Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Ubungo...............Kimara...........Mbezi..............Kibamba..............Kiluvya................Kibaha..............Kwa mathias............Mwendapole.........kwamfipa...........Kongowe.........visiga..........Mlandizi............Ruvu..........vigwaza............pingo......Chalinze........Lugoba........msata.......Mbwewe........mkata ..... Kabuku........ Michungwani............Segera...........korogwe.............Mombo...........Hedaru...........Makanya.............Same.... mwanga.........Kisangiro...........Njia panda............Uchira..........kawawa rodi...... uparo.....HEBE ENDELEZENI BASI
 
Ubungo...............Kimara...........Mbezi..............Kibamba..............Kiluvya................Kibaha..............Kwa mathias............Mwendapole.........kwamfipa...........Kongowe.........visiga..........Mlandizi............Ruvu..........vigwaza............pingo......Chalinze........Lugoba........msata.......Mbwewe........mkata ..... Kabuku........ Michungwani............Segera...........korogwe.............Mombo...........Hedaru...........Makanya.............Same.... mwanga.........Kisangiro...........Njia panda............Uchira..........kawawa rodi...... uparo.....HEBE ENDELEZENI BASI

Mnazi mmoja ......................... Kiboriloni ......................... Kdc ................... Majengo ............... Rau .................. Kishumundu
 
1502558_265319336952412_789294218_n.jpg
 
Salaam!
Umekuwa ni utamaduni wa watu wa kasikazini hususani Wachaga kwenda mapumzikoni kila mwisho wa mwaka
Nimejaribu kufikiria ni kwanini makabila mengine hayana utamaduni huu mzuri kama wachaga?jibu sahihi bado sijapata ila nimejaribu kuhisi labda ni kwa sababu Wachaga wengi wamesoma?
Au mkoa wa Kilimanjaro upo mbali sana kiasi cha wachaga kushindwa kwenda mara kwa mara?
Lakini nimegundua hata Morogoro na Tanga sio mbali lakini Waluguru na Wasambaa hua hawaendi makwao mwisho wa mwaka so umbali na ukaribu kwangu ni vigezo vilivyokosa nguvu.
Nini siri ya Wachaga na utamaduni huu mzuri wa kwenda mapumzikoni mwisho wa mwaka?
Kwa nini makabila mengine wamekuwa wazito kutekeleza swala hili?
Mjadala upo wazi!
 
Salaam!
Umekuwa ni utamaduni wa watu wa kasikazini hususani Wachaga kwenda mapumzikoni kila mwisho wa mwaka
Nimejaribu kufikiria ni kwanini makabila mengine hayana utamaduni huu mzuri kama wachaga?jibu sahihi bado sijapata ila nimejaribu kuhisi labda ni kwa sababu Wachaga wengi wamesoma?
Au mkoa wa Kilimanjaro upo mbali sana kiasi cha wachaga kushindwa kwenda mara kwa mara?
Lakini nimegundua hata Morogoro na Tanga sio mbali lakini Waluguru na Wasambaa hua hawaendi makwao mwisho wa mwaka so umbali na ukaribu kwangu ni vigezo vilivyokosa nguvu.
Nini siri ya Wachaga na utamaduni huu mzuri wa kwenda mapumzikoni mwisho wa mwaka?
Kwa nini makabila mengine wamekuwa wazito kutekeleza swala hili?
Mjadala upo wazi!

Umesema ni utamaduni wa watu wa Kaskazini hususani Wachagga, so unachohitaji zaidi kujua ni nini mkuu?
 
Nadhani huo utamaduni waliadopt from the bible, wakati wa kuzaliwa Yesu Kristo (Christmas) ilitolewa amri kila mtu aende kwao kwa ajili ya kuhesabiwa, na wachaga zaidi ya 90% ni wakristo. Ndio maana wanataniwaga kuwa wanaenda kuhesabiwa mwisho wa mwaka.
 
kwa sasa tunajadili sawala au skata la ESCROW hao wachaga na kwenda kwao siyo agenda ya mhimu kwetu na wala haina umhimu katika ujenzi wa taifa.......fikra sahihi huendana na wakati na mazingira lakini fikara ya kitoto huibuka tu kama mkojo
 
Utamaduni tu wa watu wa mkoa wa Kilimanjaro mkuu
 
Twende zetu kipenzii moshii asiyejua maana aambiwi maana my kibo10 miss yuuu
 
Back
Top Bottom