaa uzi uishe bila kuwataja single maza sijui wameingiaje hapa
baada ya sehemu zao za siri kuharibiwa, wamezeeka ndio wanakuja hapa kuchagua mwanaume. hata zamani zangu zile, mwanamke yeyote aliyezalia nyumbani huwa namwambia asichague mume, kwasababu ushahidi anatembea nao kwamba amechezewa weee na mashine yake haina thamani kihiiivyo hata achague mwanaume.Kwa utafiti nilioufanya asilimia 90 ya wanawake wanapenda kudeti na mwanaume mrefu mweusi au mweupe.
Wanawake embu tujuzeni sisi wanaume wafupi tunazidiwa nini na hawa warefu?
View attachment 2682135
na Mungu alivyo fundi, wanaume wafupi ndio wengi wanakuwaga na pesa. mtihani kweli kweli kwa hawa dada zetu.Wanapenda urefu wa mashine sema ukiwa mrefu halafu huna hela watakunyanyasa kwamba mashine kasagie mahindi mwanamme mkwanja yaan kifupi hawajui wanachokitaka.
Tatizo ni nini sasaMwanaume Kama hufikishi futi 6 jua wewe Ni mfupi
Pendeni tu hao tall anda dark, ila msije kuanza kutamani tutoto twetu sisi tall and White....[emoji1787][emoji1787]Ni basi tu ila ukiangalia what matters ni upendo,japo housing pia muhimu, so tall and dark kuna maua yenu huku[emoji14]
[emoji1787][emoji1787]Hapo ndipo wanaume weupe tunaingia na kuwapa solution.
[emoji1787][emoji1787] kwani ukiitwa cheusi ndo ita sound freshImagine, mwanaume kuanza kuitwa CHEUPE[emoji1787]
Walikuaje?Kuna haoo wakaka niliwaona Jana...Nyie kweli Mungu fundi...
Ni kwamba warefu wana demand kubwa huwezi keep up with themIla wanaume wafupi wasweet sana. Warefu tunawapenda ila tunajikuta(ga) tumeangukia kwa wafupi
Uko wapi "??Wanaume weupe ni warembo
Basi ukaloa mwenyewe 😄😄Umeonaaa eeeh...yaan Mimi niliowaonaa hao vijana warefuu Wanaweusi wa kun'gara..ndevu zilipangangika vizuri,mwili uliojengekaa kiumee kbsaaa...mavazi mazuri ya kistaharabuu kbsaaa plus viatu vizuri ngozi original kbsaaa iliyokaaa vema miguuni mwaoo..unawezaa ukaimagine mpk hapooo...macho mazuri na angavuu nyiee kweli Mungu fundiii😅😅😅😅