cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila kuwa na pesa huo urefu wako utatumika kubadilisha bulb majumbani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila kuwa na pesa huo urefu wako utatumika kubadilisha bulb majumbani.
Naona wafupi mmekasirika🤣Bila kuwa na pesa huo urefu wako utatumika kubadilisha bulb majumbani.
Ukicha suala la pesa mwanaume mweusi ndio habari ya mjini.Umezungumza kitaalamu sana mkuu. Ukweli mtupu huu.
Mwanamke anajua vizuri akiwa na mahusiano na mwanaume mweupe muda wote ana wasiwasi kwamba anaweza kutemwa kikaletwa kisu kingine kikali zaidi yake maana wanaume weupe wanajiamini sana.
Sasa mwanaume mweusi lazima aendeshwe na mwanamke na ndiyo maana unaona vilio vingi vya wanaume wanaoachwa na wanawake ni weusi.
Binafsi kuna wakati naingiwa na roho ya huruma pale ninapoona mwanamke ameniganda licha ya kumuonesha live kuwa ninamhiraji mwanamke mwingine huku akiwa hajanikosea chochote.
Hatujisifii ila ukweli ni kwamba wanawake wanapenda na kutamani sana kuwa na mahusiano na mwanaume mweupe shida wamejawa hofu ya kuachika ama kusalitiwa muda wowote ndiyo wanajifichia kwenye kichaka cha kupenda wanaume weusi.
Yupo kujifariji.Huu ni uongo
KabisaYupo kujifariji.
Kyupi hakikulowa kweli?Kuna haoo wakaka niliwaona Jana...Nyie kweli Mungu fundi...