fundicherehani
Member
- Sep 22, 2014
- 76
- 13
Hizi pesa za escrow ni kama zimeharibu mzuguko wa fedha hivi mbona mwezi huu dume hv au ni mimi tu?
upepo unavuma kuelekea kaskazini ..mambo ya escrow na kufulia kwako rejea mipango yako ya 2015.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi pesa za escrow ni kama zimeharibu mzuguko wa fedha hivi mbona mwezi huu dume hv au ni mimi tu?
upepo unavuma kuelekea kaskazini ..mambo ya escrow na kufulia kwako rejea mipango yako ya 2015.
Duuuh!upepo unavuma kuelekea kaskazini ..mambo ya escrow na kufulia kwako rejea mipango yako ya 2015.
kwa mtazamo wangu mi naona hawana siri yeyote ila wenzetu wana asili ya kupenda kwao sana tu
makabila mengine ushirimina,husda roho mbays na chuki zimetutawala vijijini kwetu hatujengi,hatuendi kuogopa kurogwa au ukienda usiage maisha gani sasa hayo
wachaga wenzetu ht km wachawi wao wanaroga wafanikiwe ila sie wengine ukifanikiwa unapigwa juju upotee nani atakubali kurudi!
Kama unakupnda kwenu ndio uende mwisho wa mwaka kila mwaka?
Wanarudsha nchi Nyuma tu
ni mazindiko ndugu, mashetani. wanaenda kutii yalivyosema mizimu yao. ndio maana wachaga wana vifungo vya kila aina kwasababu koo zao zimeunganishwa na mikataba ya kimizimu. huu ndio ukweli. kila kabila kuna mizimu, lakini kwa wachaga kuna mizimu sana sana. mbuzi na kondoo mwezi huu huwa wanapata shida sana. wachaga wengi mwezi wa kumi na wa kumi na moja, wanaenda kwao kama kuna mkataba fulani hivi katika familia utakuta wameondoka wanaume tu/baba wa nyumba ameungana na wababa wenzie kila baada ya miezi hiyo, na kuna mambo fulani hata kama pengine sio uchawi na mengine ni ya kichawi huwa wanaenda kuyafanya. vilevile wengine kuna mikataba ya pamoja ya kishetani/cults huwa wamepatana kwa mganga huwa wanaenda kama kurenew kwaajili ya kutafutia pesa.
wachagga wanakula bata mara moja kwa mwaka...!!
Sasa hii inakwendaje na ukweli kwamba kati ya makabila yote nchini hawa watu ndio kwamba hawana mambo ya kishirikina.
Na hata mambo hayo hayasikiki huko kwao kama vile mwanza, bukoba, tanga, morogoro, lindi, mtwara pwani nk
kuna ukweli zaidi ya unavyofikiri
niambie kwanini wamachame na wakibosho hawaoani? kama we mjanja oana uone yatakayokupata. acha kubisha vitu usivyovijua. pole lakini kama nimekugusa penyewe.ukweli siku zote unauma.
Kama unakupnda kwenu ndio uende mwisho wa mwaka kila mwaka?
aliyekudanganya kuwa wachaga sio washirikina amekuroga ndio maana hauelewi kitu. kwa taarifa yako, wateja wakubwa wa waganga wa kienyeji Tanzania ni wachaga. wao hawaendi kutafuta dawa ya magonjwa, wanaenda kutafuta uchawi wa kutafuta pesa hata kwa kuua ndugu. kuna mandondocha rundo kmanjaro na mandondocha wengine ni wale nusu, unamuona yupo anafanya kazi lakini hafanikiwi kumbe wamemkombea nyota zote. ulishawahi kuona mpemba amemshinda mchaga kwenye duka, chuma ulete ya wazee wa uswahilini ile imegonga mwamba kwa mchaga, anaenda kuweka duka katikati ya uswahili wa duka linaendelea. kuna siri nzito. kama haujui tuambie sisi tunaofanya biashara tunawajua sana hao ndugu.Sasa hii inakwendaje na ukweli kwamba kati ya makabila yote nchini hawa watu ndio kwamba hawana mambo ya kishirikina.
Na hata mambo hayo hayasikiki huko kwao kama vile mwanza, bukoba, tanga, morogoro, lindi, mtwara pwani nk
kuna ukweli zaidi ya unavyofikiri
sasa unataka uende kati ya mwaka utamkuta nani huko?? Watu wa mijini hawapo wakati huo, na wale wa vijijini wako busy na kazi sasa unaenda kupumzika na nani?? Mwisho wa mwaka watu wanaenda sababu unaenda kukutana na ndugu zako, rafiki zako waliotoka pande mbalimbali za dunia.. and yep, kama una rafiki mchagga hebu mwombe siku moja umsindikize uone kama kila mwaka hutotia timu..


